Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Kuwa na akili,Mtume Muhammad angekuwa,hamkubali Yesu asingemtaja ndani ya Qur'an kwa uziri,na asingemtaja mmamke Yesu, wala Injili,na angemkashifu.Waisrael ndio wanpinga Yesu na hawamtambui na wanamwita mtoto wa haramu,wa nje ya ndoa.Wakati katika uislamu,ukimkataa Yesu,na kuikataa injili ya Yesu, huna uislamu.
Yesu hajatajwa kwenye quran, aliyetajwa ni isa,

Sasa yesu na isa wap na wap

Isa wa kwenye mtende , na yesu wa holi la ng'ombe wap na wap ? Kadanganye watoto wa madrasa
 
shida yenu mnaridhika na madrasaat. Mlinalishwa vifa vya uongo weeeee! manridhika. Palestina imaeanza kutamkwa miaka mingi sana baada ya jina Israel kuwepo Duniani. Kingdom of Israel na United Kingdom Of Israel zilikuwepo Duniani miaka zaidi ya 3000 iliyopita. walahakujawahi kuwa ni nchi inaitwa Palestina.
Wewe ndio unajindanganya,unafikiri hapo Palestina hakuna wakristo,wapo wakristo waarabu na wakristo waisrael,hawa wapo upande wa wapalestina kupigania hii ardhi.Ni wakristo wa Tanzania,tena kama wewe,,wengi wanaunga mkono wapalestina.Na ndio ukaona dunia nzima wamekataa kuutambuwa huu mji wa Jerusalem,kuwa makao makuu ya Israel.
 
Unatoa maelezo kichwani,huna ushahidi wa kutoka katika vitabu vya kale.Kama uislamu ungekuwa umeanzia miaka hiyo,uliyotaja,isingemtaja Adam,Ibrahim,Musa, Yesu kuwa pia ni mitume na manabii katika uislamu.Dini zote zilizoanza baada ya mitume hawa hawawataji wala kuwakubali ndani ya vitabu vyao:Huwezi kuwa muislamu mpaka
:1:Uamuni Mitume kuanzia Adam,Musa,....Ibrahim,Daud,,Ibrahim,...Issa
2:Kuamini vitabu vya mitume who,miongoni mwa vitabu hivyo
(a)Zaburi
( b)Taurat
(c)Injili
(d)Qur'an
Jaribu kuusoma uislamu,kutoka ndani ya Qur'an,ndio utaulewa uislamu usitoe kichwani.
Waislamu haawaabudu a in a yoyite ya sanamu,kama ingekuwa wanaabudu,hilo jiwe unalosema,ungeona miskitini limo hill jiwe,wamelivaa shingoni kama msalaba unavyovaliwa,lingekuwa majumvani mwa watu, waislamu wabaabudu Mungu mmoja tu.
Mwandishi wa hicho kitabu kilichotajwa hapo juu,ameelezea kwa jitihada kubwa,kukufahamisha uislamu,unavyiamini kuhusu mitume iliyopita.
Wausrael,wenye dini ya uyahud,hawakukumbali Yesu, na wakamuita mtoto wa nje ya ndoa.Wakati uislamu ndani ya Qur'an,imemtaja Yesu kwa urefu sana,na kumkubali pamoja na mitume mingine,akiwemo Ibrahimu, na vitabu,Zaburi,Taurat,Injili,vikitatajwa kwa urefu na mapana, kama uislamu hakuanza kwa Adam,ungewapinga hawa manabii na vitabu vyao,na hili liko wazi,duniani kuna dini nyingi lakini hawataji hawa manabii.
Nukta muhimu ya kuzingatia:
1:Waisrael wenye dini ya Uyahud,walikubali mitume kabla ya Yesu,lakini alipokuja Yesu wakamkataa,hapa ndio kiini cha mvurugiko,wakukataa manabii wa Mungu ulipoanza.
2:Wakristo wakamkubali Yesu, na kumkataa aliyekuja baada ya Yeah,Mtume Muhammad.
Kwa hiyo utaona,sio Mtume Muhammad tu ,aliyekataliwa na baadhi ya watu, hata Yesu alikataliwa na baadhi ya watu vilevile,wakati wote wawili walitumwa na Mungu.Na vile vile kabla ya Yesu na Mtume Muhammad,wapo pia mitume na manabii walikataliwa,na wengine kuuliwa,kuteswa nk.
Acha uongo

Quran imekuja miaka ya 600 ikadanganya kuwa ibrahimu,adamu ni waislamu.

