Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Wewe ni waajabu sana mkuu kama umeona hii mistari katika Biblia takatifu kwa nini huoni ile iliyo andika? Hivi, Now, all this happened in order to make what the Lord/God said through the prophet come true. " A virgin will become pregnant and have a son, and called Emmanuel" (which means, "God is with us") Matthew 2:22-23.

Nikuambie hivi moja ya njia kuu za utendaji wa Kimungu ni kutuma manabii wake kuwaletea ujumbe wanadamu kuhusu yatakayo tokea huko mbeleni, ndio wakati mwingine miaka dahari mbele. Kwenye hii nukuu ni nabii alitabiri kwa kutumiwa na . Mungu miaka mingi kabla ya Mungu/Bwana Yesu kuzaliwa na Bikira Mariamu. Mungu mwenyewe akiwa anaishi hapa duniani kama mwanadamu kati ya wanadamu yaani Bwana Yesu alifanya utabiri kuwa watakuja manabii wa uongo kwa jina langu, ndio wako sasa utasikia ooh tuna mkubali Issa lakini ukiangalia kipi wanafanya kinacho fanana na yale aliyo agiza Issa hata ukitafuta kwa tochi huoni.

Pahala pengine tukaambiwa humuhumu kwenye huu uzi Issa wa Quran si Bwana Yesu wa Biblia ni aina tu fulani ya unafiki, hila na ujanjaujanja kusema eti wanafanana. Na kama hili ni kweli basi jua hata hizo taurati, zaburi, mithali nk tunazo zitaja kutakuwa kuna walakini mkubwa maana vitabu vyote hivi vilitoka kwa Mungu/Bwana Yesu kupitia watumishi/manabii wake. Ndio mjue ile "watakuja kwa jina langu" ilikuwa na maana na angalizo kubwa/pana sana. Hallooo!!!


John 1:18: No man hath seen God at any time,


Exodus 33:20: And he said, Thou canst not see my face: for there shall no man see me, and live


So those verses make it crystal clear that no man has seen God at any time, and that no man can see his face, and if any do they shall then die.
 
Wewe ni waajabu sana mkuu kama umeona hii mistari katika Biblia takatifu kwa nini huoni ile iliyo andika? Hivi, Now, all this happened in order to make what the Lord/God said through the prophet come true. " A virgin will become pregnant and have a son, and called Emmanuel" (which means, "God is with us") Matthew 2:22-23.

Nikuambie hivi mmoja ya njia za utendaji wa Kimungu ni kutuma manabii wake kuwaletea ujumbe wanadamu kuhusu yatakayo tokea huko mbeleni, ndio wakati mwingine miaka dahari mbele. Kwenye hii nukuu ni nabii alitabiri kwa kutumiwa na . Mungu miaka mingi kabla ya Mungu/Bwana Yesu kuzaliwa na Bikira Mariamu. Mungu mwenyewe akiwa anaishi hapa duniani kama mwanadamu kati ya wanadamu yaani Bwana Yesu alifanya utabiri kuwa watakuja manabii wa uongo kwa jina langu, ndio wako sasa utasikia ooh tuna mkubali Issa lakini ukiangalia kipi wanafanya kinacho fanana na yale aliyo agiza Issa hata ukitafuta kwa tochi huoni.

Pahala pengine tukaambiwa humuhumu kwenye huu uzi Issa wa Quran si Bwana Yesu wa Biblia ni aina tu fulani ya unafiki, hila na ujanjaujanja kusema eti wanafanana. Na kama hili ni kweli basi jua hata hizo taurati, zaburi, mithali nk tunazo zitaja kutakuwa kuna walakini mkubwa maana vitabu vyote hivi vilitoka kwa Mungu/Bwana Yesu kupitia watumishi/manabii wake. Ndio mjue ile "watakuja kwa jina langu" ilikuwa na maana na angalizo kubwa/pana sana.


Isaiah 7:14




Christians use this verse to support their belief of Jesus being God and Mary being a virgin when Jesus was born.


When we look at this verse closely and in some detail, we find something else.



Therefore the Lord Himself will give you a sign: Behold, a virgin will be with child and bear a son, and she will call His name Immanuel.

Isaiah 7:14


Note: Immanuel is translated as God is with us.




At first sight, it does appear that this verse prophecies about Mary, mother of Jesus, and since it does so, Immanuel (God is with us) may appear to be Jesus.


This is not correct!


This is a good translation trick used by the Christians.


Here is how the Jews translate this verse;



Therefore the L-rd Himself will give you a sign: Behold, the young woman is with child, and she shall bear a son, and you [or, she] shall call his name Immanuel.

Isaiah 7:14





Nowhere is the young woman called a virgin.


Besides, Jesus was never called Immanuel by anyone, anywhere in the entire Bible. Also, Jesus of the Bible shouts out loud on the cross, “ My God! My God why have you forsaken me?”


