Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Kilichomchekesha ni 1130138344 'DENIS OWNER' 😂
 
Kabisa! Kuna kitu ambacho baadhi ya watu hawakijui. Mtu unaweza kuwa Dubai ukafanya installation ya WhatsApp au Telegram (na kuanza kuitumia) kwa number ya simu ya Dubai. Ukija Tanzania ni hiari yako kuibadilisha hiyo number kwenye WhatsApp au Telegram. Vinginevyo, hiyo platform inaweza kuendelea kutuma messages kwa number hiyo ya Dubai ambako ulishaondoka kitambo, hata kama umeshaweka line tofauti kwenye hiyo simu. Unachohitaji ni internet connection tu kwenye simu yako ambayo uliiwekea hiyo platform!
na hiyo namba iliyotumika kufungua kama hata ni ya dubai au tanzania ndio inayohitajika kwa sababu ndio inayobeba account mda wote.
 
na hiyo namba iliyotumika kufungua kama hata ni ya dubai au tanzania ndio inayohitajika kwa sababu ndio inayobeba account mda wote.

Yes, lakini mtu asiyejua anaweza kuanza ubishi kwamba “hii siyo message ya fulani” kwa sababu tu number inayoambatana na hiyo message siyo number ya huyo mtu inayofahamika (i.e., iliyoko kwenye simu)!
 
Shahidi alikwisha timiza kazi yake.

Kibatala anaendeleza Porojo tu.

Ushahidi muhimu ni uthibitisho wa mawasiliano ya Mbowe na Luteni shupavu Urio.

Pia kuthibitishia mahakama kwamba yeye ndie aliyewaunganisha Makomandoo wale na Mbowe.

Kazi yake ameimaliza,tunasubiri shahidi wa 13.

Tulieni mahakama ichape kazi.
Ni kosa kuwasiliana?
Ni kosa kuwaunganisha wale makomandoo kwa kazi ya ulinzi? Hivi watu wengine mnawaza kwa kutumia nini?
 
Shahidi alikwisha timiza kazi yake.

Kibatala anaendeleza Porojo tu.

Ushahidi muhimu ni uthibitisho wa mawasiliano ya Mbowe na Luteni shupavu Urio.

Pia kuthibitishia mahakama kwamba yeye ndie aliyewaunganisha Makomandoo wale na Mbowe.

Kazi yake ameimaliza,tunasubiri shahidi wa 13.

Tulieni mahakama ichape kazi.

Umuhimu wa ushahidi wa Lt Urio ni kama haupo, kwa sababu Mbowe hajawakana wale makomandoo. Labda akiwakana, which is less likely to happen!
 

"The lights are on but nobody at home"​


said to mean that although someone seems to be normal or satisfactory, they are in fact very stupid or useless
... in short kifasihi "The lights are on but nobody at home" ni matusi ya rejareja kwamba wewe ni mjinga kitu ambacho hakikuchukua muda kudhihirika kwa aliyeambiwa hivyo kucheka ovyo mahakamani kama zuzu! Kibatala nimemkubali! Biblia yumo; fasihi hadi za kimalkia yumo!
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Anatamani aseme ukweli lakini anaogopa sababu anatokea lockup ndiyo anakuja mahakamani
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Ni kujiamini kwa shahidi, hali hiyo imemfanya Kibatala aonekane ndiye mjinga
 
Siasa zenu hizi bna zinawavuruga saana..nadhani siku mtu akijamba uko mahakamani mnaweza kuja kuandika uzi umu kwa nini flani kajamba..nadhani kuna wakili wa jamii forum na wa uko kwenu kwenu..mawakili wa jamii forum upande wa mtuhumiwa na serikali naona wote wanauliza maswahili yao uku ambapo hakuna mashaidi
Umeandika nini?
 
Namba ipo na inaonekana lakini wanavyoulizana kiboya sana
Eti kiboya. Hujui chochote. Maswali ya mitego muda mwingine,wewe usiejua utajua ni la kiboya. Lakini mbele lina maana. Ndio maana hapo kuna namba tayari
 
Labda kwasababu Telegram sio lazima kutumia namba kuwasiliana na mtu, unaweza kutafuta username ya mhusika na kumtumia ujumbe..

Lakini lazima kuwe na numeric identification of some sort, hata namba za simu pia hutumika katika kujiunga, huyo jamaa alicheka akidhani this tym wakili ameuliza swali kimakosa kumbe yy ndio anajiaibisha zaidi…
 
Back
Top Bottom