Kiboko ya Wachawi aamua kuwaanika manabii wenzake, lengo ni nini?

Kiboko ya Wachawi aamua kuwaanika manabii wenzake, lengo ni nini?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.

Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani mbagala akaweka alafa jwenye mkutani akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.


Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?

Ngoja tuyaite: MK254 unaitwa huku!
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani mbagala akaweka alafa jwenye mkutani akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.


Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Malofa na mazuzu yatakuwa yamejaa bongo.
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani mbagala akaweka alafa jwenye mkutani akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.


Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Wote ni wale wale tuu
 
Chanzo kikuu cha kushamiri kwa matapeli wa kila aina nchini, kunatokana na udhaifu wa serikali iliyoko madarakani.
Ndio maana Kagame aliamua kuwachuja. Kama mtu anafanya utapeli na analenga wananchi ambao upeo wao wa kupambanua mambo ni mdogo, Serikali na vyombo vya dola hasa Polisi walipaswa kusimama kati ya hilo gap la uelewa wa wananchi na kuwashape manabii. Maana wanaongeza idadi ya masikini nchini.
 
Inakuaje kuwahusisha watu system na upuuzi, yaani jamaa wa kawe ni system? Kwa hiyo system hufanya abrakadabra kwa wananchi? Halafu hiyo siyo injili, hao manabii wa viingilio vya hela, udongo, maji na mafuta hawahubiri injili
 
Inakuaje kuwahusisha watu system na upuuzi, yaani jamaa wa kawe ni system? Kwa hiyo system hufanya abrakadabra kwa wananchi? Halafu hiyo siyo injili, hao manabii wa viingilio vya hela, udongo, maji na mafuta hawahubiri injili
Klip yake anasema jamaa wa ubungo..
Inaonekana manabii na mitume ni kama association flani hivi wanajuana na huwa wanasaidiana kuinuana. Sasa jamaa kageuka mbogo kuona yeye katimuliwa wenzake wanafanya zaidi ya utapeli wake wanakula maisha. Kaamua kuwalipua/kuwachafua.
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani mbagala akaweka alafa jwenye mkutani akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.


Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Waamini wa wengi wa Tanzania ni kondoo! Yamegeuzwa misukule bila kujijua!
 
Klip yake anasema jamaa wa ubungo..
Inaonekana manabii na mitume ni kama association flani hivi wanajuana na huwa wanasaidiana kuinuana. Sasa jamaa kageuka mbogo kuona yeye katimuliwa wenzake wanafanya zaidi ya utapeli wake wanakula maisha. Kaamua kuwalipua/kuwachafua.
hata kama asingewalipua wenye akili kubwa tunajua hao mitume na manabii ni feki, nyendo zao zinaonesha ni wapigaji tu
 
Back
Top Bottom