God was not with that man in need.





A question then arises, who is Immanuel?


Let’s take a look at this verse from the Qur’an;


If you fail to support him (the messenger), GOD has already supported him. Thus, when the disbelievers chased him, and he was one of two in the cave, he said to his friend, "Do not worry; GOD is with us." GOD then sent down contentment and security upon him, and supported him with invisible soldiers. He made the word of the disbelievers lowly. GOD's word reigns supreme. GOD is Almighty, Most Wise.

(Qur’an 9:40)


We do find these words “God is with us” in the Quran but nowhere in the Bible.


Below are posted a few more of the translation by the Jews:


Art Scroll Tanach
(Stone Edition; AST)


Therefore, my Lord Himself will give you a sign: Behold, the maiden will become pregnant and bear a son, and she will name him Immanuel.


The Jerusalem Bible

(Koren Publishing; JBK)


Therefore the Lord Himself shall give you a sign: Behold, the young woman is with child, and she will bear a son, and shall call his name ‘Immanu-el’.



Let’s look at some other Christian translations;


Revised Standard Version (American; RSV)


Therefore the Lord himself will give you a sign. Behold, a young woman shall conceive and bear a son, and shall call his name Imman'u-el.



New Jerusalem Bible (Catholic; NJB)



The Lord will give you a sign in any case: It is this: the young woman is with child and will give birth to a son whom she will call Immanuel


New English Bible (NEB)


Therefore the Lord himself shall give you a sign: A young woman is with child, and she will bear a son, and will call him Immanuel.



New English Translation Bible (NET)



For this reason the sovereign master himself will give you a confirming sign. Look, this young woman is about to conceive and will give birth to a son. You, will name him Immanuel.





Hebrew and Arabic, both do not contain certain words. For example, lets take a look at a verse from the Qur’an;

Qul Hu Allah Hu Ahad
Say He Allah is Unique


Certain words have to be added to make it a correct English sentence.




Therefore,
The most authentic translation


Therefore the L-rd Himself will give you a sign: Behold, the young woman is with child, and she shall bear a son, and you [the son] shall proclaim “G-d is with us”.

Isaiah 7:14




CONCLUSION: Some translations say that the boy will be called Immanuel by his mother and some say that he will be called Immanuel by the people and another one says that the boy will proclaim Immanuel.


Only the latter one explains the truth, the rest do not make any sense as such an incident or sign never happened.
 
Baada ya haya tuoneshe Mtume SAW alitabiriwa na wapi?



Isaiah 7:14




Christians use this verse to support their belief of Jesus being God and Mary being a virgin when Jesus was born.


When we look at this verse closely and in some detail, we find something else.



Therefore the Lord Himself will give you a sign: Behold, a virgin will be with child and bear a son, and she will call His name Immanuel.

Isaiah 7:14


Note: Immanuel is translated as God is with us.




At first sight, it does appear that this verse prophecies about Mary, mother of Jesus, and since it does so, Immanuel (God is with us) may appear to be Jesus.


This is not correct!


This is a good translation trick used by the Christians.


Here is how the Jews translate this verse;



Therefore the L-rd Himself will give you a sign: Behold, the young woman is with child, and she shall bear a son, and you [or, she] shall call his name Immanuel.

Isaiah 7:14





Nowhere is the young woman called a virgin.


Besides, Jesus was never called Immanuel by anyone, anywhere in the entire Bible. Also, Jesus of the Bible shouts out loud on the cross, “ My God! My God why have you forsaken me?”


God was not with that man in need.





A question then arises, who is Immanuel?


Let’s take a look at this verse from the Qur’an;


If you fail to support him (the messenger), GOD has already supported him. Thus, when the disbelievers chased him, and he was one of two in the cave, he said to his friend, "Do not worry; GOD is with us." GOD then sent down contentment and security upon him, and supported him with invisible soldiers. He made the word of the disbelievers lowly. GOD's word reigns supreme. GOD is Almighty, Most Wise.

(Qur’an 9:40)


We do find these words “God is with us” in the Quran but nowhere in the Bible.


Below are posted a few more of the translation by the Jews:


Art Scroll Tanach
(Stone Edition; AST)


Therefore, my Lord Himself will give you a sign: Behold, the maiden will become pregnant and bear a son, and she will name him Immanuel.


The Jerusalem Bible

(Koren Publishing; JBK)


Therefore the Lord Himself shall give you a sign: Behold, the young woman is with child, and she will bear a son, and shall call his name ‘Immanu-el’.



Let’s look at some other Christian translations;


Revised Standard Version (American; RSV)


Therefore the Lord himself will give you a sign. Behold, a young woman shall conceive and bear a son, and shall call his name Imman'u-el.



