ila naona baada ya chanjo akaamua kupitia hotelini. hayo mazingira ni ya hotel.Jumatano ni siku ya chajo kwa watoto pale aghakhan na faiza alikwenda huko.
Mlitaka akae nae ndani mpaka mila zenu zitakaporuhusu ndio atoke ampeleke?
Au angeenda yeye pekee kwa niaba ya mtoto??
Au ninyi wenzetu baada ya kujifungua huwa mnafuatwa ndani na madaktari kila chanjo na mnapokua na tatizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hapo sio sehem ya chanjo kama usemavyo.
Yes dear na sidhani kama ni kosa na kumkashfu.ila naona baada ya chanjo akaamua kupitia hotelini. hayo mazingira ni ya hotel.
Hata me nilimpeleka chanjo nikatoka nikanywa supu sehemu sababu nilikaa sana hospital sema sikupiga picha
Wewe mama yako alikua anapaa vuu mpaka home baada ya kutoka kukupeleka chanjo au hospital?[emoji23]Kwahiyo hapo sio sehem ya chanjo kama usemavyo.
Hapo ndio nlitaka kushangaa mama anarnda nyumbani bila hizo chanjoWewe ndio umesema kuwa ameenda kwenye chanjo, maana chanjo za mwanzo ni kwa ajili ya Polio na ile ya BCG na hizo mara nyingi mtoto huwa anachomwa mtoto kabla ya kwenda nyumbani baada ya mama wa mtoto kujifungua
Haya hakwenda aghakhan alikwenda kumtembeza mitaani mtoto[emoji23] [emoji23]Wewe ndio umesema kuwa ameenda kwenye chanjo, maana chanjo za mwanzo ni kwa ajili ya Polio na ile ya BCG na hizo mara nyingi mtoto huwa anachomwa mtoto kabla ya kwenda nyumbani baada ya mama wa mtoto kujifungua
Mi nilijifungua nikaenda nyumbani nikaambiwa nirudi sababu hawezi fungua dawa ya chanjo kwa mtoto mmoja .. so nilirudi baada ya siku nne .. inatokea hasa hospital za private okeyWewe ndio umesema kuwa ameenda kwenye chanjo, maana chanjo za mwanzo ni kwa ajili ya Polio na ile ya BCG na hizo mara nyingi mtoto huwa anachomwa mtoto kabla ya kwenda nyumbani baada ya mama wa mtoto kujifungua
Chanjo gani hiyo alienda kupewa?!Wewe mama yako alikua anapaa vuu mpaka home baada ya kutoka kukupeleka chanjo au hospital?[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Si bora akawa Malaya anaejielewa na maisha yake yanaenda poa tu.Huyu dada nilisikiaa alikuwa malayaa
shushushu VIP
Si hospital zote na hawafungui chanjo kama ni watoto chini ya kumi so tunaruhusiwa then tunarudiChanjo gani hiyo alienda kupewa?!
Chanjo za mwanzo za mtoto huwa zinatolewa kabla mama hajaruhusiwa kutoka hsptl.
Hapo sio aga khan ni hotel kwahiyo siwezi kukubaliana na mtu anayesema alikuwa kwny chanjo
Siku nyingine usichukue mtt kabla hajapewa chanjo hamna sehem inayosema mpk wawe wengi ndio chanjo ifunguliwe.Mi nilijifungua nikaenda nyumbani nikaambiwa nirudi sababu hawezi fungua dawa ya chanjo kwa mtoto mmoja .. so nilirudi baada ya siku nne .. inatokea hasa hospital za private okey
Hilo ni somo jipya basi my second on december mwakani nitagoma mpaka apewe chanjoSiku nyingine usichukue mtt kabla hajapewa chanjo hamna sehem inayosema mpk wawe wengi ndio chanjo ifunguliwe.
Mimi mdogo wangu aligoma kuambiwa aende arudi na wakampa chanjo
[emoji2] [emoji2] kwa raha zako mwayaaHata me nilimpeleka chanjo nikatoka nikanywa supu sehemu sababu nilikaa sana hospital sema sikupiga picha
Pambaneni na Hali zenu. Huyo faiza mkisema mmufatilie mtaumiza vichwa vyenu tu.
Kaweza kuvaa pembas kwenye mkusanyiko wa watu.
Ndo mambo Madogo kama haya yampe shida
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Heh! Kachanga kamepata Mama!!! Hata wiki bado kanabebwa kwenye kikapu? Yaani hata ule ujoto joto wa Mama kana ukosa!Naona sasa hivi utandawazi umekuwa kwa kasi sana kichanga hakija fikisha hata siku 7(wiki moja)kinaanza kutembezwa kwenye mitaa,hili nimeliona kwa mrembo Faiza Ally.
Picha hapo chini[emoji116]
Nb:Wabobezi wa mambo ya Afya na dini hii imekaaje?piteni mtutoe tongo tongo kwenye hili.
-Ndumilakuwili-