SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
-
- #81
shida hawa moderators mizinguo sana. Unajipinda kuandika, ukipost wanazuia thread. Ni very tiresome.Naunga mkono mkuu SteveMollel fanya kuunga hizi nyuzi kwa kuweka link au waombe Moderator
Shehe Ponda naye anaingia JF? Ana Account humu?Kuna mdau anasema Shehe Ponda kusoma Uzi wako analalamika amefungua uzi
Mkuu, kuwa serious basi. [emoji1]Kuna mdau anasema Shehe Ponda kusoma Uzi wako analalamika amefungua uzi
Kweli tafuta Uzi wake kufungua analalamika anasema Uzi wako part ZOTE 2 Shekhe Ponda amesomaMkuu, kuwa serious basi. [emoji1]
Amepelekewa na wadau wa humu asomeShehe Ponda naye anaingia JF? Ana Account humu?
Hamna SIO hivyoNdo ukubwa huo tafuta hela ulipe bills achana na sisi majobless
IlaHamna SIO hivyo
Sasa naachana Vipi
AyaSasa naachana Vipi
wewe mkaidi sana.
Kwaniniwewe mkaidi sana.
Unajua Nini Mchumba
Part 3 unaiweka baadae au KESHOshida hawa moderators mizinguo sana. Unajipinda kuandika, ukipost wanazuia thread. Ni very tiresome.
Ulisema utakuja JioniSijui
Nimekuja mbonaUlisema utakuja Jioni
UmekujajeNimekuja mbona
Nimekuja kukuona then nikasepaUmekujaje
Sawa basiNimekuja kukuona then nikasepa
Unajifichaje msikitini?..msikiti ni jengo la waziMbaya sana hiyo nakumbuka kibiti magaidi walikuwa wanajificha msikitini
Wa kibiti walikua wanaua viongozi wa CCM,polisi,hawakua raia,nilikua huko kipindi hicho,palikua na maneno mitaani kwamba hao jamaa walifunzwa na mtu/watu toka jeshiniNo wonder Magufuli aliwatandika wale jamaa bila huruma na wengine ndio wakakimbilia huko Msumbiji, hawafai wale wakiingia mtaani hawakumbuki ndugu, rafiki wala jirani, ni risasi tu zitatembea mpaka wamalize kazi yao.