New Jerusalem Bible (Catholic; NJB)



The Lord will give you a sign in any case: It is this: the young woman is with child and will give birth to a son whom she will call Immanuel


New English Bible (NEB)


Therefore the Lord himself shall give you a sign: A young woman is with child, and she will bear a son, and will call him Immanuel.



New English Translation Bible (NET)



For this reason the sovereign master himself will give you a confirming sign. Look, this young woman is about to conceive and will give birth to a son. You, will name him Immanuel.





Hebrew and Arabic, both do not contain certain words. For example, lets take a look at a verse from the Qur’an;

Qul Hu Allah Hu Ahad
Say He Allah is Unique


Certain words have to be added to make it a correct English sentence.




Therefore,
The most authentic translation


Therefore the L-rd Himself will give you a sign: Behold, the young woman is with child, and she shall bear a son, and you [the son] shall proclaim “G-d is with us”.

Isaiah 7:14




CONCLUSION: Some translations say that the boy will be called Immanuel by his mother and some say that he will be called Immanuel by the people and another one says that the boy will proclaim Immanuel.


Only the latter one explains the truth, the rest do not make any sense as such an incident or sign never happened.
 
Baada ya haya tuoneshe Mtume SAW alitabiriwa na wapi?


Ubashiri wa Kibiblia Juu ya Ujio wa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), Mtume wa Uislamu

Ubashiri wa kibiblia juu ya ujio wa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ni ushahidi wa ukweli wa Uislamu kwa watu wanaoiamini Biblia.

Katika Kumbukumbu la Torati 18, Muusa alisema kuwa Mwenyezi Mungu alimwambia: “Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru. Hata itakuwa mtu asiyesikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake.” (Kumbukumbu la Torati 18:18-19) [40]

Kutokana na Aayah hizi, tunakhitimisha kwamba mtume aliyebashiriwa hapa lazima awe na sifa tatu zifuatazo:

  1. Kwamba atakuwa kama Muusa
  2. Kuwa atakuja kutoka kwa ndugu za Waisraeli, yaani uzawa wa Isma’iyl
  3. Mwenyezi Mungu atatia maneno yake kinywani mwa mtume huyo na akuwa atatangaza kile anachoamrishwa na Mwenyezi Mungu.
Hebu tuziangalie sifa hizi kwa undani zaidi.

1) Mtume Mfano wa Muusa

Hakukuwahi kutokea Mitume wawili wenye kufanana kama walivyokuwa Muusa na Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhim wa sallam). Wote wawili walipewa pana pamoja na mfumo wa taratibu na kanuni za maisha. Wawili hao walipambana na maadui wao na wakaibuka washindi kwa namna za kimiujiza. Wote wawili walikubalika kama Mitume na wakuu wa dola. Wote walitoroka baada ya njama za kutaka kuwaua. Kumfananisha Muusa na Yesu kumeacha kutilia maanani, si mfanano huo uliotajwa tu, bali pia nyingine zilizo muhimu sana. Hizo ni pamoja na kuzaliwa kwa njia ya kawaida, maisha yao ya kifamilia na kifo cha Muusa na cha Muhammad kufanana, lakini si cha Yesu. Zaidi ya hayo, Yesu alichukulika na wanafunzi wake kuwa Mwana wa Mungu wala si Mtume wa Mungu tu, tofauti na walivyokuwa Muusa na Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhim wa sallam), na kinyume kabisa na namna Waislamu wanavyoamini nafasi ya Yesu ilivyokuwa. Hivyo, ubashiri huu unamkusudia Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), wala si Yesu, kwa sababu Muhammad anafanana zaidi na Muusa kuliko alivyo Yesu.
Kadhalika, ukiangalia katika Injili ya Yohana, utakuta kuwa wayahudi walikuwa wakisubiri kukamilika kwa bishara tatu tofauti tofauti: 1) Kuja kwa Kristo, 2) Kuja kwa Eliyah, 3) Kuja kwa Mtume. Jambo hili liko wazi katika maswali matatu aliyoulizwa Yohana Mbatizaji:“Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalem ili wamuulize, ‘Wewe u nani?’ Naye alikiri, wala hakukana, alikiri kwamba, ‘Mimi siye Kristo.’ Wakamwuliza, ‘Ni nini basi? U Eliya wewe?’ Akasema, ‘Mimi siye.’ ‘Wewe u nabii yule?’ Akajibu, ‘La.’” (Yohana 1:19-21)

Ikiwa tutaangalia ndani ya Biblia kwa marejeo mtambuko (ili kupata maelezo zaidi), tutakuta katika maelezo ya pembeni ambapo maneno “Mtume yule” yanapotokea katika Yohana 1:21 kwamba maneno haya yanakusudia ubashiri wa kwenye Kumbukumbu la Torati 18:15 na 18:1 [41]. Kutokana na hayo, tunakhitimisha kuwa Yesu si mtume yule aliyetajwa katika Kumbukumbu la Torati 18:18.
 
