Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Sheria ipi hiyo inayowapa uhalali wa Palestina kung'ang'ania nchi ya watu?

Dini kwako ni nini?


 
Wanasema israel ni kitovu cha dini tatu uyahudi, ukristo na uislam, kwani uislam ulianzia israel?
Kuna vitu pia sivielewi vizuri sana kuhusu hizi Dini. Kwa mfano marufuku ya trump ilivyotoka ya kuzuia baadhi ya mataifa ya kiislam. Mataifa mengi ya kiislam yalipinga sana. Ss unajiuliza kwn pale maka kuna u lazima gani kwenda ktk nchi ya unayemuita kafiri? Tena unasema anakugombanisha kwa makusudi ili akuuzie silaha ...si kheri usiende na ww mpge marufuku asije kwako
 
Tatizo huu mgogoro wanatajwa waislam na wayahudi tu ila wakristo hawatajwi sijui ni kimkakati au bahati mbaya, nataka kujua wakristu walioa maeneo hayo ya Jerusalem wapo upande upi, wa Israeli au Palestinia?
wao wapo kiroho zaidi ,sisi tunaamini katika yerusalem ya kiroho usijerudia kututaja kwenye mambo yenu ya ukambo
 
Wanasema israel ni kitovu cha dini tatu uyahudi, ukristo na uislam, kwani uislam ulianzia israel?
Uislam ulianzia Saud Arabia na akina Mohamad
Mohamad anazaliwa, anatambaa, ana anza kuongea na kutembea Wayahudi na Wakristo wana muangalia
 
Achen kuzaa wtt nje ya ndoa Ishmael Alitangulia Kaanan lkn ulikuwa nje ya Agano Hvyo nchi si yake Yakobo mbalikiwa ndiye mmiliki halali hao wengine watafute pa kwenda angalizo usinchukie Mimi muulize MUNGU aliye juu
 
Achen kuzaa wtt nje ya ndoa Ishmael Alitangulia Kaanan lkn ulikuwa nje ya Agano Hvyo nchi si yake Yakobo mbalikiwa ndiye mmiliki halali hao wengine watafute pa kwenda angalizo usinchukie Mimi muulize MUNGU aliye juu
Wafilisti siyo uzao wa Ismail. Msisome maandiko kwa kupapasa kwa nje.
 
Aya za uwongo kabisa. Mtu aje karne ya 6, ashushiwe qur an, halafu eti Sulemani alikuwa Muslim. Kwani Sulemani si Myahudi? huko kwenu kwa wenye dini yao Waarabu hamna manabii. Kwa mnang'ania manabii wa Mayahudi wakati huo huo mnawachukia wayahudi?
 
Sijakuelewa mkuu, inamaana dini siku zote iko kinyume na sheria?
Umenikumbusha hadthi Moja ya Rabin, alikuja mwanamke mmoja kwa Rabin kumshitaki mume wake jinsi anavyo mtesa, mwanamke akasimulia baada ya kumaliza Rabin akamwambia mwanamke uko sahihi kabisa.
Baada ya kuondoka mwanamke tu na Manamme na akaja kumshitaki mkewe kuwa yeye ndie mkosa, Baada ya Kumaliza kuelezea Rabin akamwambia mwanamme na wewe uko Sahihi. Kumbe wakati anazungumza nao wale watu kuna msaidizi wake mmoja alikuwa kajificha anasikiliza, Baada ya kuondoka akaja kumlaumu Rabin kwa nini watu wawili Kila mmoja anamwambia mwenzake ndio mkosa na wewe Unawambia wote wawili kuwa wako sahihi.
Rabin akamjibu msaidizi wake na wewe uko sahihi
Haiwezekani Pande mbili kwa wakati mmoja zikawa sahihi lakini zikakinzana
 
asilimia 90 ya manabii katika uislam ni wayahudi,baada ya wayahudi kuanza kuua manabii wa Mungu na kukufuru,unabii ukahamishiwa kwa Muarabu.
Hakuna mwarabu nabii wa Mungu. Mohammad ni Anti-Christ aliyetabiriwa miaka 600 kabla ya hajaanzisha dini yake. Mohammad ni mtumishi wa Baali (habal) ambaye nyie mnamwita Allah. Baali ni Shetani ndo maana hata majini na mapepo huko kwenu ni viumbe wazuri.
 
Uislamu upo tangu enzi za Adam we tulia tu, neno Uislamu ni "Amani" AMANI ikitawala kwenye nafsi yako unapata utulivu wa kuabudu, na utambue Israeli ni jina lilopachikwa kwenye ardhi ya wapalestina msukumo wako usikufanye yakutoke yasiyo bayana ukashindwa kuelewa, hata dini yako ni Uislamu na hujui tuu
 
Acha kudanganywa , hujui hata uisamu umeanza lini,

Eti kuwa na aman tu ni uislamu,

Nitakufundisha chanzo cha uislamu

Tatizo umemezeshwa matangopori madrasa
 
Tatizo huu mgogoro wanatajwa waislam na wayahudi tu ila wakristo hawatajwi sijui ni kimkakati au bahati mbaya, nataka kujua wakristu walioa maeneo hayo ya Jerusalem wapo upande upi, wa Israeli au Palestinia?
Israel
 
Your
Your Right
 
Suggestion yangu hawa watu waachwe tu, mmoja achukue ardhi au wakubaliane wachukue wote.
Kwa sababu ni ujinga kutumia dini ku-justify kugombania ardhi.
Kuna sehemu nyingi ina migogoro ya maeneo kwa kila mtu kuwa na hoja zake.
Wengine wanakubaliana na matokeo, wengine hutafuta suluhu, na wengine huendelea kupigana mpaka the last ones standing.
Huwezi ukadai walipewa na Mungu tu. Hiyo haitoshi, maana throughout history watu wamekuwa wakipinduana kuchukua ardhi.
Em tutafute a common ground ku-solve hili suala.
Kila mtu ana makazi pale, sasa kwa nini tunaona ni bora mmoja aondoke... Illogical.
 



HATA KIDINI WAYAHUDI NA TRUMP WAKO WRONG

ANGALIA HII DOCUMENTARY YA BBC


 
shida yenu mnaridhika na madrasaat. Mlinalishwa vifa vya uongo weeeee! manridhika. Palestina imaeanza kutamkwa miaka mingi sana baada ya jina Israel kuwepo Duniani. Kingdom of Israel na United Kingdom Of Israel zilikuwepo Duniani miaka zaidi ya 3000 iliyopita. walahakujawahi kuwa ni nchi inaitwa Palestina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…