Hata wewe unaweza kuanzisha dini yako na likitabu ukasema ibrahimu alikuwa wa hiyo dini

Ndicho kilichofanyika kwenye quran
 
shida yenu mnaridhika na madrasaat. Mlinalishwa vifa vya uongo weeeee! manridhika. Palestina imaeanza kutamkwa miaka mingi sana baada ya jina Israel kuwepo Duniani. Kingdom of Israel na United Kingdom Of Israel zilikuwepo Duniani miaka zaidi ya 3000 iliyopita. walahakujawahi kuwa ni nchi inaitwa Palestina.
Utajiumiza kichwa chako bure,funia nzima inatambuwa uwepo wa wapalestina.Na dunia nzima wameshsmpinga Trump,mpaka katika waziri wake wa mambo ya nje kushawishi mataifa ya kubali, wote wamekataa,kwa hiyo tulia,wengi wape, utaumia bure.
 
Hivi ndugu zangu Mtoto aliezaliwa mwaka 2005 leo akijiunga na Ccm akawa mwanachama WA Ccm. Hivi ni halali kwake kudai yeye ni mwanachama WA chama cha cha Tanu? Ni ajabu waislamu kusema musa na Abraham na manabii wengine kuwa waislamu wakti uislamu haukuwepo wakt wa kina Abraham. Hakika muhamadi nampongeza kwa kuwadanganya waislamu kuwa musa na kina yesu ni waislamu. IsraeL ni Nchi yao takatifu hii ni ajabu Sana. Toka ukristo kuanza mpk uislamu kuja ilipita miaka 570 Hv sasa vipi waislamu wameshindwa kuelewa hesabu hz na Historia ya Dunia hii je tuamini kuwa ktk uislamu elimu ni tatizo ni watu wa kukaririshwa tu. Hakika sasa Naelewa kwa nini waislamu ni wakorofi washari wagomvi washirikina ni urithi wa mama yao hajira mmisri kijakazi wa Sara mchepuko wa Abraham. Mama hakika Mtoto WA mchepuko hawezi kuwa na maadili km Mtoto WA ndoa. Nashangaa dunia na wasomi wanasema uongo ili kuwafurahisha waarabu kwa kuogopa vita. Ni vyema wasomi wawe WA kweli km trampy alivyosema ukweli kuwa Israel makao makuu ni Jerusalem. Waislamu Acheni kukaririshwa.
Jiulize swali dogo tu:
1:Kwa nini Yesu, alizikwa na sanda, kiislamu,hakuzikwa na Suti kama wakristo wanavyozikwa?
2:Kwa nini Yesu alivyaa Kanzu,mavazi ya kiislamu, hakuvaa suti, maisha yake yote.
Ukisema kanzu ni mavazi ya mashariki ya kati,mbona mkristo muarabu havai,muyahudi havai.
3:Mamake Yesu akijifinika Ushungu kichwani,na gauni refu,kiislamu.Hakuwa kichwa wazi, gauni fupi kikristo.
Chukuwa hatua,wacha kutoa kichwani,soma vitabu,hujui kusoma hata picha huelewi.
 
NDIO TATIZO LA DINI ZA KURITHI KWA BABA AU BABU, mimi nimekuwa kwenye uislamu, uislamu sio njia sahihi,

Ili kuweza kufahamu chimbuko halisi la Uislam inafaa kuyafahamu mazingira ya Uarabuni kabla ya Uislam, mtu aliyeitwa Muhammad na historia ya mwanzo ya Uislam. Elimu kale (akiolojia), Kurani na Hadithi vina mengi ya kusimlia ambayo watu wengi wanaweza kuwa hawajui, au kufahamu..

