Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Sawa mkuu ila iwe kalogwa tuu. Au kafanyiwa michezo na wana wa adamuNitachunguza kesho nikamsemeshe mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu ila iwe kalogwa tuu. Au kafanyiwa michezo na wana wa adamuNitachunguza kesho nikamsemeshe mmoja
Oooh hiyo kitaalam ikoje! Kwanini SAA SitaSawa mkuu ila iwe kalogwa tuu. Au kafanyiwa michezo na wana wa adamu
Huyu kichaa namba 7 ni mlemle aiseee, baba yangu kaiba mali za umma kipindi cha ujana wake saivi zinamtesa yeye..Ukipita pita huko mtaani angaza!
1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni
2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.
3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma
4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi
5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh
6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki
7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza! (Yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni huwa ni yatima!
Bro hakuna dhihaka Bali tunajadili sayansi asilia!MWEHU ANACHEKESHA KAMA HATOKEI KWENU, wanaojua adha wanayopitia hao watu hawawezi kuandika dhihaka na kejeli dhidi yao,,
Mi sio bro,Bro hakuna dhihaka Bali tunajadili sayansi asilia!
Kwamba malogo yapo na watu wanalogega!
Enzi hizo Nimewahi kumroga MTU aliniibiaga simu kwa dirishani!
Iliiniuma sana! Nikaenda kuroga!
Huyo mwizi muda wote anashikilia jiwe sikioni kama simu anaongea!
Sahiv Natamani ningemsamehe tu ila enzi niliiumia! Atajua mwenyewe!
Hahaha sio mwizi wa yale mafuta?Huyu atakua kichaa wa tanesco anaetukatia umeme sasa wamemloga
Ni jambo moja gumu mnoMWEHU ANACHEKESHA KAMA HATOKEI KWENU, wanaojua adha wanayopitia hao watu hawawezi kuandika dhihaka na kejeli dhidi yao,,
Wachanga wa maisha hawaelewi,Ni jambo moja gumu mno
Namba 3 ni unyama sana...kitu maunoUkipita pita huko mtaani angaza!
1. Vichaa wengi walioiba nguo wanapenda kukaa uchi huku wakiwa na furushi mgongoni.
2. Kichaa aliyeiba bodaboda hakosi ELEMET kichwani au koti/refrecta.
3. Kichaa aliyekula mke wa mtu muda wote mbele za watu akifika hukata mauno au kupampu kiuno mwanzo mwisho had huruma.
4. Kichaa aliyelogwa kwa ugomvi au ukorofi muda wote ana rungu au mawe mkononi.
5. Kichaa aliyeiba gari muda wote anatia gia mdomoni ...jiiiiiimuuuh.
6. Kichaa aliyekula sadaka na kuwaibia waumini anataja misitari ya bibilia lakini havielewiki.
7. Kiongozi mwenye laana ya kuiba mali za umma huandamwa na mapoooza (yaani huwa wanapesa machoni lakini hawana raha moyoni, huwa ni yatima).
Mkuu sifahamu kwann saa sita ila ndo hvyo mkuuOooh hiyo kitaalam ikoje! Kwanini SAA Sita