Sitaki niandike mengi kwa kuwachosha watu huu ni muda wa kazi. Nitaweka point 2 tu zitatosha:
1. Umemsikia kumpigania kwa njia za mahakama kada wa CHADEMA wa Tanga aliopo mikono ya Polisi?Jiulize kwanini? Sio mwanachadema? Hataki na yeye kupata haki?
2. Lakini si ulimsikia alivyokuwa akiongoza kumtetea aliefungwa kwa kuchana picha ya Rais? Unadhani kwanini? anafanya kwa bahati mbaya?
Ipo mifano mingi na naweza kujaza kitabu kizima lakini kuokoa muda niandike haya.
Ni hayo tu.
1. Umemsikia kumpigania kwa njia za mahakama kada wa CHADEMA wa Tanga aliopo mikono ya Polisi?Jiulize kwanini? Sio mwanachadema? Hataki na yeye kupata haki?
2. Lakini si ulimsikia alivyokuwa akiongoza kumtetea aliefungwa kwa kuchana picha ya Rais? Unadhani kwanini? anafanya kwa bahati mbaya?
Ipo mifano mingi na naweza kujaza kitabu kizima lakini kuokoa muda niandike haya.
Ni hayo tu.