Sasa hapo anahojiwa kama Ndugai au ofisi ya spika wa bunge?.Kwani wewe kada wa CCM, wakati huo wanapokelewa akina Halima Mdee, ulikuwa hujui kuwa Spika wa Bunge alikuwa Ndugai na wala hakuwa Tulia Ackson?[emoji28]
mbona kama umebanwa na inye [emoji15]Ndugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Safi sana.Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.
Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.
Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.
Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.
Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.
Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Kesi nzuri sana hii kama itakubaliwa na kufuatwa barabara ndipo tutajua umuhimu wa utawala bora katika Taifa huru.... miongoni mwa kesi nyingine tamu katika historia ya Tanganyika. Tunaisubiria kwa hamu.
Na ndugai keshatemwa na system ataachwa apambane na hali yake.Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.
Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.
Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.
Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.
Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.
Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Yaani waiache tu tupunguze hasira za pekejiKesi nzuri sana hii kama itakubaliwa na kufuatwa barabara ndipo tutajua umuhimu wa utawala bora katika Taifa huru.
Kwani waliapishwa kipindi cha nani ndugai ama huyu wa saaaNdugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Hizi zinaweza kuwa dalili za chadema kushindwa kwenye hii kesi sasa Ndugai na Mahera wanahusika vipi wakati majina walipeleka wenyewe? wakina mdee sio wajinga kupeleka kesi yao mahakamani hao chadema wanachezeana michezo ya kuhuni wenyewe kwa wenyeweWakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.
Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.
Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.
Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.
Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.
Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Wewe ni nani?Kibatala anatakiwa a deal na office ya Bunge na siyo Ndugai!!
Sasa katika hatua hii ni wakati muafaka kesi hii ifutwe kabla haijadhalilisha serikali na baadhi ya watendaji wakuu wanaosimamia haki na sheria!Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.
Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.
Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.
Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.
Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.
Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu