Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
sana tu vipi weweMzima lakini wewe..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana tu vipi weweMzima lakini wewe..?
Me mzima, nakusalimia tu wewesana tu vipi wewe
shukurani sanaMe mzima, nakusalimia tu wewe
Nitafute badae basi na uwe na jioni njema.shukurani sana
Si utawaona wazungu kumanih?sasa mihe nitajuaje😆
Yani kichwa kina magamba kama nyoka anaejivua gambaDalili za Gono wahi matibabu mapema, uko mkoa gani??
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🏃🏾♀️🏃🏾♀️Si utawaona wazungu kumanih?
oooh sawa asanteNitafute badae basi na uwe na jioni njema.
Picha muhimu Sanaa mkuu ili tujue tuna anzia wapi kukushauri...Sijui ni mambukizi maana nililala na manzi
Hadi sasa kinawasha mno hadi kubabuka, nilpata na vipele mapajan nikatumia scaboma ahueni ila kwa dushe avisikiii vinawasha mbaya mbovu
Pia kama kinaleta lenge lenge
Je si herpes kweli
😂😂 Forum ilisimama kwa muda pumbu halina haliDah kuna mwamba aliweka pmbu limelika, limekua kama kiazi kilichoshambuliwa na wadudu.
Asiweke bana ataenda kuonesha hospital azuma zikidunda.
Unajielewa...Nawaambiaga vijana kinga ni bora kuliko tiba, wenyewe wanasema huwezi kula pipi na maganda.
Mimi juzi nilichagua kubaki na hamu zangu kuliko kuuza mechi.
Afya ni ya muhimu sana siwezi kubeti na afya yangu. Watu wengi wana mengi ambayo ni hatarishi sana kwa afya.Unajielewa...
Bila shaka ashapona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa, akhiii LolAiseee...nilishawatahadharisha lakini...kuna gono la mwendokasi...
Pole...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dickhead maamaee. Itakuwa ni Fistula tuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pangusa hiyo jiandae ndani ya wiki 3 unaenda kubaki na kiwiliwili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah kuna mwamba aliweka pmbu limelika, limekua kama kiazi kilichoshambuliwa na wadudu.
Asiweke bana ataenda kuonesha hospital azuma zikidunda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina experience na huo ugonjwa nakumbuka kuna ndugu yangu alikuwa nao ...akavaa nguo yangu nami nikaupata vipi ukijikuna unajiskia raha sana hasa muda wa usiku ???
Kama ni huo basi usiogope nenda kitua cha kutolea huduma za afya utapata suluhisho matibabu sio chini ya 20,000