Mbona hata zamani kanisa limehusika katika inquisitions, crusades na kuchoma moto wanawake wachawi?!Juzi niliandika kitu kama hiki
Viongozi wa dini walikuwepo zamani! Siku hizi wengi wao wanathamini pesa kuliko chochoteee
Kweli tupu.Unaongea ukweli au unadhihaki tu mkuu
Kama una mawazo ya kupika na kula nyama ya binadamu, hata wewe una roho kama ya waliomuua huyo mtoto.Ningekuwa mtoa hukumu hao watuhuniwa wakikutwa na hatia na wao wachinjwe wapikwe supu wapelekwe uwanjan watu wakishindwa kuwala nyama ata mchuzi wapate full stop.
Na wewe acha kuandika kama unatumia matako kufikiriParoko wa Kanisa la Roman Catholic huko Misenyi Kagera ametiwa mbaroni na Polisi pamoja na wenzake wanna akiwemo Baba mzazi wa mtoto albino aliyeuwawa.
Inadaiwa Bwana Paroko Kwa jina la Epidius Rwegishora alimfuata Baba mzazi wa mtoto albino aliyeuwawa na kumshawishi eti wafanye biashara ya viungo.
View: https://www.instagram.com/p/C8Zj-FcNzue/?igsh=MWFjZmdxcHZ2ZHh5MQ==
My Take
Hayo ndio Makanisa yenu na hao ndio Viongozi wenu mnaodai wanawawekea mikono ya Baraka.
Hakuna watu Wana kashfa za uhayawani na unyama ikiwemo uchawi kama Viongozi wa dini mlizoletewa na Wazungu na Waarabu kuanzia usenge(Ushoga) Hadi kulawiti Watoto.Very sad.
R.I.P mtoto.
View: https://www.instagram.com/p/C8ZmayFoN5v/?igsh=MXZneTRuOTdvOHpzdQ==
Nadhani ni vyema ikathibitishwa, kwa sababu wanaume wengine tunahangaika kutafuta fedha ili maisha ya familia yaende,Ila inaweza ikawa kweli ni padre..huwezi kuwa paroko msaidizi kama sio padre..na mm nimeumia ila hii ni dhambi yake binafsi na sio kanisa...
Wewe wanenaKama una mawazo ya kupika na kula nyama ya binadamu, hata wewe una roho kama ya waliomuua huyo mtoto.
Akina Shomile vipi tena?View attachment 3020852
Kupitia taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime imewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.
Paroko huyo pia anatuhumiwa kuwa ndiye allyemtafuta mganga wa jadi na kulipia gharama zote za uganga.
Watuhumiwa wengine ni Dastan Kaiza mkazi wa Bushagara, Faswiru Athuman mkazi wa Nyakahama, Gozibert Alkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Rwenyagira Burkadi mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Ramadhani Selestine mkazi wa Kamachumu na Nurduni Hamada mkazi wa Kamachumu.
Pia soma:
Hii comment nimeikuta sehemu nyingi sana, lakini inafikirisha. Taarifa ya polisi imetaja "Paroko msaidizi" na ili awe Paroko msaidizi lazima awe padri tena mwandamizi. Nyie mnaosema "ni kijana aliyekuwa nalelewa tu" mnataka kusema polisi wamekurupuka?? Kwasababu wao ndio waliomtaja kwenye taarifa yao.Baba paroko siyo padre,wamesema ni kijana alikua mlevi akachukuliwa na kanisa kulelewa ili aache pombe,siyo Kwamba na yeye ni paroko
ACHENI kulichafua kanisa, before hamjafanya utafiti
Kweli anha sawa nimekuelewa mkuu
Madhehebu ya dini sawa na club za mpira kimifano, wachezaji wakifanya fujo uwajan, au kupewa kadi nyekudu, watakayoighalimu, ni club yao. Hivyo hivyo hata madhehebu yenu, msijitoe, yameshakua njia ya kujitafutia uchumi tu kwa watu??Jipe muda soma habari.
Huyo bwana ni paroko msaidizi.
Kama katenda kosa, ametenda yeye kama yeye hajatumwa na kabisa.
