Kidonda kina siku 12 hakikauki na kupona, natumia dawa

Kidonda kina siku 12 hakikauki na kupona, natumia dawa

Habari wakuu

Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.

Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.

Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.

Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%

Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo

Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?

View attachment 3151499
TAFUTA MMASAI AKUPE DAWA MOJA YA UTOMVU INAFANANA NA ASALI KIMIMINIKA CHAKE...INA NDIMWAI...PAKA HAPO..UJE KUNISHUKURU INBOX.
 
Mh, pole sana.

Sijaelewa maelezo yako kwamba ulipata baada ya matibabu ya bawasiri, halafu kuna nini unachoma sijui inaungilia?

Ili kidonda kipone ni lazima kiwe kisafi na uchafu usiingie ndani yake. Ni lazima kukisafisha na kukifunika kwa pamba safi na salama.

Wakati kinasafishwa kuna dawa za kumeza utapatiwa ili kusaidia kidonda kupona na kukaa vizuri. Kwa hiyo kama mwanzoni hakuna dawa za kumeza au hakikuwa kikisafishwa inawezekana ndiyo maana kimekaa muda wote huo bila kupona.

Kwa hiyo ni muhimu kwenda kituo cha afya/hospitali kusafishwa na kuendelea na dawa ulizopewa na daktari.

NB: Kuwa makini si kila kidonda kinasafishwa kwa spirit

Kila la kheri.
Nlienda juzi hospital nkasafishwa ndo nkawekewa dawa muprocini
 
Wound management
1.asafishe na hydrogen peroxide kuondoa debris.
2.then atumie Iodine tincture kusafishia,atie pamba kidogo afunge then afunge kisipate maji.
3.dressing ya kidonda afanye kila siku.


I'm not a doctor
Dressing yakidonda inafanyikaje
 
Mh!
Basi ndio maana hakijapona mpaka leo siku 12, bacteria hawauwawi kwa kuchoma bali kwa dawa za kupaka au za kumeza.

Ukikichoma ina maana unaweka jeraha jipya na hata uchafu unaingia. Hata kinapokauka haishauriwi kulibandua lile gamba mapema kabla halijaanza kujiachia lenyewe.

Kama mbinu hiyo ya kuchoma ndiyo anayoitumia (kukichoma) kwa kweli safari itakuwa ndefu sana. Hakuna haja ya kukichoma ni usafi tu ndiyo ilihitajika basi, lakini kwa sasa inabidi akisafishe na kupaka hiyo dawa aliyopewa na kukifunika kwa pamba safi wala asisumbuke kuchoma.
Yaan kidonda kilitokana nakupewa dawa ya bawasiri nawajapan ktk clinic zao hiyo dawa inawekwa ktk kidole hapo juu nlikua kidole kizima kabisa Sina donda ndo wakabia dawa Yao inawekwa juu ya kidole Kisha wanaichoma dawa inaungua Hadi iiishe ikiwa ktk kidole so ndio mwanzo wakidonda Sasa kutokea
 
Mbona kidole kama cha sokwe na si binadamu
Mkono wa mwanaume huo mlamba lips huwezi kuelewa.

Mleta mada fuata ushauri wa Dr PL utapona nenda hospital kisafishwe vizuri usitie shaka sana,hapo kilipo ni dhahiri kinaingia maji mara kwa mara ukinawa kipe likizo siku nne kisiguse kabisa maji matokeo yatakuwa mazuri.
 
Mkono wa mwanaume huo mlamba lips huwezi kuelewa.

Mleta mada fuata ushauri wa Dr PL utapona nenda hospital kisafishwe vizuri usitie shaka sana,hapo kilipo ni dhahiri kinaingia maji mara kwa mara ukinawa kipe likizo siku nne kisiguse kabisa maji matokeo yatakuwa mazuri.
Sasa mkuu haja kubwa ntajiaafishaje nanimkono wakushoto
 
Ushuhuda wangu wa matumizi ya unga wa mlonge kwenye matumizi ya chai inasaidia haraka sana kidonda kukauka haraka.
Inasemekana kijiko kimoja cha mlonge kina vitamin c mara sita zaidi ya chungwa, hakika binafsi nakushauri ujaribu kutumia mlonge na pia kama kuna anti biotics za hospitali nadhani ukizingatia na usaf kama ulivoshauriwa itakuwa poa,all the best,ugua pole!
 
Ushuhuda wangu wa matumizi ya unga wa mlonge kwenye matumizi ya chai inasaidia haraka sana kidonda kukauka haraka.
Inasemekana kijiko kimoja cha mlonge kina vitamin c mara sita zaidi ya chungwa, hakika binafsi nakushauri ujaribu kutumia mlonge na pia kama kuna anti biotics za hospitali nadhani ukizingatia na usaf kama ulivoshauriwa itakuwa poa,all the best,ugua pole!
mlonge utamchelewesha mambo hayaendi namna hiyo mkuu
 
Pole Sana kamanda...ugonjwa unaingia kirahis ila kutoka ndo shughuli..
 
Sasa mkuu haja kubwa ntajiaafishaje nanimkono wakushoto
Hizi ni nyakati unapitia zinahitaji ubunifu,kwenda choo ni lazima lakini pia ni lazima kidonda kipone nahisi pia vipo vyakula ukivizingatia vitapunguza route za chooni ikitokea umeenda beba tissue za kutosha chovya kwenye maji jifute hadi ujihisi msafi,jipe siku tano za kufanya hivi.

Suala la kuoga hii kazi ataifanya shemeji yetu huku mkono umeutenga kwa juu,kidonda kinahitaji matibabu siriaz ukikizembea kinaweza kikakuletea balaa
 
Sawa Dr,unamshauri afanye nini kipone?

Siyo muda wa lawama huu maana kimeshakuwa mpe muafaka
afike kituo cha afya huduma ataipata kisha afuate ushauri wa mlaamu

kidonda hicho kinahitaji usafi,kifungwe vizuri na kiwekewe mazingira sahihi kwa muda ili kipate kupona haraka
 
Habari wakuu

Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.

Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.

Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.

Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%

Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo

Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?

View attachment 3151499
Safisha kidonda kwa maji ya kusafishia vidong " Usol", kabla ya hapo andaa: fragile 2, PNV 2, Ampiciline 2, vidonge uvisage pamoja vilainike sana, kisha changanya na hiyo ampiciline, ukiwq umeshasafisha kidonda, weka hiyo dawa, usikifunge maana kitatoa maji mepesi, kikisha acha kutoa hayo maji unaweza kufunga, ila nashauri ukiache kiwe wazi tu, utaweka mara moja au mbili tu kwishaaaa. Dawa ikiwa kwa kidonda usiruhusu maji yakilowanishe, usiache kuleta ushuhuda hapa ukipona
 
Bunda zima. Hapana.... Zisizidi punje 6.... Nafikiri hii Kitu ina kazi nyingi mwilini asije. Kupata shida nyingine wakati anatafuta tiba ya kitu kingine...
Kitunguu hakina shida, hata akila mabunda matatu.

Labda awe na matatizo mengine ya moyo n.k.

Otherwise, ale kwa kiasi cha kutosha ili kuwezesha tiba kwenda kwa kasi.
 
Habari wakuu

Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.

Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.

Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.

Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%

Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo

Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?

View attachment 3151499

Kama ulikuwa hukiwekea dawa kuna uwezekano kimepata infection.. pengine hata ushapata tetenus..

Mwili Una uwezo wa kujitibu ukiona kidonda kidogo zaid ya siku 3 kinaanza kutengeneza maji na usaha ndani ujue kimepata infection
 
Back
Top Bottom