Baada ya haya tuoneshe Mtume SAW alitabiriwa na wapi?


2) Kutoka kwa Ndugu za Waisraeli

Ibraahiym alikuwa na watoto wawili, Isma’iyl (Ishmaeli) na Is-haaq (Isaac). Isma’iyl akawa babu (asili ya) taifa la Waarabu na Is-haaq akawa babu wa taifa la Wayahudi. Mtume anayezungumziwa si wa kutokana na Wayahudi wenyewe, bali ni kutoka kwa miongoni mwa ndugu zao, yaani, uzao wa Isma’iyl. Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), atokanaye na uzawa wa Isma’iyl, ndiye khasa Mtume huyo.

Kadhalika, Isaya 42:1-13 inazungumzia kuhusu mtumishi wa Mungu, “mteule” Wake na “mtume” ambaye ataleta sheria duniani. “Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake.” (Isaya 42:4). Aya ya 11 inamuunganisha mtume huyo mwenye kusubiriwa pamoja na uzao wa Kedar. Kedar ni nani? Kwa mujibu wa Mwanzo 25:13, Kedar alikuwa mtoto wa pili wa Isma’iyl (Ishmael), mmojawapo wa babu wa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).

3) Mwenyezi Mungu Atatia Maneno Yake Kinywani mwa Mtume Huyu

Maneno ya Mwenyezi Mungu (Qur-aan Tukufu) ni kweli yaliwekwa kinywani mwa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Mwenyezi Mungu Alimtuma Malaika Jibriyl kumfundisha Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) maneno khasa ya Mwenyezi Mungu (Qur-aan Tukufu) na akamuomba awasomee watu sawa na alivyoyasikia. Hivyo, maneno si yake yeye.

Hayakutokana na fikra zake mwenyewe, bali yalitiwa mdomoni mwake kupitia kwa Malaika Jibriyl. Katika wakati wa uhai wa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na chini ya usimamizi wake, maneno haya yalihifadhiwa vichwani na yaliandikwa pia na Maswahaba wake.

Tambua kuwa Mwenyezi Mungu Alisema katika ubashiri wa kwenye Kumbukumbu la Torati: “Hata itakuwa mtu asiyesikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake.” (Kumbukumbu la Torati 18:19). Hii inamaanisha kuwa, yeyote mwenye kuiamini Biblia ni lazima aamini anachokisema mtume huyu, na mtume huyu ni Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).
 
Tuendelee atafika vipi kwa Mungu? Maana kuna pahala nimenukuu, "mtu haji kwa Mungu ila kwa njia yangu" Na huyu alikuja hapa duniani takribani miaka 600 baada ya Bwana Yesu?



2) Kutoka kwa Ndugu za Waisraeli

Ibraahiym alikuwa na watoto wawili, Isma’iyl (Ishmaeli) na Is-haaq (Isaac). Isma’iyl akawa babu (asili ya) taifa la Waarabu na Is-haaq akawa babu wa taifa la Wayahudi. Mtume anayezungumziwa si wa kutokana na Wayahudi wenyewe, bali ni kutoka kwa miongoni mwa ndugu zao, yaani, uzao wa Isma’iyl. Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), atokanaye na uzawa wa Isma’iyl, ndiye khasa Mtume huyo.

Kadhalika, Isaya 42:1-13 inazungumzia kuhusu mtumishi wa Mungu, “mteule” Wake na “mtume” ambaye ataleta sheria duniani. “Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake.” (Isaya 42:4). Aya ya 11 inamuunganisha mtume huyo mwenye kusubiriwa pamoja na uzao wa Kedar. Kedar ni nani? Kwa mujibu wa Mwanzo 25:13, Kedar alikuwa mtoto wa pili wa Isma’iyl (Ishmael), mmojawapo wa babu wa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).

3) Mwenyezi Mungu Atatia Maneno Yake Kinywani mwa Mtume Huyu

Maneno ya Mwenyezi Mungu (Qur-aan Tukufu) ni kweli yaliwekwa kinywani mwa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Mwenyezi Mungu Alimtuma Malaika Jibriyl kumfundisha Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) maneno khasa ya Mwenyezi Mungu (Qur-aan Tukufu) na akamuomba awasomee watu sawa na alivyoyasikia. Hivyo, maneno si yake yeye.

Hayakutokana na fikra zake mwenyewe, bali yalitiwa mdomoni mwake kupitia kwa Malaika Jibriyl. Katika wakati wa uhai wa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na chini ya usimamizi wake, maneno haya yalihifadhiwa vichwani na yaliandikwa pia na Maswahaba wake.

Tambua kuwa Mwenyezi Mungu Alisema katika ubashiri wa kwenye Kumbukumbu la Torati: “Hata itakuwa mtu asiyesikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake.” (Kumbukumbu la Torati 18:19). Hii inamaanisha kuwa, yeyote mwenye kuiamini Biblia ni lazima aamini anachokisema mtume huyu, na mtume huyu ni Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).
 
Tuendelee atafika vipi kwa Mungu? Maana kuna pahala nimenukuu, "mtu haji kwa Mungu ila kwa njia yangu" Na huyu alikuja hapa duniani takribani miaka 600 baada ya Bwana Yesu?



Jesus said "I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me." Does that make him GOD?




Some people read:

"I am the way, ...no one comes to the Father, but through me."


The popular perception that this verse claims that Jesus requires our worship in order for us to receive salvation is not the intended meaning of this verse.

However, in order for us to recognize this fact it is necessary to study it's context.

If we were to back up a little and read from the beginning of this chapter, we would find that just before Jesus spoke these words, he said;

"In my Father's house are many mansions (dwelling places); if it were not so, I would have told you; for I go to prepare a mansion (a dwelling place) for you."

John 14:2

The above statement is quite clear. It is in exact conformance to the teachings of the Qur'an. In the Qur'an we are told how God sent messengers to all tribes and nations. We are told that the basic message which was given to each of these tribes was the same: "Worship God alone and worship none else." Some of the secondary details of this worship might differ from one tribe or nation to the next according to God's infinite wisdom and his knowledge of those people. It was made very clear to each prophet that he was not to preach to anyone but his own people. It was further made clear to this messenger's people that if they were to obey him that they would receive the reward of God. God would not hold them accountable for what any other tribe or nation did or did not do. This would continue until God's last messenger, Muhammad (pbuh) would be sent to all mankind as the seal of the prophets.

This is exactly what Jesus is saying here. He said that in God's mansion there are "many" rooms. Jesus was sent to guide to only one of them. The countless other rooms were reserved for other tribes and nations if they would obey their messengers. However, Jesus was telling his followers that they need not worry themselves about the other rooms. Anyone from among his people who wished to enter into the room which was reserved for them could only do so if they followed Jesus and obeyed his command. So Jesus confirmed that he was going to prepare "a" mansion and not "all" the mansions in "my Father's house".

Further, the verse clearly states that Jesus was the "WAY" to a mansion. He did not say that he is the "DESTINATION" which would be the case if he were God. What else would we expect a prophet of God to say except "I am the 'way' to God's mercy"? That is his job. That is what a prophet does. It is why God chose him in the first place; in order to guide to the mercy of God. This is indeed confirmed in John 10:9 where Jesus tells us that he is "the door" to "the pasture." In other words, he is the "prophet" who guides his people to "heaven" (see also Jn. 12:44). Once again, this is the message of Islam.

Finally, remember

"Not every one that says to me(Jesus); 'Lord, Lord,' will enter the kingdom of heaven; but he who does the will of my Father, who is in heaven."

Matthew.7:21
 
Tuendelee atafika vipi kwa Mungu? Maana kuna pahala nimenukuu, "mtu haji kwa Mungu ila kwa njia yangu" Na huyu alikuja hapa duniani takribani miaka 600 baada ya Bwana Yesu?


Jesus Christ said, "I AM The Way, The Truth, and The Light. No one comes to the Father except through Me." John 14:6

Some Christians use this verse of the Bible to proof christianity, but then, if no one comes through the Father except through him, what about the Prophets before him, and what is the interpretation of this verse, and is there any evidence if this verse is fabricated, if it is indeed fabricated.

 
Gavana post# 171 Soma Isaya 42:1-3 na linganisha na baraka za Ismail Mwanzo 16:12.Dhahiri shahiri huyu mtumishi anayezungumziwa hapa na Isaya ni tofauti na huyu mwl Ganana anaye taka kutuaminisha. Hila, ujanja na uongo ndio sifa zenyewe hizo. Ile hulka ya kujinasabisha imedhihirishwa hapa.

Hapohapo katika Isaya Huyo Mtumishi atapewa Roho wa Mungu ambaye ni Roho Mtakatifu. Huyo mtumishi atauhukumu ulimwengu kwa haki. Wote tunajua ile siku ya mwisho Bwana Yesu/Mungu ndiye atakaye uhukumu ulimwengu akikikalia kile kiti cha "Enzi Yake"
 
2255f556ef0ce554846354e2101118d8.jpg





ulimwengu kwa wasiojielewa
 
Wako watu hapa duniani wana akili ndogo mpaka unashindwa kushangaa. Bwana Yesu/Mungu alikuwepo kabla ya hao mitume, infact kabla ya yote, yeye ndiye mwanzo wa vyote. Labda kilicho wachanganya ni hiki kitendo cha Mungu kuja kuishi hapa duniani akiwa mwanadamu kati ya wanadamu kama Bwana Yesu.

