Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Na wewe acha kuandika kama unatumia matako kufikiri
Tupo under the same umbrella
About izo religion..na ni mtu mmoja ndo kafanya ivo sio kanisa...mpuuzi wewe
 
Ila inaweza ikawa kweli ni padre..huwezi kuwa paroko msaidizi kama sio padre..na mm nimeumia ila hii ni dhambi yake binafsi na sio kanisa...
Nadhani ni vyema ikathibitishwa, kwa sababu wanaume wengine tunahangaika kutafuta fedha ili maisha ya familia yaende,
mapadre wa kanisa katoliki hawana familia inakuwaje ashiriki dhambi hii ili apate pesa,
 
Akina Shomile vipi tena?
 
Baba paroko siyo padre,wamesema ni kijana alikua mlevi akachukuliwa na kanisa kulelewa ili aache pombe,siyo Kwamba na yeye ni paroko

ACHENI kulichafua kanisa, before hamjafanya utafiti
Hii comment nimeikuta sehemu nyingi sana, lakini inafikirisha. Taarifa ya polisi imetaja "Paroko msaidizi" na ili awe Paroko msaidizi lazima awe padri tena mwandamizi. Nyie mnaosema "ni kijana aliyekuwa nalelewa tu" mnataka kusema polisi wamekurupuka?? Kwasababu wao ndio waliomtaja kwenye taarifa yao.

Kama wamekurupuka maana yake tusubiri waje kuomba radhi na kusahihisha makosa yao lakini kwasasa kinachosomeka ni paroko msaidizi
 
Jipe muda soma habari.
Huyo bwana ni paroko msaidizi.
Kama katenda kosa, ametenda yeye kama yeye hajatumwa na kabisa.
Dini isikupe upofu, mahakama itachunguza ukweli wote
Madhehebu ya dini sawa na club za mpira kimifano, wachezaji wakifanya fujo uwajan, au kupewa kadi nyekudu, watakayoighalimu, ni club yao. Hivyo hivyo hata madhehebu yenu, msijitoe, yameshakua njia ya kujitafutia uchumi tu kwa watu??
 
Watu wanacomment ooh sijui kanisa Thihaka kama zote..
Do you really think kuna dini ambayo ni proven au ni ivi ivi tunaenda kiimani.. Anyway kama ni kiimanii acheni dhihaka za kikuma viongozi wetu kwenye izo dini ni binadamu kama sisi wana mapufungufu yao vile vile.. Ishu imefanywa na mmoja basii ndo mafollower ya dini gani sijuii yanapata point KUENI NA AKILI KMMK
 
Picha zao Tafadhali
 
Na hawa ndo baba zetu wasio na uchungu hata chembe na damu zao.
Mama hata angeahidiwa kupewa dunia katu asingeweza kuuza damu yake. Wa mama wapokee maua Yao kwenye swala LA kupambania watoto wao
 
Inaniijia picha watoto wa Kipalestina namna gani wanavyouawa na madhaalim, kiumbe kama huyo hajui lolote, maumivu aliyoyapata wakati anakatwa viungo ama kuchinjwa, Sub haanallah! Wauawe haraka, hakuna kuchelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…