MNASHINDWA KUJIULIZA BEFORE MUHAMAD MBONA UISLAMU WALA CHEMBE YA DINI YA KISALAMU haikuwepo? Mnadanganywa eti adamu, ibrahimu walikuwa waisalmu ,na MNAKUBALI....


NGOJA NIKUJUZE kidogo, Watu wa kabila la Kureshi wa Maka walimwabudu Hubal, Al-ilah na mabinti watatu wa Al- ilah. Mwamba mweusi kutoka mbinguni uliheshimiwa sana uliwekwa kwenye kona ya kaaba. Kaaba ilikuwa ni kitovu cha kuabudia miungu/sanamu 360 kwa mujibu waBukhari juzuu ya 3 kitabu cha 43 sura ya 33 na.658 uk. 396 na juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 47 na.583 uk. 406.

Ensaiklopidia ya Uislam (iliyohaririwa na Eliade) uk.303 na kuendelea inasema, watu, kabla ya Uislam, waliomba mara 5 wakielekeza nyuso zao Maka na kufunga nusu siku kwa muda wa mwezi mzima. Wakureshi walifunga siku ya 10 ya Myharram/Muharam. Hii nayo Muhammad aliagiza ifanyike, lakini baadaye ikawa hiari. (Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 25 na.172 uk.109), pia Bukharijuzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 24 na.31 uk. 25.

Waarabu kabla ya Uislam walifanya hija (Umrah) Maka. Fiqh us-Sunnah juzuu ya 5 uk.122, na Bukhari juzuu ya 2 kitabu 26 sura ya 33 na.635 uk.371-372 zinasema walidhani kutokufanya 'Umrah ikijuwa ni moja ya dhambi kubwa sana duniani. Walipofika Maka waliifunika kaaba kwa nguo ya Fiqh juzuu ya 5 uk.131, na walikuwa na mwezi mtakatifu uliohitaji kujitenga na vita kabla ya kuja kwa Uislam (Bukhari juzuu ya 2 kitabu cha 23 sura ya 96 na.482 uk.273.

MPAKA HAPO UTAKUWA UMEPATA MWANGA KUWA KABLA MUHAMAD HAJAJA NA UISLAMU miaka ya 600AD, waarabu walikuwa na ibada zao za kipagani ,na walikuwa wanaabudu, hapo Alkaaba, Na muhamad hata yeye kaabudu hapo akiwa mdogo ,baba yake,babu yake wameabudu hapo , before 600AD, ALIPOKUJA NA DIN YA KIISLAMU, akafanyia marekebisho ya upagani wa MAKA, ndio maana kila kitu kwenye UISLAMU ni COPY & PASTE ya upagani wa MAKURESHI,

UKIBISHA NITAKUELEZA HATA mungu allah, alikuwa anaabudiwa hapo, na hao makureshi walikuwepo wengi tu wakiitwa abd-ALLAH
Angalia mavazi ya Yesu
1:Yesu akivaa kanzu, hakunyoa ndevu,hakuvaa suti.
2Yesu kazikwa na sanda,kiislamu,hakuzikwa na suti kikristo.
3:Mamake Yesu,Mariya,akivaa ushungi,kichwani na gauni refu,,hakuwa kichwa wazi kikristo na kigauni kifupi.
4:Yesu kutabu chake ni Injili,waislamu wanakiamini.Wakristo kitabu chao ni Biblia.
5.Ukristo umeanza baada ya kuondoka Yesu, wakati was Yes,kulikuwa hakuna kanisa, hakuna msalaba.
Tafakari,chukuwa hatua,hujachelewa.
 
Yesu mwenyewe alikuwa muislsmu:soma biblia
1:Akivaa kanzu,mavazi matakatifu
2:Hakunyoa ndevu
3:Akiswali kwa kusujudu,kiislamu
4:Alizikwa na sanda, kiislamu.Hakuzikwa na suti.
Hoja dhaifu kabisa hizi

Kwahiyo hizi ndizo nguzo za uislamu?

Kwahiyo nikifuga mzuzu, na kuvaa kanzu, tayari nishakuwa muislamu?

WAYAHUDI MPAKA KESHO WANAVAA KANZU, WANAFUGA NDEVU, KWAHIYO NI WAISLAMU?

halafu hiz hoja zenu mufilisi muwadanganye watanzania hapa hapa, KWINGINE MTAPIGWA MAWE, kwa uongo
 
Angalia mavazi ya Yesu
1:Yesu akivaa kanzu, hakunyoa ndevu,hakuvaa suti.
2Yesu kazikwa na sanda,kiislamu,hakuzikwa na suti kikristo.
3:Mamake Yesu,Mariya,akivaa ushungi,kichwani na gauni refu,,hakuwa kichwa wazi kikristo na kigauni kifupi.
4:Yesu kutabu chake ni Injili,waislamu wanakiamini.Wakristo kitabu chao ni Biblia.
5.Ukristo umeanza baada ya kuondoka Yesu, wakati was Yes,kulikuwa hakuna kanisa, hakuna msalaba.
Tafakari,chukuwa hatua,hujachelewa.
Mbona hoja mufilisi kabisa hizi

Wayahud mpaka leo wanavaa kanzu, hawanyoi ndevu,

Kwahiyo nao ni waislamu?

Wayahud mpaka kesho wanasali kwenye masinagogi kule Tel aviv na jerusalem,

HAYA HICHO KITABU CHA INJILI CHA YESU, ingekuwa vizuri ukakileta hapa, tukafananisha na INJILI YA BIBLIA,

Inaonesha hicho kitabu cha injili mnacho misikitini
 
ACHA kuweweseka mkuu, nimenukuu vitabu vyenu vya hadithi , na insaiklopedia ya kiislamu , UNALETA VIDEO ZA YOUTUBE HAPA? mimi nikajua utakuja na aya au utanipinga kwa hoja zenye mashiko ,kuwa Wakureshi hawakufanya hayo kabla ya muhamad kuleta uislamu,uliobeba kila kitu cha makureshi,

NAOMBA NIKUONYE UKIENDELEA KUBAKI KWENYE UISLAMU , BILA KUFATILIA UMEANZA VIPI UTAENDA SHIMONI, USIPENDE KUMEZESHWA UJINGA eti ibrahimu,adamu, yesu walikuwa waislamu na wewe unafurahi, hata hujiulizi maswali madogo tu ,

KUHUSU ,MIMI , nimeshakuwa muislamu toka mtoto,mpaka pale nilipogundua ukweli na kumfata YESU KRISTO .

NGOJA NIKUFUNZE KIDOGO TU, KUHUSU mungu allah unayemuabudu ,usijue katokea wapi,

Neno "Allah" ni kifupi cha neno la kiarabu La-ilah, ambalo maana yake ni "mungu". Wakristo wa kiarabu na wapagani walitumia neno Ilah kwa maana ya Mungu.

Hata Biblia za kiarabu na kiindonesia leo hii hutumia neno "Allah" kwa maaana ya Mungu. Wakati wa nyuma neno linalofanana na hilo el lilimaanisha "mungu" wa kweli au uongo katika lugha za mashariki ya kati kama kiugariki, kikaanani na kiebrania.

Kabla ya Muhammad, kaaba jengo lililotunza sanamu 360 liliitwa Beit-Allah, au "Nyumba ya Allah".

Baba yake Muhammad ambaye alifariki kabla ya Muhammad kuzaliwa, aliitwa Abdullah maana yake, mtumwa wa Mungu.

HAPA NAOMBA UJENGE HOJA NA UWAULIZE MASHEHE HUKO MSIKITINI,KWANINI Baba wa muhamad hakuujua uislamu na alikuwa mpagani complete lakini alikuwa anafanya ibada kwenye alkaaba na alikuwa anaitwa abdu allah, ULIZA HILO SWALI ,JENGA HOJA KWA MASHEHE ,USIBULUZWE ....

Pia kabila la Wayahudi liliitwa 'Abdullah bin Salam kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 13 na. 362 uk.241.

Kwa Kukudhihirishia miongoni mwa sanamu/miungu iliyoabudiwa Maka uliitwa "Allah." Huyu alikuwa mungu maalum wa kabila la Wakureshi naye alikuwa na mabinti watatu maalum. (KAMA UNA HOJA YENYE NGUVU PINGA )

Ukilinganisha na nguzo 4 kati ya 5 za Uislam, watu wa Maka kabla ya Muhammad walifunga kwa pamoja siku moja, walitoa sadaka kwa maskini wao, walisali wakielekeza nyuso zao Maka, na walifanya hija ('Umrah) Maka, KAMA LEO WAUMINI WA KIISLAMU WAFANYAVYO, NI YALE YALE YALIYOFANYWA NA WAKURESHI WAPAGANI....

Kulikuwa na tofauti nyingi pia, lakini inashangaza kuona muendelezo wa matendo yasiyobadilika yaliyokuwa yakifanyika kwenye ibada za kipagani za kikureshi.

USIKARIRISHWE TU OHOO DINI YA HAKI ,MARA KIMEKWENDA KIMERUDI ,UTAPOTELEA SHIMONI
Angalia mavazi ya Yesu na mamake na waliokuwa pamoja na Yesu, walivyaa mavazi gani,na Ibadan zao zilikuwa vipi,je wanafanana na waislamu au wakristo au wayahud?
1:Yesu akivaa kanzu, vazi la waislamu.Hakuvaa Suti,hata ndani ya biblia,Kanzu imeitwa vazi takatifu.
:2:Yesu kazikwa na sanda,bila kutiwa kwenye sanduku,hata Lazaro aliyefufuliwa na Yesu, hakuna maelezo ya kutoka ndani ya sanduku,alitoka kaburini,kama waislamu wanavyozika.
3:Mamake Yesu, Mariya alivyaa ushungi na guni refu, na hata aliokuwa nao,wanawake wa wakati huo, walivyaa hivyo,hawakuwa kichwa wazi na magauni mafupi.
4:Yesu alikuwa na kitabu Injili,hakuwa na biblia,na waislamu wanaimini Injili.
5:Wakati wa Yesu hakukuwa na makanisa,kulikuwa na misikiti ya wayahudi.
 
Yesu hajatajwa kwenye quran, aliyetajwa ni isa,

Sasa yesu na isa wap na wap

Isa wa kwenye mtende , na yesu wa holi la ng'ombe wap na wap ? Kadanganye watoto wa madrasa
Kuwa na akili,wafikiri muarabu mkristo, Yesu atamwitwa Yesu kiswahili,atamwitwa kwa matamshi ya kiarabu I'ssa,kama wazungu wanavyomwita Jesus.
 
Angalia mavazi ya Yesu na mamake na waliokuwa pamoja na Yesu, walivyaa mavazi gani,na Ibadan zao zilikuwa vipi,je wanafanana na waislamu au wakristo au wayahud?
1:Yesu akivaa kanzu, vazi la waislamu.Hakuvaa Suti,hata ndani ya biblia,Kanzu imeitwa vazi takatifu.
:2:Yesu kazikwa na sanda,bila kutiwa kwenye sanduku,hata Lazaro aliyefufuliwa na Yesu, hakuna maelezo ya kutoka ndani ya sanduku,alitoka kaburini,kama waislamu wanavyozika.
3:Mamake Yesu, Mariya alivyaa ushungi na guni refu, na hata aliokuwa nao,wanawake wa wakati huo, walivyaa hivyo,hawakuwa kichwa wazi na magauni mafupi.
4:Yesu alikuwa na kitabu Injili,hakuwa na biblia,na waislamu wanaimini Injili.
5:Wakati wa Yesu hakukuwa na makanisa,kulikuwa na misikiti ya wayahudi.
Acha kujitekenya