Soma Biblia yako vizuri Bwana Yesu/Mungu akawachukua wanafunzi wake watatu Petro, Yohana na Yakobo akapanda nao mlimani. Kule mlimani wanafunzi wake wakamuona Bwana Yesu/Mungu akiwa ameketi na Musa na Eliya.....Hapa Bwana Yesu/Mungu alikuwa anataka Wewe Gavana na wale wa aina ya Gavana kwa kupitia ushuhuda wa wanafunzi hawa watatu mjue hao mitume wa zamani wako na Mungu/Bwana Yesu ndio maana akaitisha audience nao huku wanafunzi 3 wakishudia.


Jamani na shindwa kushangaa hivi ni ngumu kiasi gani kuelewa hao manabii walitumwa na Mungu/Bwana Yesu. Na kuhitimisha hilo zoezi ndipo mwishowe Mungu mwenyewe akatia timu.


Jesus Christ said, "I AM The Way, The Truth, and The Light. No one comes to the Father except through Me." John 14:6

Some Christians use this verse of the Bible to proof christianity, but then, if no one comes through the Father except through him, what about the Prophets before him, and what is the interpretation of this verse, and is there any evidence if this verse is fabricated, if it is indeed fabricated.

 
[QUOTE="Gavana, post: 174. Mwl sikia haya:

Bwana Yesu/Mungu aliwaagiza wanafunzi wake akiwapa amri hii, "Enendeni ulimwenguni kote mkiwabatiza mataifa wote kwa jina la Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu(Mungu katika nafsi zake tatu) na kwa maji. Kwa maneno mengine mataifa wote wazaliwe kiroho kwa kubatizwa kwa jina la Mungu. So ili kumfanya Bwana Yesu /Mungu kuwa njia yako ya kufikia mbinguni pamoja na kutubu kuacha dhambi na maovu yote shuruti ubatizwe kwa jina la Mungu.
 
Uislamu umekuja miaka ya 600 AD , sasa wakajipendekeza kwa wayahudi na kudai ibrahimu alikuwa muislamu, kitu ambacho sio kweli, before 600AD hakuna historia,wala mabaki ya chembe ya historia yanayoonesha paliwahi kuwepo din inaitwa uislamu,

Waarabu walikuwa. Wanaabudu jiwe jeusi na kufanya ibada kwa mungu allah,
Ndio tamadun alizokuja kuzichukua muhamad na kuziboresha kisha kusema huu utakuwa UISLAMU

lakin uislamu hauhusiani hata kidogo na MANABII WAYAHUDI ,

HATA QURAN inataja neno ISRAEL lakini haijui nini maana ya israeli, lkn BIBLIA inakuambia mwanzo na chimbuko la neno ISRAEL,

Quran haitaji neno YERUSALEM , Lakin biblia imelitaja mara 5000 ,

Waislamu wanaongopewa kuwa YERUSALEMU NI YAO , wakati hapo Yerusalemu palijengwa HEKALU NA MFALME SULEMAN, hilo hekalu muundo wake , na vitu vilivyokuwepo ndani haviendan na UISLAMU hata kidogo,


Leo pamejengwa msikit wa Al aqsa, miaka ya karibuni, lakin bado kuna waislamu wanadanganywa HUO MSIKITI ALIJENGA SULEMAN
Unatumia references gani kuipa nguvu argument yako.Kama hujuwi basi kaa kimya au uliza utaambiwa.Qur'an haijaacha kitu kuhusu habari za Israel na habari za Nabii Ibrahim(a.s) kuwa alikuwa ni muislam hata nabii yakobo(a.s).
Nabii Ibrahim(a.s) ndiye aliyejenga msikiti wa alsqa na mwanaye Ismail.Quran imeeleza hoja zote haijaacha kitu.
 
Tatizo huu mgogoro wanatajwa waislam na wayahudi tu ila wakristo hawatajwi sijui ni kimkakati au bahati mbaya, nataka kujua wakristu walioa maeneo hayo ya Jerusalem wapo upande upi, wa Israeli au Palestinia?
Wakristo waliamia Italy ndio maana mgogoro wa wayahudi na wakristo aukuwepo
 
Haya Gavana/mwl hapo post 171:

Umetaja/Nukuu Kumbukumbu la taurati 18.
Hebu anzia mstari wa 16-22. (The Promise to Send a Prophet).

Mussa alikuwa anaongea na Wana wa Israel akiwaeleza kuhusu kuchukua tahadhari juu ya nchi ya ahadi wanayo iendea ni maagizo ya Musa aliyopewa na Mungu hapo mlima Sanai, pamoja na mambo mengine ya jinsi ya kumjua nabii/prophet aliyetumwa na Mungu kwao. Ismail si kati ya wana wa uzao wa Yakobo/Israel. Uongo mwengine huu mweupe pee.

Kwa muktadha huu labda mwl Gavana tusaidie kuweka family tree ya Ismael inayo muunganisha na Bwana Mtume SAW.
 
