Kichaa cha kulogewa huonesha kosa ulilofanya

Kichaa cha kulogewa huonesha kosa ulilofanya

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Ukipita pita huko mtaani angaza!

1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni.

2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.

3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma.

4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi.

5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh.

6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki.

7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza (yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni, huwa ni yatima).
 
Ukipita pita huko mtaani angaza!

1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni
2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.
3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma
4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi
5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh
6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki
7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza! (Yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni huwa ni yatima!
[emoji850]
JamiiForums1248813803.jpg

Hivi na wale wanaoongea ILINGISH na wengine wanakua kama wanafundisha hua wamefanya nini! Na alie data kikawaida(spring zime luzi) hua wana tabia gani na hawa walio tolewa kafara wana tofauti gani na hao wengine
 
Ukipita pita huko mtaani angaza!

1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni
2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.
3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma
4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi
5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh
6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki
7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza! (Yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni huwa ni yatima!
Duh! Mtoa mada hapa umeupiga mwingi Sana jamani 🤔🤔
 
Ukipita pita huko mtaani angaza!

1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni
2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.
3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma
4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi
5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh
6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki
7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza! (Yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni huwa ni yatima!
Ungefika kumi nadhani tungepata picha ila naona ka ukweli flani
 
Ukipita pita huko mtaani angaza!

1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni
2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.
3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma
4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi
5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh
6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki
7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza! (Yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni huwa ni yatima!
20221211_053949.jpg
 
. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki
7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza! (Yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni huwa ni yatima!
 
Nyongezaaa. Vichaa wote walofanyiwa mambo ikifika saa sita mchana kwa dakika kama kum mpaka 20 wanakuwa na akili zao timamu kabisa na pale unaweza kumuuliza jambo na akakujibu.
 
Nyongezaaa. Vichaa wote walofanyiwa mambo ikifika saa sita mchana kwa dakika kama kum mpaka 20 wanakuwa na akili zao timamu kabisa na pale unaweza kumuuliza jambo na akakujibu.
Nitachunguza kesho nikamsemeshe mmoja
 
Back
Top Bottom