barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Kakufanyaje huyu jamaa? Bila shaka kakugongea mkeo.Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa...