Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Nikujaribu kukupasuliavipi unataka experience ukajaribu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikujaribu kukupasuliavipi unataka experience ukajaribu?
Kuna mmoja aliwekaga picha hapa, badala ya kushauriwa Ke wakaanza kumsifia tu...😜Muongozo bila picha? 🤣🤣🤣 Aweke Kwanza hilo lenge lenge ili wataalam wajue anywe azuma box ngapi.
Fistula kwa mwanaume hii imekaaje mkuu???Dickhead maamaee. Itakuwa ni Fistula tuu!
The Stress ChallengerrKwa akili hizi ndio maana The Stress Challenger kala ban
Fistula na dickhead wapi na wapi?
Hiyo ni "covid ya mkunyenge" dawa yake ni kuukata!sijui ni mambukizi maana nililala na manzi
Hadi sasa kinawasha mnoo adi kubabuka, nilpata na vipele mapajan nikatumia scaboma ahueni ila kwa dushe aviskiii vinawasha mbaya mbovu
pia kama kinaleta lenge lenge
je si herpes kweli
Ni hiyo hiyo tuu.Fistula kwa mwanaume hii imekaaje mkuu???
Great mazee, watu wanatisha eti gono nilisex muda sana kama gono ningekuw nisha salendaScabies hizo
Piga Ivemectin na jipake Scaboma mwili mzima
GreatScaboma unayotumia ndo tiba sahihi, watibu na wanaokuzunguka pia fua nguo zote Hao ni mites ukizembea una dumu nao hata miezi mitatu.
Wako anapasuaga kondom..?na hapo utakua ulipasua condom ukijua unamkomoa
Nawaambiaga vijana kinga ni bora kuliko tiba, wenyewe wanasema huwezi kula pipi na maganda.Yani wanaume mnachekesha sana aiseee yani hilo dushe likishasimama hamnaga mnalowaza...
sijui ngoj nimuulzeWako anapasuaga kondom..?
Umenifurahisha sana,hahasijui ngoj nimuulze
sijui ni mambukizi maana nililala na manzi
Hadi sasa kinawasha mnoo adi kubabuka, nilpata na vipele mapajan nikatumia scaboma ahueni ila kwa dushe aviskiii vinawasha mbaya mbovu
pia kama kinaleta lenge lenge
je si herpes kweli
sasa mihe nitajuaje😆Umenifurahisha sana,haha
Mzima lakini wewe..?sasa mihe nitajuaje😆