Dini isikupe upofu, mahakama itachunguza ukweli wote
Watu wanacomment ooh sijui kanisa Thihaka kama zote..Watu tunaowaamini kwenye jamii ndo wanatenda ukatiri wa hivi kumuua malaika Mtoto Asimwe ili wakafanye ushirikina.
-----
Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Raia wema wanaochukia vitendo vya kinyama baada ya msako mkali kuanzia May 31, 2024 hadi usiku wa kuamkia leo June 19, 2024 wamefanikisha kukamatwa kwa Watu tisa wakiwa na viungo vinavyodhaniwa ni vya Mtoto Albino Asimwe Novart (aliyeuawa Wilayani Muleba Mkoani Kagera) wakiwa wamehifadhi katika vifungashio vya plastiki wakitafuta Mteja Mkoani Kagera.
Taarifa iliyotolewa leo na Msemaji wa Polisi, David Misime imesema Watuhumiwa waliokamatwa ambao wameeleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hili ni pamoja Baba mzazi wa Mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni Mganga wa jadi Mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Msaidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa Mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu na pia anatuhumiwa kuwa ndiye aliyemtafuta mganga wa jadi na kulipia gharama zote za uganga.
Watuhumiwa wengine ni Dastan Kaiza Mkazi wa Bushagara, Faswiru Athuman Mkazi wa Nyakahama, Gozibert Alkadi Mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Rwenyagira Burkadi Mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Ramadhani Selestine Mkazi wa Kamachumu na Nurduni Hamada Mkazi wa Kamachumu.
“Jeshi la Polisi linatoa kutoa onyo kali kwa Watu wanaoendekeza imani za kishirikina ikiwemo kupiga ramli chonganishi wakiaminishana kwamba wanaweza kupata utajiri kwa njia za kishirikina kuacha tabia hizo”
Pia soma:
Picha zao TafadhaliJeshi la Polisi kwa kushirikiana na Raia wema wanaochukia vitendo vya kinyama baada ya msako mkali kuanzia May 31, 2024 hadi usiku wa kuamkia leo June 19, 2024 wamefanikisha kukamatwa kwa Watu tisa wakiwa na viungo vinavyodhaniwa ni vya Mtoto Albino Asimwe Novart (aliyeuawa Wilayani Muleba Mkoani Kagera) wakiwa wamehifadhi katika vifungashio vya plastiki wakitafuta Mteja Mkoani Kagera.
Taarifa iliyotolewa leo na Msemaji wa Polisi, David Misime imesema Watuhumiwa waliokamatwa ambao wameeleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hili ni pamoja Baba mzazi wa Mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni Mganga wa jadi Mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Msaidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa Mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu na pia anatuhumiwa kuwa ndiye aliyemtafuta mganga wa jadi na kulipia gharama zote za uganga.
Watuhumiwa wengine ni Dastan Kaiza Mkazi wa Bushagara, Faswiru Athuman Mkazi wa Nyakahama, Gozibert Alkadi Mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Rwenyagira Burkadi Mkazi wa Nyakahama Kamachumu, Ramadhani Selestine Mkazi wa Kamachumu na Nurduni Hamada Mkazi wa Kamachumu.
“Jeshi la Polisi linatoa kutoa onyo kali kwa Watu wanaoendekeza imani za kishirikina ikiwemo kupiga ramli chonganishi wakiaminishana kwamba wanaweza kupata utajiri kwa njia za kishirikina kuacha tabia hizo”
#MillardAyoUPDATES
Putin ndio anajuwa kudeal na watukutu, ukiingia kwenye anga zake utaomba ardhi ipasuke uingie.Tunataka kuona kideoni wakihasiwa live..maana hawana uchungu na watoto...
Siamini Wala sikatai nao ni Wanadamu kama sisi wakiwa na madhaifu Yao!Unamkana Baba Paroko!
Na wanaotupa watoto vyooni ni kina nani?Na hawa ndo baba zetu wasio na uchungu hata chembe na damu zao.
Mama hata angeahidiwa kupewa dunia katu asingeweza kuuza damu yake. Wa mama wapokee maua Yao kwenye swala LA kupambania watoto wao
Kama huyo mtuhumiwa siyo Padre/ Paroko basi kanisa livunjenukimya na litowe statement yake haraka.Siamini Wala sikatai nao ni Wanadamu kama sisi wakiwa na madhaifu Yao!
Ili Tuamini bila shaka cv yake iwekwe hadharani....