Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 kazi ipoactus leus,mens lea
Siyo kitoto😂😂😂😂 kazi ipo
Huwezi kuwa na exposure na smart kwenye mambo sensitive kwa kutegemea tu internetKawaida tu before hawajaingia mahakami wanakuwa wamepitia pitia madesa kidogo maana SI wanakuwa wanajua NI mashahidi gani wanaenda kukutana nao ..na siku hizi maarifa unayapata tu kupitia internet
Wafanyakazi wa serikali ni kimeo sanaWanawazidi mpaka IT wa serikali. Hawa kweli ni wasomi
[emoji23][emoji23][emoji23] Dah eti upo nyonyo!Ndo maana ya kuitwa wakili msomi
Kila kitu unatakiwa ujue
Ikija kesi inayohusu anga anatakiwa ajue mambo ya anga
Ikiwa kesi inahusu mwili wa binadamu labda dokta alikosea operesheni anatakiwa ajue kila kitu
Ndo maana waitwa wakili msomi babu .upo nyonyo??
mkiambiwa wanaitwa mawakili wasomi mnabeza, sio kila msomi ameelimika, ukisikia wakili msomi ujue kuna wigo mpana wa taaluma yake'' kuna wacheza mpira tunawaita mafundi''Hawa mawakili wananipa tabu mi nilitegemea kuona wako competent kwenye mambo ya actus leus, mens lea n.k lkn cha ajabu naona wako very competent kwenye mambo ya kimtandao maana wanawabana wataalamu wa IT pale mahakamani mpaka wanaomba kwenda haja.
Licha ya kupitia wako vizuri ukiondoa elimu yao ya sheria walisoma darasani wanakipaji na akili ya kuzaliwa. They are very smart and intelligent.Kawaida tu before hawajaingia mahakami wanakuwa wamepitia pitia madesa kidogo maana SI wanakuwa wanajua NI mashahidi gani wanaenda kukutana nao ..na siku hizi maarifa unayapata tu kupitia internet