Kichaa cha kulogewa huonesha kosa ulilofanya

Kichaa cha kulogewa huonesha kosa ulilofanya

Ukipita pita huko mtaani angaza!

1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni
2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.
3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma
4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi
5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh
6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki
7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza! (Yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni huwa ni yatima!
Huyu kichaa namba 7 ni mlemle aiseee, baba yangu kaiba mali za umma kipindi cha ujana wake saivi zinamtesa yeye..
 
MWEHU ANACHEKESHA KAMA HATOKEI KWENU, wanaojua adha wanayopitia hao watu hawawezi kuandika dhihaka na kejeli dhidi yao,,
 
MWEHU ANACHEKESHA KAMA HATOKEI KWENU, wanaojua adha wanayopitia hao watu hawawezi kuandika dhihaka na kejeli dhidi yao,,
Bro hakuna dhihaka Bali tunajadili sayansi asilia!
Kwamba malogo yapo na watu wanalogega!
Enzi hizo Nimewahi kumroga MTU aliniibiaga simu kwa dirishani!
Iliiniuma sana! Nikaenda kuroga!

Huyo mwizi muda wote anashikilia jiwe sikioni kama simu anaongea!

Sahiv Natamani ningemsamehe tu ila enzi niliiumia! Atajua mwenyewe!
 
Bro hakuna dhihaka Bali tunajadili sayansi asilia!
Kwamba malogo yapo na watu wanalogega!
Enzi hizo Nimewahi kumroga MTU aliniibiaga simu kwa dirishani!
Iliiniuma sana! Nikaenda kuroga!

Huyo mwizi muda wote anashikilia jiwe sikioni kama simu anaongea!

Sahiv Natamani ningemsamehe tu ila enzi niliiumia! Atajua mwenyewe!
Mi sio bro,

Mwehu anachekesha akiwa sio ndugu yako,
 
8. Kiongozi au mwanasiasa anayerogwa kwa kupindisha matumizi ya pesa ya ruzuku kwa faida zake na kundi lake dogo huwa anapatwa na hali ya kutoeleweka.....leo atasema kule siendi, kesho mtamuona huko anapiga asali au juisi
 
Ukipita pita huko mtaani angaza!

1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni.

2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.

3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma.

4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi.

5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh.

6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki.

7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza (yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni, huwa ni yatima).
Namba 3 ni unyama sana...kitu mauno
 
Back
Top Bottom