Kanisa haliwezi kukwepa hiyo dhambi maana nyumba takatifu haiewezi kuwa na limtu katili liuaji tena wa mtoto ambae hana hatia.Ila inaweza ikawa kweli ni padre..huwezi kuwa paroko msaidizi kama sio padre..na mm nimeumia ila hii ni dhambi yake binafsi na sio kanisa...
View attachment 3020803
Kupitia taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime imewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.
Paroko huyo pia anatuhumiwa kuwa ndiye allyemtafuta mganga wa jadi na kulipia gharama zote za uganga.
Watuhumiwa wengine ni Dastan Kaiza mkazi wa Bushagara, Faswiru Athuman mkazi wa Nyakahama, Gozibert Alkadi mkazi wa
Aibu sana kwa kanisa. Ndio mapadre ambao wanalindwa. Wale wanaosimamia maadili ya upadre, huwa wanapigwa vita kwa nguvu na uongo wote. Tunavuna tunayopandaNyakahama Kamachumu, Rwenyagira Burkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Ramadhani Selestine mkazi wa Kamachumu na Nurduni Hamada mkazi wa Kamachumu.
Credit - HabariMtandaoni
Bila shaka wewe ni miongoni mwa maharamia waliomuua mtoto yule asiye na hatia au upo kwenye biashara hiyo haramu..basi tambua kuwa mkono wa serikali utakukuta hapohapo ulipo.maana Damu ya mtoto yule Inaendelea kuzungumza na kuwataja wote
Kati ya hao lazima kuna mijitu ya mbogamboga aka nzi wakijani mana ndio hawashindwi,RIP bintiNdugu zangu Watanzania
Nimesema na niliandika humu kuwa Damu ya mtoto yule mwenye Ulemavu wa ngozi aliyeuwawa kikatili Itazungumza na kunena mpaka watu wote waliohusika wakamatwe.sasa wote wamekamatwa akiwepo baba Mzazi wa mtoto aliyeshawishiwa na Paroko kufanya kitendo hicho cha kinyama.
Ambaye paroko huyo alimtafuta mganga wa kienyeji kwa ajili ya kufanya biashara hiyo haramu ya viungo vya binadamu. Watu hao na wengine ambao jumla yao ni tisa wamekutwa pia na viungo hivyo vya binadamu katika mifuko wakiwa wapo katika harakati za kutafuta wateja.View attachment 3020834
Angekua ustaadh huyo!!!..wazee wa upendo,pigwa shavu la kulia geuza kushotoHatari sana watumishi wa bwana wamekua wachawi
Hata kujitetea hakawezi...aisee siku yangu iliharibika haswa...nilijiuliza maswali mengi sana pasipo pata majibu...imagine kanalia kwa maumivu makali bila kenyewe kujua kana kosa gan...aiseeHao wakabidhiwe wananchi wawaue taratibu kwa siku zaidi ya mia 600 wanapaswa wafe kwa uchungu mkali sana
Niliumia sana sana toka siku ya kwanza tu huyo mtoto alivyotoweka ,nilisali sn mtoto apatikane lkn haikuwa mapenzi ya Mungu ,nilipata taarifa jana nikiwa naelekea kazini ...kiukweli nilifika kazini na nikaondoka pasipo kumiaga yeyote yule kutokana na uchungu mzito mno niliokuwa nao
Niliwaza sana mtoto mdg kama yule anakutazama pasipo kujua nini kinatokea baada ya muda si mrefu
Unawezaje kuua mtoto kama yule yaani huna chembe yeyote ile ya huruma
Naomba kualikwa kutoa mateso makali sana kwa hao wendawazimu
Sema Paroko wa Kanisa la Roman Catholic sio kuzunguka zunguka 🤣🤣View attachment 3020803
Kupitia taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime imewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.
Paroko huyo pia anatuhumiwa kuwa ndiye allyemtafuta mganga wa jadi na kulipia gharama zote za uganga.
Watuhumiwa wengine ni Dastan Kaiza mkazi wa Bushagara, Faswiru Athuman mkazi wa Nyakahama, Gozibert Alkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Rwenyagira Burkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Ramadhani Selestine mkazi wa Kamachumu na Nurduni Hamada mkazi wa Kamachumu.
Credit - HabariMtandaoni
Kwani hiyo ni kashfa ya kwanza Kwa watu wa dini na Hilo Kanisa lako?Acha kukashifu kanisa kanisa halijamtuma paroko ni yeye mwenyewe na uwendawazimu wake ata hivyo bado hajahukumiwa ni hadi mahakama itoe hukumu hapo ndio vizuri kumjudge sasa..
si kila asemaye Bwana Bwana atakayeurithi ufalme wa Mungu. tuko kwenye dunia ambayo Magugu yamechanganyika sana na ngano kiasi cha kwamba usipokuwa makini utashindwa kutofautisha ngano ni ipi na magugu ni yapiHatari sana watumishi wa bwana wamekua wachawi
Hilo Kanisa lenu Lina kashfa ya kuchochea mauji ya kimbari Rwanda ,kuhamasisha Ushoga na ulawiti wa WatotoKwahiyo, mabaya yako uliyowahi kuyafanya hapa duniani, ukoo wako ndo ulaumiwe? Kanisa la RC siyo la mtu mmoja. Kama angekuwa ametumwa na kanisa kufanya hayo, sawa. Ila kama hajatumwa, kuwa kwake padre hakumaanishi kila anachokifanya katumwa na kanisa