Kichaa haachiwi fursa ya kufanya maangamizi-Ndugu Bernard Membe ziba masikioni, Mahakama iheshimiwe stay firm.

Kichaa haachiwi fursa ya kufanya maangamizi-Ndugu Bernard Membe ziba masikioni, Mahakama iheshimiwe stay firm.

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello JF readers and family.
Wazandiki na wanafiki ni wauaji, wakati hao wahuni na wadhenzi wakiandika mengi sana kuhusu senior na historical figure na more specifically a gallant and long serving stateman B. Membe, we didn't hear and see them trying hard and wisely to advise Magufuli and his allies to behave with an integrative, resilience, maturity, democratic, unifying, ant commotions leadership.

It's a pity that Magufuli behaved and acted so foolishly with his family, chiefdom, self-oriented mindsets and attitude on his leadership and astonishingly none of these self-proclaimed religious angels had dared to publicly and categorically shy-off Magufuli regime from such uncalled for and uncouth practices.

Those who either partially or fully are aware of statehouse management, political management, leadership, administration, diplomacy, inclusive economic development paths, be it universall or glocalized perspectives would fully agree Magufuli naive and complacent kind of a person. This was unhealthy for an infant emerging markets economies like Tanzania.

Peace, harmony, integration, national bonding, enhancing strategic security both internal and geoperspective, wealth creation suffered miserably during this junta of his own kind.

He was a junta by practice.

A nation can never and shall never be allowed to be led by any privileged individual as his or her family, clan or chiefdom.

Musibaa perpetuated genocidal behaviors and no sensible man other than the political opposition side who tirelessly warned that rat.
Stayed tuned it's time for this Nyamanghambile rat to face it by his ass and eyes.
burdens are shared by our own deeds.

Copy to all cowards of this nation

When a courageous man stood by himself on prime crisis time no body anchored for him.

Ndugu Membe some of us who closely followed everything from different perspective and dimensions during Magufuli reign fully support you.

For democracy, constitutionality and our true God.

I beg to share.

 Wadiz
 
Hakuna kitu msiba atalipa, nashangaa mtu mzima kama wewe na tuvingeleza twako hujui michezo ya siasa ya hii nchi.

Au na ww umezaliwa Miaka ya 2000s

Wazee tunajua hili movie litakavyo Isha kwanza membe na musiba wote siyo masitelingi.


Sterling yuko pembeni anasubili daika za mwisho aingie uwanjani movie iishe.
 
Hakuna kitu msiba atalipa, nashangaa mtu mzima kama wewe na tuvingeleza twako hujui michezo ya siasa ya hii nchi.

Au na ww umezaliwa Miaka ya 2000s

Wazee tunajua hili movie litakavyo Isha kwanza membe na musiba wote siyo masitelingi.


Sterling yuko pembeni anasubili daika za mwisho aingie uwanjani movie iishe.
Acha ujinga wa kimazoea.Wewe unaumia nini?Ungemfundisha jinsi kesho inavyotamkwa kabla ya haya yatokeayo.Yeye kule analia halafu wewe unaandika kama huna kichwa.
 
Hakuna kitu msiba atalipa, nashangaa mtu mzima kama wewe na tuvingeleza twako hujui michezo ya siasa ya hii nchi.

Au na ww umezaliwa Miaka ya 2000s

Wazee tunajua hili movie litakavyo Isha kwanza membe na musiba wote siyo masitelingi.


Sterling yuko pembeni anasubili daika za mwisho aingie uwanjani movie iishe.
hitimisho la misifa ya moyo wa kusamehe, utengemano au hio ni diluted thinking, yule panya mpaka anye public akiwa zero assets.
 
Hakuna kitu msiba atalipa, nashangaa mtu mzima kama wewe na tuvingeleza twako hujui michezo ya siasa ya hii nchi.

Au na ww umezaliwa Miaka ya 2000s

Wazee tunajua hili movie litakavyo Isha kwanza membe na musiba wote siyo masitelingi.


Sterling yuko pembeni anasubili daika za mwisho aingie uwanjani movie iishe.
Halafu unajiona mjuvi wa mambo? Hopeless comment ever.
 
Mm na ww wote tuko nyuma ya keyboard hatuna haja ya kutukanana sababu hatujuani na huna haja ya kuandika kwa mihemko kama vile huna unachojua kwenye hii nchi.


Naomba nimalizie kwa kusema hakuna kitu msiba atalipa kwa membe kama hutaki tafadhali usinitukane mm sina mihemko na ushabiki kama wako najua nn kinaendelea na najua Nan atakuwa msemaji wa mwisho wa kumzuia membe asidai chochote kwa msiba

Vijana hebu acheni mihemko tafadhar
 
Mm na ww wote tuko nyuma ya keyboard hatuna haja ya kutukanana sababu hatujuani na huna haja ya kuandika kwa mihemko kama vile huna unachojua kwenye hii nchi.


Naomba nimalizie kwa kusema hakuna kitu msiba atalipa kwa membe kama hutaki tafadhali usinitukane mm sina mihemko na ushabiki kama wako najua nn kinaendelea na najua Nan atakuwa msemaji wa mwisho wa kumzuia membe asidai chochote kwa msiba

Vijana hebu acheni mihemko tafadhar
very composed mind let's wait and see 👍👍👍
 
Mm na ww wote tuko nyuma ya keyboard hatuna haja ya kutukanana sababu hatujuani na huna haja ya kuandika kwa mihemko kama vile huna unachojua kwenye hii nchi.


Naomba nimalizie kwa kusema hakuna kitu msiba atalipa kwa membe kama hutaki tafadhali usinitukane mm sina mihemko na ushabiki kama wako najua nn kinaendelea na najua Nan atakuwa msemaji wa mwisho wa kumzuia membe asidai chochote kwa msiba

Vijana hebu acheni mihemko tafadhar
Sasa,kwani ukitulia na kuweka mikono mapajani kwa upole,kuna shida?Kadiri unavyoendelea kuandika ndivyo unaonekana zaidi ulivyovaa suti ya kuogelea.
 
Haya ni matusi kwa muhimili wa mahakama
Hakuna kitu msiba atalipa, nashangaa mtu mzima kama wewe na tuvingeleza twako hujui michezo ya siasa ya hii nchi.

Au na ww umezaliwa Miaka ya 2000s

Wazee tunajua hili movie litakavyo Isha kwanza membe na musiba wote siyo masitelingi.


Sterling yuko pembeni anasubili daika za mwisho aingie uwanjani movie iishe.
Ni
 
Back
Top Bottom