Kiburi cha Polepole kimefika mwisho

Kiburi cha Polepole kimefika mwisho

Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Upuuzi mtupu, heri ukae kimya tu.
 
Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa

Anyway but me namkubali polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
Sasa kama anaelement za dikteta Magu si akatawale huko kwa washenzi wenzie burundi. Atuachie nchi yetu ya wastaarabu.

Jinga sana hilo Chakubamga.
 
Mbona mambo Polepole anayo yaongelea ni kama yale ambayo Mh Spika kayaongelea kwa January kuhusu mikataba juu ya mambo ya nishati na bei za petrol au Mh VP aliyo muambia Waziri wa ulinzi kuwa akaishi na Wajeda kwa busara kubwa na sikio pana la kusikia maana Wanajeshi hawa ni watu wapole. Akaiachia hewani.
 
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Yeye ni msukuma hivyo hakuna wa kumgusa
 
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Wenezi ni wagumu kukubali mabadiliko hata Nape alipambana sana na mwendazake

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 

Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.


Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
 
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Huyu bwana mdogo ni mbangaizaji wa kawaida kama akina January Makamba, Makonda, Dk Bashiru, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Nchimbi, Ridhwan Kikwete na wengine wanaobebwa ima na majina ya baba zao au ukaribu na mwendazake ambao nao sasa si mali kitu
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Hana tofauti yoyote na Mwanamke mwingine wa Viti maalumu
 
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Mama alifanya vizuri kumpiga chini
 
Zamani nilifikiri yeye ni msomi. Nimesikia sasa mara mbili masomo yake. Moja kuhusu Virusi na chanjo, haelewi anachojadili. Alishangaa kusikia eti virusi vimebadilika tena, anaona haiwezekani. Basi si lazima kujua kila kitu, lakini kama umepita kwenye chuo unatakiwa kujua sehemu gani huelewi unahitaji kujifunza hivyo afadhali kunyamaza kwanza... Labda sisasa inaharibu elimu iliyowahi kupatikana?

Juzi somo lingine kuhusu "political economy". amejiandaa vibaya, alisomasoma tu notisi zake na kurudiarudia, hakuandaa Kiswahili chake . . . .
Basi, si msomi.
 
Bilionea Polepole hana wasiwasi wowote mabilioni yaliyotokana na 10% za manunuzi ya mamluki aliyohifadhi Rwanda yanamtosha kabisa , hivi kuna mtu anaamini bei ya Mwita Waitara ilikuwa mil 800 ?
 
Back
Top Bottom