Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Napendekeza adhabu ya kwanza ichukuliwe sindano ichomwe motoo mpaka iwe nyekundu halafu waiingize kwenye tundu la bolo zao,tena iwe live.
 
Yote hayo watayafanya bila hata kuwakumbusha, ndo kazi yao hasa,
Hao wateja wa viungo vya albino watakamatwa tu
 
Kabisa mzee.walichek lain kwenye system siku wanaend muiba mtt wakazi trace wakawakamata kama kuku.
 
Yote hayo watayafanya bila hata kuwakumbusha, ndo kazi yao hasa,
Hao wateja wa viungo vya albino watakamatwa tu
Kama wakati gani ???kwann waziri amekuja mbio mbio kusema wamewakamata na sio police wa eneo husika nyie ni wazuri sana kwa kuiba na kusema uwongo hizi zimekuwa silaha zenu kuu aibu itaambatana nanyi na vizazi vyenu mpaka hatma yenu...
 
Kama wakati gani ???kwann waziri amekuja mbio mbio kusema wamewakamata na sio police wa eneo husika nyie ni wazuri sana kwa kuiba na kusema uwongo hizi zimekuwa silaha zenu kuu aibu itaambatana nanyi na vizazi vyenu mpaka hatma yenu...
We bisha tu ila jua serikali ina nguvu ikimtaka mhalifu ni dakika ashadakwa.
Nakuhakikishia wote na chain yao watakamatwa na watachukuliwa hatua.
Serikali ina mkono mrefu
 
Usikute hata walienda kwanza kwa mganga kujizindika ili wakifanya uhalifu wasikamatwe. Hamna watu wajinga na hatari kama waamini ushirikina. Uhatari wao unatokana na ujinga wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…