Kiburi, Dharau na Ujeuri wa Yanga SC ipo Siku utawagharimu, watajuta na kukosa wa kuwatetea

Kiburi, Dharau na Ujeuri wa Yanga SC ipo Siku utawagharimu, watajuta na kukosa wa kuwatetea

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Endeleeni kudhani mnavyowafanyia Wazawa/ Waswahili wenzenu na wananyamaza basi itakuwa hivyo hivyo pia kwa Wazungu hata kama Kampuni zao zilizoko nchini Tanzania zinaongozwa/ zinasimamiwa na Waswahili na wana Yanga SC Wenzenu.
 
Umekuza za uso kule ukarudi na dawa pacha!!!

By the way Yanga ni janjajanja sana lkn kwenye Mkataba ni weupe kama maziwa ya Mbuzi
 
huwa nawashangaa Sana watu wanaowakosoa Yanga na Hizi issue za kimikataba,HIVI MNAHISI HADI YANGA WANAAMUA KUFANYA HAYO MAAMUZI WALIKURUPUKA!?INA MAANA WAO WANAPENDA KUKOSA DEALS!?HAWAJUI VIPENGELE WALIVYOKUBALIANA!? HAWAJUI KAMA WAKIKOSEA ITAWAGHARIMU PAKUBWA?

ACHENI HAYA MAMBO, KWA NINI MNAHISI YANGA TU NDIO WANAKOSEA NA SIO UPANDE WA PILI NAO WAMEJICHANGANYA KWENYE VIPENGELE VYA MIKATABA? AU YANGA TU NDIO WANAKOSEA HAO WENGINE NDIO HUWA SAHIHI!?

KUMBUKENI KUWA YANGA YA SASA SI ILE AMBAYO HAIKUWA NA RAISI,WEKENI HILI AKILINI[emoji41]
 
huwa nawashangaa Sana watu wanaowakosoa Yanga na Hizi issue za kimikataba,HIVI MNAHISI HADI YANGA WANAAMUA KUFANYA HAYO MAAMUZI WALIKURUPUKA!?INA MAANA WAO WANAPENDA KUKOSA DEALS!?HAWAJUI VIPENGELE WALIVYOKUBALIANA!? HAWAJUI KAMA WAKIKOSEA ITAWAGHARIMU PAKUBWA?

ACHENI HAYA MAMBO, KWA NINI MNAHISI YANGA TU NDIO WANAKOSEA NA SIO UPANDE WA PILI NAO WAMEJICHANGANYA KWENYE VIPENGELE VYA MIKATABA? AU YANGA TU NDIO WANAKOSEA HAO WENGINE NDIO HUWA SAHIHI!?

KUMBUKENI KUWA YANGA YA SASA SI ILE AMBAYO HAIKUWA NA RAISI,WEKENI HILI AKILINI[emoji41]
Ni kwasababu pale Yanga wenye akili ni wawili tuu
 
huwa nawashangaa Sana watu wanaowakosoa Yanga na Hizi issue za kimikataba,HIVI MNAHISI HADI YANGA WANAAMUA KUFANYA HAYO MAAMUZI WALIKURUPUKA!?INA MAANA WAO WANAPENDA KUKOSA DEALS!?HAWAJUI VIPENGELE WALIVYOKUBALIANA!? HAWAJUI KAMA WAKIKOSEA ITAWAGHARIMU PAKUBWA?

ACHENI HAYA MAMBO, KWA NINI MNAHISI YANGA TU NDIO WANAKOSEA NA SIO UPANDE WA PILI NAO WAMEJICHANGANYA KWENYE VIPENGELE VYA MIKATABA? AU YANGA TU NDIO WANAKOSEA HAO WENGINE NDIO HUWA SAHIHI!?

KUMBUKENI KUWA YANGA YA SASA SI ILE AMBAYO HAIKUWA NA RAISI,WEKENI HILI AKILINI[emoji41]
Bongo wajuaji ni wengi sana mkuu na wana uwezo wa kuchambua kila jambo iwe la kisheria la udaktari au ufundi ujenzi.
 
Tatizo la Sportpesa Tz chini ya Tarimba ni ushabiki na hili litapoteza dira ya hiyo kampuni hapa nchini.
 
Back
Top Bottom