[QUOTE="Gavana, post: 174. Mwl sikia haya:

Bwana Yesu/Mungu aliwaagiza wanafunzi wake akiwapa amri hii, "Enendeni ulimwenguni kote mkiwabatiza mataifa wote kwa jina la Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu(Mungu katika nafsi zake tatu) na kwa maji. Kwa maneno mengine mataifa wote wazaliwe kiroho kwa kubatizwa kwa jina la Mungu. So ili kumfanya Bwana Yesu /Mungu kuwa njia yako ya kufikia mbinguni pamoja na kutubu kuacha dhambi na maovu yote shuruti ubatizwe kwa jina la Mungu.



YESU ALITUMWA KWA WANA WA ISRAELI TU

Yesu hakupewa ujumbe wa utume kwa ajili ya watu wote wa kabila zote.

Bali yeye alikuwa Mtume kwa ajili ya wana wa Israeli tu.

Mwenyewe alijua mipaka ya utume wake. Kwahiyo alisema:

1. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:24).

2. Wakati mwanamke mmoja asiyekuwa mwana wa Israeli alipokuja kwa Yesu Kristo kuomba baraka zake, Yesu akakataa na zaidi ya kukataa aliwatusi wasiokuwa Waisraeli. “Akasema si vyema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia m’mbwa.” (Mathayo 15:26, Marko 7:27).

3. Hao thenashara (kumi na mbili) Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 10:5-6).

4. Baadhi ya Wakristo wanadhani kwamba wakati Waisraeli wote wamefikishiwa ujumbe, kisha makabila mengine pia yahubiriwe. Lakini dhana hii si sahihi bali ni kinyume cha mafundisho ya Bwana Yesu.

Yeye amesema kwamba: “Lakini watakapo wafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawambia, hamtaimaliza miji ya Israeli hata ajapo mwana wa Adamu. (Mathayo 10:23).

5. Bwana Petro mwanafunzi wa Yesu Kristo aliwahubiri wasiokuwa Waisraeli. Wanafunzi wengine, baada ya kupata habari hii walimpinga Bwana Petro kwa kosa lake.

Biblia inasema kwamba: “Basi mitume na ndugu waliokuwako katika Uyahudi wakapata habari ya kwamba watu wa mataifa nao wamelipokea neno la Mungu. Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale walio wa tohara wakashindana naye, wakisema, uliingia kwa watu wasiotahiriwa ukala nao. “ (Matendo 11:1-3).

6. Aya za Biblia zifuatazo zinaeleza kwamba Bwana Yesu alikuwa mfalme na mtawala wa Mayahudi. (Mathayo 2:6, 27:29, 27:42, Yohana 1:49.

7. Bwana Paulo ambaye ni mpinzani na mhalifu (anti Christ) wa Bwana Yesu, baada ya kuchukia alianza mahubiri nje ya Wasiraeli.

Biblia inasema kwamba:

“Hata Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo akasongwa sana na bila neno, aliwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo walipopingana naye na kumtukana Mungu, akakung'uta mavazi yake, akawaambia, damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu, mimi ni safi; tangu sasa ninakwenda kwa watu wa mataifa. (Matendo 18:5-6).

Baadhi ya Wakristo wanayo shauku ya kugonganisha aya za Biblia. wanasema kwamba Bwana Yesu aliagiza kwamba

"Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi.” (Mathayo 28:19).

1. Najibu kwamba aya hii inapinga maagizo yote ya Bwana Yesu yaliyotajwa juu.

Kwahiyo haiwezi kuwa agizo la Yesu wala aya ya Injili.

2. Ya pili aya hii imeandikwa mwishoni mwa Injili ya Mathayo, na nitathibitisha baadaye kidogo kwamba aya za mwanzo na za mwisho za kila kitabu ni za kuongezwa baadaye. Aya zile siyo aya sahihi za Biblia.

3. Ya tatu katika aya 28:19 ya Mathayo neno mataifa limetumika kwa maana ya mataifa ya Israeli. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu. (Luka 2:1).

Kaisari Augusto alikuwa mtawala wa Roma tu.

Hakuwa na mamlaka yoyote nje ya nchi yake juu ya ulimwengu.

Katika aya hii amri iliyotolewa kwa ajili ya ulimwengu na ya nchi ya Roma tu iliyokuwa chini ya utawala wa Kaisari wala siyo ulimwengu wote. Hivyo ndivyo inavyoeleweka kauli ya Bwana Yesu aliposema:

“Enendeni mkawafanye mataifa yote (ya Waisraeli) kuwa wanafunzi. (Mathayo 28:19).
 
Haya Gavana/mwl hapo post 171:

Umetaja/Nukuu Kumbukumbu la taurati 18.
Hebu anzia mstari wa 16-22. (The Promise to Send a Prophet).