Wayahudi mpaka kesho wanavaa kanzu, wanafuga ndevu hizo ni tamaduni za kiyahudi huko mashariki ya kati,hazikufanyi wewe uende mbinguni ,ni matendo ya mwili tu

Kuhusu kuzika ,hata uzikwe uchi ,au utupwe kama mzogo haibadili matendo yako ,INASIKITISHA SANA DINI YA UISLAMU kukomaa na maiti eti why inavaa suti ,n.k

HALAFU NGOJA NIKUPE ELIMU NDOGO KUHUSU MASINAGOGI ,MISIKITI MAHEKALU NA MAKANISA, haya ni majengo manne tofauti ,na UZURI QURAN IMEELEZA VIZURI

NA HATA KWA KIARABU YANA MAANA TOFAUTI

NA MPAKA LEO UKIENDA ISRAELI ,BADO MASINAGOGI YAPO NA WAYAHUDI HATA LEO JUMAMOSI WANAENDA KUSALI HUMO, LAKINI HUMKUTI MUISLAMU ANAINGIA KWENYE SINAGOGI

Sinagogi siyo msikiti kwa maana halisi:-
Wakati wa kutafsiri Biblia, wakati ule kiswahili kilikuwa bado hajikakua, wafasiri walikosa neno hasa la kuweka ili liwe na maana katika kiswahili, wakaona Waweke Msikiti wa Wayahudi, kwa sababu Mashariki ya kati, majengo yao ya ibada, yalikuwa katika mfanano, Muhammad alipoanzisha Ujenzi wa Misikiti, aliiga majengo ya masinagogi yalivyo, ndo maana wakaweka msikiti wa Wayahudi, na siyo Msikiti tu katika mfanano wa majengo, maana Masinagogi yalijengwa baada ya Waisraeli kitoka utumwani, yakitumika kama madarasa ya kufundishia Torati, na hata Ibada kwa sababu Hekalu lilikuwa moja, wasingewza kukusanyika wote
Ila kwa sasa, Lugha imepanuka! Ndiyo maana sasa huoni tena uwepo wa maneno magumu! Kufasiri Sinagogi ni msikiti wa Wayahudi kwa sababu lugha imekuwa pana, na hata ukisoma Biblia ya Kiarabu, Sinagogi, halijaitwa Masjid (مسجد) Ambapo katika Lugha ya kingereza, Mosque, bali Limeitwa hivi.
لوقا
4: 16 و جاء الى الناصرة حيث كان قد تربى و دخل المجمع حسب عادته يوم السبت و قام ليقرا
Kumeandikwa
و دخل Wadakhara
المجمع
Ilal Maj'maa
Maj'maa مخمع Ndivyo Sinagogi linavyoitwa, Wakati Msikiti kiarabu huitwa, مسجد (Masjid)
Hata ukisoma katika Biblia ya kingereza, Sinagogi huitwa, Synagogue, na msikiti ni Mosque, Huwezi kwenda kusoma English Bible ukakuta sehemu ye yote imeandikwa, Synagogue ni Mosque, kwani hata Quran yenyewe inakiri wazi kuwa kuna tofauti baina ya sinagogi na Msikiti.
Quran 22: SUURATUL HAJJ
ﺍﻟَّﺬِﻳﻦَ ﺃُﺧْﺮِﺟُﻮﺍ ﻣِﻦ
ﺩِﻳَﺎﺭِﻫِﻢْ ﺑِﻐَﻴْﺮِ ﺣَﻖٍّ ﺇِﻟَّﺎ ﺃَﻥ
ﻳَﻘُﻮﻟُﻮﺍ ﺭَﺑُّﻨَﺎ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﻭَﻟَﻮْﻟَﺎ
ﺩَﻓْﻊُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﺍﻟﻨَّﺎﺱَ ﺑَﻌْﻀَﻬُﻢ
ﺑِﺒَﻌْﺾٍ ﻟَّﻬُﺪِّﻣَﺖْ ﺻَﻮَﺍﻣِﻊُ
ﻭَﺑِﻴَﻊٌ ﻭَﺻَﻠَﻮَﺍﺕٌ
ﻭَﻣَﺴَﺎﺟِﺪُ ﻳُﺬْﻛَﺮُ ﻓِﻴﻬَﺎ
ﺍﺳْﻢُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﻛَﺜِﻴﺮﺍً
ﻭَﻟَﻴَﻨﺼُﺮَﻥَّ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﻣَﻦ
ﻳَﻨﺼُﺮُﻩُ ﺇِﻥَّ ﺍﻟﻠَّﻪَ ﻟَﻘَﻮِﻱٌّ
ﻋَﺰِﻳﺰٌ
40. Ambao wametolewa
majumbani mwao pasipo haki
ila kwa sababu wanasema Mola
wetu ni Mwenyeezi Mungu. Na
kama Mwenyeezi Mungu
asingeliwakinga watu baadhi
yao kwa wengine, bila shaka
yangelivunjwa mahekalu na
makanisa, na masinagogi, na
misikiti ambamo jina la
Mwenyeezi Mungu hutajwa kwa
wingi. Na bila shaka Mwenyeezi
Mungu humsaidia yule
anayemsaidia Yeye. Hakika
Mwenyeezi Mungu ni Mwenye
nguvu Mtukufu.
Hapo Quran Imetaja kwa uwingi kila Jengo.
ﺻَﻮَﺍﻣِﻊُ
(1) Mahekalalu (Swawaamiu)
َﺑِﻴَﻊٌ
(2) Makanisani (biyaaun)
َﺻَﻠَﻮَﺍﺕٌ
(3) Masinagogi (Swalawaatun)
َﻣَﺴَﺎﺟِﺪُ
(4) Msikikiti (masaa jidu)
huo ni utofauti wa kuonyesha kwamba, Kuna tofauti kati ya sinagogi na msikiti,

