Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemuelewa?Siyo kitoto
Sijamuelewa!! Maana mi niliandika tu actus leus,nafikri ni maneno ya kisheria mi mkemia yawezekana nimeyakoseaUmemuelewa?
Asante bhn mi mkemia ila huwa nayasikia haya manenoNi "actus reus" siyo "actus leus"
"Mens rea" siyo mens lea
Sahihi Kabisa.Kunatimu kubwa sana wanafanya nao kazi kwenye hiyo kesi ,usiwaone wapo hspo kumi au ishirini ukadhani ni wao tu.
Kuna wataalamu wa kila kinachohusiana na hiyo kesi wengine ni kutoka nje
Huwa nafurahishwa sana na comments zako Miss. Mungu vile!Ndo maana ya kuitwa wakili msomi
Kila kitu unatakiwa ujue
Ikija kesi inayohusu anga anatakiwa ajue mambo ya anga
Ikiwa kesi inahusu mwili wa binadamu labda dokta alikosea operesheni anatakiwa ajue kila kitu
Ndo maana waitwa wakili msomi babu .upo nyonyo??
Kwa hiyo mawakili wenu wa Serikali huwa hawajipangi kabla?Hawajui cho chote zaidi ya sheria waliyosomea ila kabla ya kuja mahakamani kufanya cross examination ya shahidi mtalaamu huwa wamegoogle au wamewasiliana...
Kuliko janaNakupenda
Nao huwa wamejipanga hivyo hivyo wakati wao ukifika wa re-examination ili kuweka mambo sawa pale ushshidi wa mteja wao ulipotikiswa wakati wa cross examination. Huo ndiyo ulivyo mchezo wa mahakamani. Mwisho wa mchezo ni hakimu au jaji anayeamua mshindi wa huo mchezo.Kwa hiyo mawakili wenu wa Serikali huwa hawajipangi kabla?
Naona unajipa matumaini mwana ccm mwenzangu.....kwa taarifa yako hii kesi mbowe hafungwi wala hanyongwi..nafahamu una machungu ya sabaya kufungwa miaka 30..ukweli unabaki palepale sabaya ni muharifu mkubwa😁Nao huwa wamejipanga hivyo hivyo wakati wao ukifika wa re-examination ili kuweka mambo sawa pale ushshidi wa mteja wao ulipotikiswa wakati wa cross examination. Huo ndiyo ulivyo mchezo wa mahakamani. Mwisho wa mchezo ni hakimu au jaji anayeamua mshindi wa huo mchezo.
Bado ngoma ni mbichi. Tegemea kuona video na audio clips za Mbowe zikiwasiliana na Komandoo Deus Urio ambaye hivi punde atatinga kizimbani akiwa ni shahidi wa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wakina Kibatara wako pale kupiga pesa ya chadema isiyopungua 5 million kwa siku. Ndiyo maana kaacha kazi zake nyingine zote. Wahenga wanasema kufa kufaana. Lazima Kibatara aonekane pesa hiyo kaifanyia kazi.
Yuko PumbuNdo maana ya kuitwa wakili msomi
Kila kitu unatakiwa ujue
Ikija kesi inayohusu anga anatakiwa ajue mambo ya anga
Ikiwa kesi inahusu mwili wa binadamu labda dokta alikosea operesheni anatakiwa ajue kila kitu
Ndo maana waitwa wakili msomi babu .upo nyonyo??
Actus reus non facit reum nisi mens sit rea.Hawa mawakili wananipa tabu mi nilitegemea kuona wako competent kwenye mambo ya actus leus, mens lea n.k lkn cha ajabu naona wako very competent kwenye mambo ya kimtandao maana wanawabana wataalamu wa IT pale mahakamani mpaka wanaomba kwenda haja.
Hata asipofungwa huu mwaka mzima aliokaa gerezani kama mahabusu umepelekea chadema kufariki kisiasa. Chama kimefilisika. Kimebaki na watu wachache tu ambao hawana kazi yo yote isipokuwa kushinda mahakamani. Hatua itakayofuata ni Mbowe kujiuzuru uwenyekiti. Lissu kama akirudi kesi ya ugaidi naye inamsubiri. Kilele chake ni msajili wa vyama vya siasa ni kukifuta chama hiki kwenye daftari lake.Naona unajipa matumaini mwana ccm mwenzangu.....kwa taarifa yako hii kesi mbowe hafungwi wala hanyongwi..nafahamu una machungu ya sabaya kufungwa miaka 30..ukweli unabaki palepale sabaya ni muharifu mkubwa😁
Yaan hadi rahaHawa mawakili wananipa tabu mi nilitegemea kuona wako competent kwenye mambo ya actus leus, mens lea n.k lkn cha ajabu naona wako very competent kwenye mambo ya kimtandao maana wanawabana wataalamu wa IT pale mahakamani mpaka wanaomba kwenda haja.
Kesi ya mchongo,jaji wa mchongo na mashahidi wa mchongoHuwa najiuliza wafanyakazi wa serikali walisomea wapi ni weupe mno tena mnoooo
Mimi n bwege ila kwa wafanyakazi wa serikali (wengi wao) siwakuti kwa ubwege
Ila Yana nafasi kubwa dadeq, hela nzuri ila akili za kuvukia barabara
Hizo kesi zote wanapelekeshwa balaa yaani mtu anafanya Kazi za upelelezi anaulizwa kirefu cha idara yake hajui ***** wallah
Baba levo alisema chadema ina mawakili elf sita na wanabishana na sirikali hahahKunatimu kubwa sana wanafanya nao kazi kwenye hiyo kesi ,usiwaone wapo hspo kumi au ishirini ukadhani ni wao tu.
Kuna wataalamu wa kila kinachohusiana na hiyo kesi wengine ni kutoka nje
Unahisi upinzani Mbowe ndie alieuanzisha Tanzania hii?...upinzani upo toka enzi za Mrema na TLP yake...chama cha chadema kilipata nguvu baada ya chama cha CUF kusuasua..UPINZANI UPO NA UTAENDELEA KUWEPO MPAKA YESU ANARUDI..Hata asipofungwa huu mwaka mzima aliokaa gerezani kama mahabusu umepelekea chadema kufariki kisiasa. Chama kimefilisika. Kimebaki na watu wachache tu ambao hawana kazi yo yote isipokuwa kushinda mahakamani. Hatua itakayofuata ni Mbowe kujiuzuru uwenyekiti. Lissu kama akirudi kesi ya ugaidi naye inamsubiri. Kilele chake ni msajili wa vyama vya siasa ni kukifuta chama hiki kwenye daftari lake.
Wewe pimbi upinzani upo kwenye mioyo ya watanzania,hata kama mbowe ataondoka bado upinzani utakuwepoHata asipofungwa huu mwaka mzima aliokaa gerezani kama mahabusu umepelekea chadema kufariki kisiasa. Chama kimefilisika. Kimebaki na watu wachache tu ambao hawana kazi yo yote isipokuwa kushinda mahakamani. Hatua itakayofuata ni Mbowe kujiuzuru uwenyekiti. Lissu kama akirudi kesi ya ugaidi naye inamsubiri. Kilele chake ni msajili wa vyama vya siasa ni kukifuta chama hiki kwenye daftari lake.