Kidini Kajala ni mke wa mtu, Harmonize atamuoaje?

Nashangaa watu wanahangaika naye
Wanaomjua tokea kapok kumbukumbu primary,anasasambua club asset na kwenye mabeach party
Wala hawaumiz vichwa....
Ila naona hazeeki ....anaonekana mpya kwa wageni

Ova

Nakumbuka ilikuwa FM Club kiongozi na kichupi na sidiria tu, kuna rafiki yake alikuwa anaitwa Zuhura alikuwa anakaa mitaa ya stereo Kino.

Aisee umenikumbusha mbali wakina Agatha, Mc Track, LB Family et al
 
Binafsi Mwanamke akishakuwa Mzazi tu kwa maana akishazaa nakuwaga sinaga hata mzuka nae hata akiwa mzuri vipi,lakini Chinga yule kafa kaoza wakati kuna vibinti vibichi mtaani vizuri hatari na vina tabia safi kabisa,hakika tunatofautiana[emoji1787][emoji2]
 
Halafu humu unakuta wanaume ndio wanampondea Kajala wakati sisi wenyewe hatujatulia. To be honest akifunua mi napita bila kufumba macho, dhambi zake mwenyewe
 
Nakumbuka ilikuwa FM Club kiongozi na kichupi na sidiria tu, kuna rafiki yake alikuwa anaitwa Zuhura alikuwa anakaa mitaa ya stereo Kino.

Aisee umenikumbusha mbali wakina Agatha, Mc Track, LB Family et al
Nashanga hyo mmakonde anamuona mpya kmbe kilomita zimeenda
Duh...agatha, kndi lake walikuwa mcharuko balaaa
Zuhura namjuwa maana stereo nimekaa sana kitambo
Wale walianza kuliwa tokea wakiwa primary

Ova
 
Kiki tu hamna lolote wasanii wa bongo kunandoa za mkataba🙄🙄🙄
 
Nashanga hyo mmakonde anamuona mpya kmbe kilomita zimeenda
Duh...agatha, kndi lake walikuwa mcharuko balaaa
Zuhura namjuwa maana stereo nimekaa sana kitambo
Wale walianza kuliwa tokea wakiwa primary

Ova

Acha tu umenikumbusha back in those days bruh...!

RIP AIDEED.
 
Nashanga hyo mmakonde anamuona mpya kmbe kilomita zimeenda
Duh...agatha, kndi lake walikuwa mcharuko balaaa
Zuhura namjuwa maana stereo nimekaa sana kitambo
Wale walianza kuliwa tokea wakiwa primary

Ova
Ana umri gani kajala.
 
Hakuna kinachoshindikana anaolewa vizuri tu.

Anaweza kuamua kudai talaka mahakamani, ndoa nyingi za kikristo zimevunjwa na watu wanaoana tu.
Refer; Flora Mbasha
Hakuna ndoa hapo kajala yupo after money sio kwamba anampenda harmonize hiv pfunk majani alikuwa mjinga kumbwaga yupo manzi sibiri huyo harmonize apunguze kumuonga huyo manzi ataona rangi halisi ya huyo mwana bongo movies
 
Ukibadili dini ndoa ya kwanza inavunjika automatic naona atafanya hivyo.
Mkuu ndoa hazivunjiki kiautomatic ndoa inavunjwa mahakamani.
Hakunaga kuvunja ndoa kiautomatic katika sheria, kama hajaomba talaka kisheria huyo bado serikali inatambua ni mke wa mtu.

Kondeboi akioa basi kaoa mke wa mtu ikiwa ile ndoa ya kwanza haijavunjwa na mahakama.

Anaweza kuoa bila tabu kabisa ila huko mbele vikitokea visanga inaweza kuwaletea shida kisheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…