HIVO ENDELEENI KUWADANGANYA MAAMUMA NA WAKRISTO WASIOSOMA VITABU VYENU,

MIMI NILIKUWA MUISLAMU WA KUZALIWA, NA NILISHATOKA HUKO,

UISLAMU NI DINI ALIYOILETA MUHAMAD, AWALI ALIKUWA ANASALI NA WAYAHUDI, MPAKA PALE ALIPOKOROFISHANA NAO, NDIO AKAANZISHA HUO UISLAMU NA KUWADANGANYA ETI ibrahimu ,musa walikuwa waislamu
 
Acha uongo

Quran imekuja miaka ya 600 ikadanganya kuwa ibrahimu,adamu ni waislamu.

Hata wewe unaweza kuanzisha dini yako na likitabu ukasema ibrahimu alikuwa wa hiyo dini

Ndicho kilichofanyika kwenye quran
Nimeshakufahamishwa uislamu,unatambua virabu kabla na baada ya
1:Zaburi
2:Taurat
3:Injili
Kama uislamu umekuja kwa Qur'an,usingetambuwa uwepo was vitabu hivyo.Zipo dini nyingi kama uhindu,Sikh,Mk,hawavitambui vitabu hivyo,kwa sababu ni dini zilizoanza baada ya hivyo vitabu.
 
Kuwa na akili,wafikiri muarabu mkristo, Yesu atamwitwa Yesu kiswahili,atamwitwa kwa matamshi ya kiarabu I'ssa,kama wazungu wanavyomwita Jesus.
Kweli wewe mweupe

Yesu kwa kiarabu ni YASU

hiyo yesu ni isa umeitoa wap?

MBONA MNADANGANYWA MCHANA KWEUPE?
 
