Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

All in all, huyo YESU WA BIBLIA NI TOFAUTI NA ISA WA QURAN

Unanukuu vifungu , hujui hata maana yake
lakin kaka hata kama kuna utata wa maandko kwenye maneno hayo utata uko WAP hayo maneno hamyasom ndo maana hata mkinikuliwa munashangaa na kuishia kusema hamjui maana ya maandko hayo,na ndo majibu hayo hayo munayopewa na wataalam eenu bila kutafar
Kuna watu wengi, wengine ni wasomi kabisa lkn naona bado hawajui kuwa wayahudi sio wa kristo, kuna watu humu wana toa comments zao kama kishabiki hivi wakifurahia wayahudi kuitwaa Jerusalem wakidhani wayahudi ni wa kristo.
 
kila mjumbe anapotumwa kulingania watu in lazima atamuhusisha mungu aliyemtuma na mwenyewe aliyetumwa hali hiyo IPO kwa mitume wot na kwa nyakat zote za ibrahima(a.s) musa(a.s) ISSA(s.s) na Muhammad(a.s)
 
acha pumba zako na wewe
 
US ni ya wahindi wekundu mkuu, kwa hiyo yy trump hana uhalali wa kuwazuia watu wengine kwani naye pale US sio kwao/kwake
 
Umeishiwa hoja,hoja inapingwa kwa hoja,sio maneno matupu.
uislam ulikuwepo kivipi wakati mnasema uislam aliuanzisha mohammed bin abdullah
na mohamed alizaliwa karne ya sita baada ya anayeitwa yesu kuzaliwa!!!!
 

Shukrani mkuu!
 
Mbona unaandika utumbo mtupu
 
Maandiko ya Qur-an yanaonesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.
-Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu.
(Qur-an 2:144 fafanuzi uk 34)

Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad
alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo, n.k zilianza
kuonekana katika maisha ya
Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe Farsy).


-Hilo lilimfanya Muhammad
kuanza kupingwa na wayahudi hao, Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile., Kutotia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9], na Kuanza tabia ya kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana
kutofautiana na yale ya kibiblia(TANAKH).
Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadihayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an inonyesha hilo.

Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta mafunuo hayo kwa Muhammad.
Na Ibada ya ijumaa inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.


-Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika, Fuatilia katika aya
zifuatazo:

Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi. ,walihitirafiana na Muhammad na kurushiana maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na
ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa
Yathrib (madina),ili apingane na WAYAHUDI, kumbuka awali alifata mila zao na alisali nao siku ya sabato(JUMAMOSI).

KUANZIA HAPO MUHAMMAD AKAPANDIKIZA CHUKI KWA WAFUASI WAKE DHIDI YA MYAHUDI, Quran imejaa Aya lukuki za kuwachukia wayahudi hasa.

Mungu ibariki ISRAEL ,Mungu wabariki Wayahudi


BIBLIA TAKATIFU INASEMA SIKU ZA MWISHO,WAYAHUDI WATAUTAMBUA UKRISTO NA KUUFATA,
 
UISLAMU UMEKUJA NA MUDY, LKN KUNA WATU WANADANGANYWA NA KUDANGANYIKA, WHY?

Quran 39: 12 Suratul Zumar (Makundi / Vikosi)
"Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"

Quran 6: 14 Suratul Al- An'am (Wanyama)
Sema "je nifanye mola (wangu) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, (Ambaye ndiye) muumba wa mbingu na ardhi" naye hulisha wala halishwi" sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu na (nikaambiwa). usiwe miongoni mwa wanaomshirikisha (Mwenyezi Mungu).

Katika ufafanuzi wa aya ya 19-20, katika Suratul Yusuf 12:20 kuna maneno haya--
Unaona kuuzana kulikuwako zaidi yamiaka 4000 kabla ya kuja dini ya kiislamu aliyokuja nayo nabii Muhammad. Kisha wakausingizia uislamu kuwa ndio uliokuja na kuuza watu.

Kadiri ya aya hizi zote tunaona ya kuwa dini ya kiislamu ilianzishwa rasmi hapa duniani Ramadhan siku ya Jumatatu mwezi 17 sawasawa na Tarehe 27 December mwaka 610 Baada ya Kristo (B.K), na mtu aitwae Muhammad Bin Abdalah Bin Abd-Muttalib Bin Hashim Bin Abd Manafu Bin Kusay. Mama yake aliitwa Amina Bint Wahab.
 

Ndiyo mafundisho ya Padri wako baada ya kumpa minofu
 

Ndiyo mafundisho ya Padri wako hayo?? Hivi hata huelewi wayahudi wakifuata dini gani??unaleta uharo wa Padri wako
 
Bible sio history,Ni fiction, nyi vipi????
 
Miujiza gani,ngano and fairly tells!!!!! Then unaambiwa mtu akaruka akenda mbinguni, unaamini.....na namsubiri arudi imepita miaka 2000...
 
Ibrahim who never existed???? Ndio ujinga ulipoanzia
 
Asante kwa mada mzuri, yet uongo huu ndio unaoitawala dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…