Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai alipiga malufuku bungeni hilo jambo la kujiita wakili msomiNdo maana ya kuitwa wakili msomi
Kila kitu unatakiwa ujue
Ikija kesi inayohusu anga anatakiwa ajue mambo ya anga
Ikiwa kesi inahusu mwili wa binadamu labda dokta alikosea operesheni anatakiwa ajue kila kitu
Ndo maana waitwa wakili msomi babu .upo nyonyo??
Hapo nakuunga mkono,mazingira ya cross zao hakika zinahitaji upana wakimataifa.aliyesomea IT haeleweki kimajibuKunatimu kubwa sana wanafanya nao kazi kwenye hiyo kesi ,usiwaone wapo hspo kumi au ishirini ukadhani ni wao tu.
Kuna wataalamu wa kila kinachohusiana na hiyo kesi wengine ni kutoka nje
Kama ni hivyo mbonq wale wa serikali hawana uwezo huo wakati nao ni mawakili wasomi!!mi nadhani ni uwezo binafsi tu wa wakili mwenyewe!!!Ndo maana ya kuitwa wakili msomi
Kila kitu unatakiwa ujue
Ikija kesi inayohusu anga anatakiwa ajue mambo ya anga
Ikiwa kesi inahusu mwili wa binadamu labda dokta alikosea operesheni anatakiwa ajue kila kitu
Ndo maana waitwa wakili msomi babu .upo nyonyo??
Milembe hospital njoo mchukue mtu wenu huku.Nao huwa wamejipanga hivyo hivyo wakati wao ukifika wa re-examination ili kuweka mambo sawa pale ushshidi wa mteja wao ulipotikiswa wakati wa cross examination. Huo ndiyo ulivyo mchezo wa mahakamani. Mwisho wa mchezo ni hakimu au jaji anayeamua mshindi wa huo mchezo.
Bado ngoma ni mbichi. Tegemea kuona video na audio clips za Mbowe zikiwasiliana na Komandoo Deus Urio ambaye hivi punde atatinga kizimbani akiwa ni shahidi wa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wakina Kibatara wako pale kupiga pesa ya chadema isiyopungua 5 million kwa siku. Ndiyo maana kaacha kazi zake nyingine zote. Wahenga wanasema kufa kufaana. Lazima Kibatara aonekane pesa hiyo kaifanyia kazi.
Ni "actus reus" siyo "actus leus"
"Mens rea" siyo mens lea
Kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Si rahisi, hata mimi nilitishika.Wanawezaje kukariri haraka vile!?
Actus reus= wrongful act/omission. men rea= wrongful intention/mindkwa faida yangu na wengine naomba tafasiri yake mkuu
Na kibaya zaidi anakutaka ukamuulize bosi wake kuhusu hilo. Lahaullah lakwata!Huwa najiuliza wafanyakazi wa serikali walisomea wapi ni weupe mno tena mnoooo
Mimi n bwege ila kwa wafanyakazi wa serikali (wengi wao) siwakuti kwa ubwege
Ila Yana nafasi kubwa dadeq, hela nzuri ila akili za kuvukia barabara
Hizo kesi zote wanapelekeshwa balaa yaani mtu anafanya Kazi za upelelezi anaulizwa kirefu cha idara yake hajui ***** wallah