Kibonde afariki na mamilioni ya pesa za watu


Mezea basi, hizo ni sehemu ya rambirambi. Hazilipiki.
 
Ndio hapo watanzania tujifunze kusaini kwenye makaratasi hata pesa kidogo tunayolipa au kupokea. Makubaliano yanayohusu pesa bila kusaini mkataba iko siku utakula hasara.
Hapo pia hoja ya ma-Mc kusajiliwa na kulipa kodi inapokuja yaani wanakuwa na ofisi kabisa kama anavyofanya yule mgogo Mc Pilipili kwa kuwa na kampuni yake na hata kama likitokea lolote basi wanaweza kumpa Mc mwingine. Ila navyojua wengi wa ma-MC huwa na umoja wao na inapotokea dharula huwa wanamleta MC mwingine
 
Ndio muwe na utaratibu wa kuweka bima, kama wanavyofanya kwenye mikopo.
 
Ni Mara chache sana wanaodai wanatokea!
Kuna jamaa yangu mmoja kauzu kweli kuna msiba mmoja watu Wako makaburini pale waliposema Je kuna mtu mtu yoyote anayemdai marehemu jamaa aliibuka [emoji23]

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya kuitana hadharani haiko sawa, mwingine anaweza akawa anamdai marehem lakini ile nguvu ya kujitokeza mbele ya watu ili apewe haki yake anaikosa na kuamua kuipotezea kishingo upande

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alizikwa huyooo?aliyedaiwa 30m

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa haina ndungu wala hisia...

Watanzania wengi sijui darasani na maishani tunafaulu vipi. Aliyetoa mada Sio Mdai hata useme pesa aina hisia. Na angekuwa Mdai hapa Sio Mahali pake, so hoja yako kuwa pesa haina hisia Au undugu hapa ni misplaced. Ni dalili ya Watu walio frustrated, wivu, kupenda na kuombea mabaya wengine. Kilicho moyoni ndo humtoka mtu. It’s very sad
 
Ni mapenzi ya Mungu , kuna jamaa alimkopesha rafiki yake 2000000 kwa faida ya asilimia 20 kwa mwezi na haikuwa na maandishi kwani walishibana . Alifariki ghafla na pesa ikapotea ghafla . Ni kujipanga tena upya .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…