Kibu Denis atapanya zaidi ya milioni 200 Ulaya akisaka timu, aangukia pua! Awaomba radhi Simba

hawataki kua na mawakala matokeo yake ndio hayo. yaleyale ya feitoto.
 
Aondoke nchini akaitangaze simba
Simba ni lidude fulani hivi kuuubwa kuliko huyo kibu,yaani kama dini na muumini,au shule na mwanafunzi.
Simba inajulikaba dunia nzima,yenyewe ndio ya kumtangaza kibu and not othet wise
 
Simba ni lidude fulani hivi kuuubwa kuliko huyo kibu,yaani kama dini na muumini,au shule na mwanafunzi.
Simba inajulikaba dunia nzima,yenyewe ndio ya kumtangaza kibu and not othet wise
Hiyo simba Ina kombe Gani la Africa mzee la kufanya ijulikane duniani zaidi ya kuishia kudharirishwa goli 5
 
Hiyo simba Ina kombe Gani la Africa mzee la kufanya ijulikane duniani zaidi ya kuishia kudharirishwa goli 5
Kucheza ribo fainali zaidi ya mara tano its not a joke,kuna timu kubwa humu africa hazijafikia hiyo rekodi,mwaka 1993 alitinga fainali klabu bingwa dhidi ya stela abidjan,najua ulikuwa hujazaliwa.
 
Kucheza ribo fainali zaidi ya mara tano its not a joke,kuna timu kubwa humu africa hazijafikia hiyo rekodi,mwaka 1993 alitinga fainali klabu bingwa dhidi ya stela abidjan,najua ulikuwa hujazaliwa.
Wewe taja kombe Gani umechukua mpaka ujulikane duniani habari za kuanza kusema robo fainali ndio kombe hivi kumbe Africa Kuna kombe la robo fainali mara 3 unaulizwa umebeba ubingwa gani mpaka ujulikane unaleta habari za robo fainali unaakili timamu mzee
 
Ingia google utaona
 
Ok
Ingia google utaona
Kombe Gani umechukua wewe si shabiki wa hiyo timu uliyoisifia inajulika duniani na kigezo Cha kujulikana duniani ni makombe haya Ina kombe Gani hapa Africa zaidi ya kuchezea Gori 5
 
Milioni 200 unajenga mjengo wa maana kabisa hapo Goba
 
Kosa alilofanya ni kuchukua uraia wa Tanzania Bora hata angetumiaga tiiketi ya ukimbizi kuomba hifadhi Ulaya kishamambo mengine yangefuata baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…