Mussa alikuwa anaongea na Wana wa Israel akiwaeleza kuhusu kuchukua tahadhari juu ya nchi ya ahadi wanayo iendea ni maagizo ya Musa aliyopewa na Mungu hapo mlima Sanai, pamoja na mambo mengine ya jinsi ya kumjua nabii/prophet aliyetumwa na Mungu kwao. Ismail si kati ya wana wa uzao wa Yakobo/Israel. Uongo mwengine huu mweupe pee.

Kwa muktadha huu labda mwl Gavana tusaidie kuweka family tree ya Ismael inayo muunganisha na Bwana Mtume SAW.


family-tree-of-prophets.jpg
 
Usiandike mistari mingi haisidii lolote andika na ile kuhusu Bwana Yesu na mwanamke msamaria pale kisimani ilikuwaje wakachangamana. Uko mujiza wa Bwana Yesu wa Kulisha maelfu kadhaa mikate na samaki Aliufanya mara mbili wajua ilikuwa wapi na wapi? Akimaanisha nini?

YESU ALITUMWA KWA WANA WA ISRAELI TU

Yesu hakupewa ujumbe wa utume kwa ajili ya watu wote wa kabila zote.

Bali yeye alikuwa Mtume kwa ajili ya wana wa Israeli tu.

Mwenyewe alijua mipaka ya utume wake. Kwahiyo alisema:

1. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:24).

2. Wakati mwanamke mmoja asiyekuwa mwana wa Israeli alipokuja kwa Yesu Kristo kuomba baraka zake, Yesu akakataa na zaidi ya kukataa aliwatusi wasiokuwa Waisraeli. “Akasema si vyema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia m’mbwa.” (Mathayo 15:26, Marko 7:27).

3. Hao thenashara (kumi na mbili) Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 10:5-6).

4. Baadhi ya Wakristo wanadhani kwamba wakati Waisraeli wote wamefikishiwa ujumbe, kisha makabila mengine pia yahubiriwe. Lakini dhana hii si sahihi bali ni kinyume cha mafundisho ya Bwana Yesu.

Yeye amesema kwamba: “Lakini watakapo wafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawambia, hamtaimaliza miji ya Israeli hata ajapo mwana wa Adamu. (Mathayo 10:23).

5. Bwana Petro mwanafunzi wa Yesu Kristo aliwahubiri wasiokuwa Waisraeli. Wanafunzi wengine, baada ya kupata habari hii walimpinga Bwana Petro kwa kosa lake.

Biblia inasema kwamba: “Basi mitume na ndugu waliokuwako katika Uyahudi wakapata habari ya kwamba watu wa mataifa nao wamelipokea neno la Mungu. Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale walio wa tohara wakashindana naye, wakisema, uliingia kwa watu wasiotahiriwa ukala nao. “ (Matendo 11:1-3).

6. Aya za Biblia zifuatazo zinaeleza kwamba Bwana Yesu alikuwa mfalme na mtawala wa Mayahudi. (Mathayo 2:6, 27:29, 27:42, Yohana 1:49.

7. Bwana Paulo ambaye ni mpinzani na mhalifu (anti Christ) wa Bwana Yesu, baada ya kuchukia alianza mahubiri nje ya Wasiraeli.

Biblia inasema kwamba:

“Hata Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo akasongwa sana na bila neno, aliwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo walipopingana naye na kumtukana Mungu, akakung'uta mavazi yake, akawaambia, damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu, mimi ni safi; tangu sasa ninakwenda kwa watu wa mataifa. (Matendo 18:5-6).

Baadhi ya Wakristo wanayo shauku ya kugonganisha aya za Biblia. wanasema kwamba Bwana Yesu aliagiza kwamba

"Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi.” (Mathayo 28:19).

1. Najibu kwamba aya hii inapinga maagizo yote ya Bwana Yesu yaliyotajwa juu.

Kwahiyo haiwezi kuwa agizo la Yesu wala aya ya Injili.

2. Ya pili aya hii imeandikwa mwishoni mwa Injili ya Mathayo, na nitathibitisha baadaye kidogo kwamba aya za mwanzo na za mwisho za kila kitabu ni za kuongezwa baadaye. Aya zile siyo aya sahihi za Biblia.

3. Ya tatu katika aya 28:19 ya Mathayo neno mataifa limetumika kwa maana ya mataifa ya Israeli. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu. (Luka 2:1).

Kaisari Augusto alikuwa mtawala wa Roma tu.

Hakuwa na mamlaka yoyote nje ya nchi yake juu ya ulimwengu.

Katika aya hii amri iliyotolewa kwa ajili ya ulimwengu na ya nchi ya Roma tu iliyokuwa chini ya utawala wa Kaisari wala siyo ulimwengu wote. Hivyo ndivyo inavyoeleweka kauli ya Bwana Yesu aliposema:

“Enendeni mkawafanye mataifa yote (ya Waisraeli) kuwa wanafunzi. (Mathayo 28:19).
 
Back
Top Bottom