Aya za uwongo kabisa. Mtu aje karne ya 6, ashushiwe qur an, halafu eti Sulemani alikuwa Muslim. Kwani Sulemani si Myahudi? huko kwenu kwa wenye dini yao Waarabu hamna manabii. Kwa mnang'ania manabii wa Mayahudi wakati huo huo mnawachukia wayahudi?
Sasa uulize kabla ya kusema utumbo hapa. Uyahudi ni dini inayofuata taurati ya Mussa. Hata hivyo taurati ya Mussa inaitakidi unyenyekevu kwa Mungu Mmoja. Suleiman ni mtoto wa Daudi aliyepewa Zaburi. Nayo pia inamtakidi Mungu Mmoja. Acheni upotoshaji kwa kusoma vitabu juu juu tu.
 
Nimeshakufahamishwa uislamu,unatambua virabu kabla na baada ya
1:Zaburi
2:Taurat
3:Injili
Kama uislamu umekuja kwa Qur'an,usingetambuwa uwepo was vitabu hivyo.Zipo dini nyingi kama uhindu,Sikh,Mk,hawavitambui vitabu hivyo,kwa sababu ni dini zilizoanza baada ya hivyo vitabu.
usizilazimishe hizo dini kutambua hivo vitabu

Kama mnavitambua. Vileten hivo vitabu tuvione ,

Halafu lazima UJUE muhamad aliishi vzr na wayahudi, ila alipotokewa na Shetani akampa Wahyi wa uongo na kuanzisha dini ya UISLAMU, ndipo alipoanza kugombana na WAYAHUDI , na amewarithisha hadi nyinyi hii chuki,

Kuanzia hapo akaanzisha hadi SIKU YA IBADA YA IJUMAA, AWALI ALISALI JUMAMOSI NA WAYAHUDI VZR TU

AKAANZA KUSEMA IBRAHIMU NA MUSA, NA YESU WALIKUWA WAISLAMU kitu ambacho sio kweli
 
Hoja dhaifu kabisa hizi

Kwahiyo hizi ndizo nguzo za uislamu?

Kwahiyo nikifuga mzuzu, na kuvaa kanzu, tayari nishakuwa muislamu?

WAYAHUDI MPAKA KESHO WANAVAA KANZU, WANAFUGA NDEVU, KWAHIYO NI WAISLAMU?

halafu hiz hoja zenu mufilisi muwadanganye watanzania hapa hapa, KWINGINE MTAPIGWA MAWE, kwa uongo
Hakuna asiye muislamu akivaa mavaxi hayo, hata wewe ukikutana na mtu ,barabarani lavas mavazi hayo,utachukulia asilimia 100 ni muislamu.Ukimuona mwanamke kajifinika ushungi 100%,utasema kapita mwanamke wa kiislamu.
Maiti ikifufuliwa kokote duniani,akiwa kavalishwa sanda sio suti, anajulikana muislamu.
Na ndivyo Yesu alivyozikwa
1:Alivyalishwa sanda,
2:Hakutiwa kwenye sanduku.
Au hujui sanda ni nini,
Sanda ni shuka nyeupe anayovingirishiwa maiti wa kiislamu,kwa mpangilio maalumu.
 
Sasa uulize kabla ya kusema utumbo hapa. Uyahudi ni dini inayofuata taurati ya Mussa. Hata hivyo taurati ya Mussa inaitakidi unyenyekevu kwa Mungu Mmoja. Suleiman ni mtoto wa Daudi aliyepewa Zaburi. Nayo pia inamtakidi Mungu Mmoja. Acheni upotoshaji kwa kusoma vitabu juu juu tu.
Sasa Torati ya wayahudi na UISLAMU WAPI NA WAPI?

MBONA MNATUMIA LIKITABU ALILOKUJA NALO MUDY?

WAYAHUD MPAKA KESHO WANATUMIA BIBLIA AGANO LA KALE(TANAKH)

MBONA HAMUITAKI MNASEMA YA UONGO, HIYO YA UKWELI IPO WAPI?

SULEMAN ALIJENGA HEKALU,

HEKALU NA MSIKITI WAP NA WAPI?

MISIKITI IMEANZ kujengwa baada ya muhamad, before hakuna kitu kilichokuwa kinaitwa msikiti ,
 
Back
Top Bottom