n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Upuuzi mtupu, heri ukae kimya tu.Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Sasa kama anaelement za dikteta Magu si akatawale huko kwa washenzi wenzie burundi. Atuachie nchi yetu ya wastaarabu.Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa
Anyway but me namkubali polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
Ma v8 ya kijani💚💛💚Ma~V8
Yeye ni msukuma hivyo hakuna wa kumgusaKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Usisahau kuwa yeye na Gwaj boy ndio waanzilishi wa sukuma gangHicho kipindi chake anachokiita 'shule ya siasa' ukitazama kwa makini utagundua amekianzisha mahususi kumchamba Mama Cheif na kumfundisha kazi.
Wenezi ni wagumu kukubali mabadiliko hata Nape alipambana sana na mwendazakeKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Huyu bwana mdogo ni mbangaizaji wa kawaida kama akina January Makamba, Makonda, Dk Bashiru, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Nchimbi, Ridhwan Kikwete na wengine wanaobebwa ima na majina ya baba zao au ukaribu na mwendazake ambao nao sasa si mali kituKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Hana tofauti yoyote na Mwanamke mwingine wa Viti maalumuKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Ingefaa na huyu "apandishwe" chemo apelekwe ubalozini Afghanistan au SyriaAbdalah Posi alivuliwa enzi za Magu akapewa Ubalozi
Mama alifanya vizuri kumpiga chiniKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Kinaitwa 'Shule ya uongozi' halafu kiruka kupitia Tanzanite tvHicho kipindi chake anachokiita 'shule ya siasa' ukitazama kwa makini utagundua amekianzisha mahususi kumchamba Mama Cheif na kumfundisha kazi.
Inatakiwa avuliwe ubunge huyo mshenzi polepoleHivi kikatiba sami ahawezi mtoa/mvua ubunge
agraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa
Anyway but me namkubali polepole anaongea ukweli na ana element za umagu