Kichwa cha dushe kinawasha sana

sijui ni mambukizi maana nililala na manzi
Hadi sasa kinawasha mnoo adi kubabuka, nilpata na vipele mapajan nikatumia scaboma ahueni ila kwa dushe aviskiii vinawasha mbaya mbovu
pia kama kinaleta lenge lenge

je si herpes kweli
Hiyo ni "covid ya mkunyenge" dawa yake ni kuukata!
 
Nina experience na huo ugonjwa nakumbuka kuna ndugu yangu alikuwa nao ...akavaa nguo yangu nami nikaupata vipi ukijikuna unajiskia raha sana hasa muda wa usiku ???

Kama ni huo basi usiogope nenda kitua cha kutolea huduma za afya utapata suluhisho matibabu sio chini ya 20,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…