Kichanga cha Faiza Ally chaanza kutembezwa kwenye mitaa!!!

Kichanga cha Faiza Ally chaanza kutembezwa kwenye mitaa!!!

Lakini babe sio mbaya kila mtu na aina yake ya maisha.... ulivyotoka hospital straight home.... alivyotoka hospital akapitia hotel ale then arudi home.... picha ni moja tu me nilijua zipo picha mia za mitaa tofauti tofauti ndio tungesema kamzurulisha..... so chillax okay??

By the way mtoto wako anaendeleaje now.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
ni huruma tu kwa mtoto ndiyo maana , yeye akiamua kuzulura afanye tu hvyo ila mtoto amwache kwanza.

yuko poa sana, tunaangaliana tu kwa furaha.
 
Kwanza ana low immunity bado, so yupo prone to infections, pili yupo kwenye hatari ya sepsis kupitia kitovu (umbilical cord), tatu yupo kwenye perinatal period still hajaadapt mazngra mapya baada ya kuzaliwa, na pia hajawa covered kote na anamtembeza sehem za watu weng anaweza pata TB kutokana na droplets wanapokohoa,malaria pia coz mbu wapo kila sehem plus URTI(Upper Respiratory Tract Infections) kutokana na vumbi na bacteria ambao wapo free on air, ni wengi... infact huyu ni wakushtakiwa, hamtendei haki mtoto huyu.
 
Naona sasa hivi utandawazi umekuwa kwa kasi sana kichanga hakija fikisha hata siku 7(wiki moja)kinaanza kutembezwa kwenye mitaa,hili nimeliona kwa mrembo Faiza Ally.
Picha hapo chini[emoji116]
0f33a98cda554b20fe5ccb9fe4290c7e.jpg
cf35515ca87a81f49283136fad73df3b.jpg
9739e02c4defdc805c42fb4d6499a635.jpg




Nb:Wabobezi wa mambo ya Afya na dini hii imekaaje?piteni mtutoe tongo tongo kwenye hili.

-Ndumilakuwili-
Kwadani yake lazima siku 40 ndo mtoto anatoka nje .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni huruma tu kwa mtoto ndiyo maana , yeye akiamua kuzulura afanye tu hvyo ila mtoto amwache kwanza.

yuko poa sana, tunaangaliana tu kwa furaha.
wow!!! kiss him/her for me plz.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Kwanza ana low immunity bado, so yupo prone to infections, pili yupo kwenye hatari ya sepsis kupitia kitovu (umbilical cord), tatu yupo kwenye perinatal period still hajaadapt mazngra mapya baada ya kuzaliwa, na pia hajawa covered kote na anamtembeza sehem za watu weng anaweza pata TB kutokana na droplets wanapokohoa,malaria pia coz mbu wapo kila sehem plus URTI(Upper Respiratory Tract Infections) kutokana na vumbi na bacteria ambao wapo free on air, ni wengi... infact huyu ni wakushtakiwa, hamtendei haki mtoto huyu.
[emoji106]

-Ndumilakuwili-
 
huna exposure yakutosha wew umezoea kufunikwa funikwa na kufichwa kwa watoto kama wagonjwa nenda ulaya uone mtoto kazaliwa asubuh jioni yuko supermarket maisha yanaendelea mnadhani izo likizo wanazopewaga ulaya ni za kulala kitandani na kujifunika?
 
huna exposure yakutosha wew umezoea kufunikwa funikwa na kufichwa kwa watoto kama wagonjwa nenda ulaya uone mtoto kazaliwa asubuh jioni yuko supermarket maisha yanaendelea mnadhani izo likizo wanazopewaga ulaya ni za kulala kitandani na kujifunika?
Pitia maelezo ya wataalam acha kubwabwaja[emoji116]
Kwanza ana low immunity bado, so yupo prone to infections, pili yupo kwenye hatari ya sepsis kupitia kitovu (umbilical cord), tatu yupo kwenye perinatal period still hajaadapt mazngra mapya baada ya kuzaliwa, na pia hajawa covered kote na anamtembeza sehem za watu weng anaweza pata TB kutokana na droplets wanapokohoa,malaria pia coz mbu wapo kila sehem plus URTI(Upper Respiratory Tract Infections) kutokana na vumbi na bacteria ambao wapo free on air, ni wengi... infact huyu ni wakushtakiwa, hamtendei haki mtoto huyu.


-Ndumilakuwili-
 
...Kama alikuwa anampeleka tu hospital basi hamna tatizo ila kama alikuwa kwa matembezi hapo kuna walakini..mama ndio anatakiwa akishajifungua apumzike mwili ulicover kupata nguvu zaidi.
 
Msimpangie mimba alibeba mwenyewe jamani! kila mtu ana lifestyle yake.Faiza kwa raha zako ikiwezekana mfanyie photoshoot ya beachbebas.
 
Kwahili mnamuone faiza...huwezi jua kwa nini katoka pengine mtoto kapelekwa chanjo au kapata homa ikabidi amrudishe hosp..
 
Back
Top Bottom