Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Kwani wangapi walishazikwa na baadaye maiti kufukuliwa ili ku-reveal the truth? DNA test ziko bwerere kila pahala. Kama si kweli Balali amekufa, wanaojaribu kuchezea akili za watu watakuja aibika mno...
 
Kwani wangapi walishazikwa na baadaye maiti kufukuliwa ili ku-reveal the truth? DNA test ziko bwerere kila pahala. Kama si kweli Balali amekufa, wanaojaribu kuchezea akili za watu watakuja aibika mno...

Ukiambiwa mwili wa marehemu ulichomwa moto na majivu yake yakamwagwa baharini au mtoni utafukua nini?
 
...........However, no members of the public will be allowed to view Ballali’s body as the burial mass is planned to be a strictly private affair.

The US church where the private mass will be held is located at 2436 Pennsylvania Avenue, NW Washington, DC..............

mmmhhh..........haya hiyo ndio imetoka tena
 
Au ndo maana hata utoaji wa Taarifa ya kifo chake umekuwa tata,mtu kama huyu taarifa kwa nini zimechelewa kutolewa,Hata waandishi wa habari walipewa vikaratasi tu huko BOT wala hakukuwa hata mda wa kuhoji kulikoni.Hii kama ni fix basi imekaa utamu sana
 
Wakuu,

Naomba msifute hii thread, ni kwa ajili ya sisi tunaoamini kwamba Ballali haja. Lengo ni kujaribu kuunganisha dots pamoja na kujenga picha kubwa.

Hapa chini someni hii story ambayo naamini Anna Muganda aliisoma na kisha kuamua ku fake kifo cha Ballali.

Kama Ballali angelikufa, hii breaking news ingetangazwa na Mwanakijiji, kwanini Mwanakijiji aliamua kukaa pembeni?

Je wakuu kama akina Jasusi ambao huko nyuma wameonekana kujua mengi ya Ballali wamepotelea wapi?

Je Invisible alipata wapi habari za kwamba Ballali kafariki?

Kulingana na mimi wahusika Anna Muganda - Jasusi - Mwanakijiji - Invisible hivyo ndio habari za kifo cha Ballali zilivyosambazwa.

Poor lad Invisible, hakuelewa kwamba anaingizwa kwenye mchezo mkubwa zaidi na akaamua kututangazia umma kwi kwi kwi!!!!!

Ilikuwaje familia ya Ballali wasijue ndugu yao kafariki? Je Anna Muganda hana marafiki kazini, mitaani mpaka hii habari ya kifo cha mumewe isijulikane mpaka baada ya sikutano?

Haya endelezeni, ila kwamimi Ballali hajafariki na wakuu tunaowaamini wameamua kutudanganya hata sisi hapa JF.


Canoe widow's full confession: We faked death to clear debts and he hid next door for three years
By NATALIE CLARKE and DAVID LEIGH in Miami
Last updated at 16:17 08 December 2007


Anne Darwin: 'The lies just snowballed'

The breathtaking deceit of "back from the dead" canoeist John Darwin and his wife Anne can be revealed today.

For much of his missing five years, she says he was simply living at their home in Hartlepool ... and sharing her bed.


The 57-year-old ex-prison officer even brazenly walked along the beach near their home - his only disguise a woolly hat, a walking stick and fake limp. Yet his wife insists that their two sons were kept completely in the dark and spent five years grieving for their father.

In an astonishing interview, 55-year-old Mrs Darwin admits the couple were secretly living as husband and wife when an inquest declared him dead.

The former doctor's receptionist also knew her husband was alive and well when she cashed in a life insurance policy for £25,000 and had their £130,000 mortgage paid off by another life policy.

She said her husband plotted his disappearing act because of increasingly crippling financial debts but claims she was unaware he was actually going to carry it out - and genuinely believed he was dead after his canoe was found washed up in the North Sea.

Mrs Darwin was speaking in Miami on her way home from Panama and expects to be arrested on suspicion of fraud when she arrives back in Britain.

Cleveland police said her husband was "putting forward some sort of account" during questioning yesterday, and Mrs Darwin's claim that she was not in on his "Reggie Perrin"-style disappearance will be treated with extreme scepticism by detectives who were given 36 more hours to interview him.


Her incredible account raises questions which can be determined only by police and Mrs Darwin, who has not been paid by the Daily Mail for this interview, conceded: "Yes, I know it seems too incredible to be true, but it is."


Among other astounding revelations, she said her husband:

• HID in a bedsit in the adjoining house when family and friends visited the "widow"

• WAS literally next door when his grieving sons Mark and Anthony returned from his inquest

• INSISTED Mrs Darwin put the telephone on to loudspeaker when their sons rang so he could hear their voices

• BETRAYED her by flying to America to meet a woman after an internet flirtation;

• FINALLY returned to Britain and walked into a police station because he wanted to see his sons

Revealed: The REAL reason missing canoeist John Darwin came back from the dead... he wanted to see his sons
Canoeist 'tried to buy £45,000 luxury yacht in Gibraltar after he went missing'
The charges that could put the Darwins in prison and how even the 'dead' canoeist's father admits his son was always driven by money
Mrs Darwin admits there is a real chance she will go to jail - some offences with which the couple could be charged carry a life sentence.

"I am aware that could happen and I am absolutely terrified at the prospect," she said. "I feel I have been living a kind of prison sentence for the last five years, but that's been my own private sentence and the public one will now follow."

After almost a week of lies, half truths and prevarications, Anne Darwin says she has decided to come clean and has given the Mail a noholdsbarred account of what she says has been going on these past five years.

"I suppose it became a way of life," she said. "It was very difficult, though, and I was always terrified that we would be found out. I was always on eggshells when friends and family came to stay in case someone wandered into John's room and saw him."



DEBTS AND DISAPPEARANCEAccording to Mrs Darwin, her husband began to plan his sensational disappearing act in the beginning of 2002. The couple were tens of thousands of pounds in debt, largely brought on, she says, by problems with the bedsit rental business they ran.

She says Darwin, a former teacher who had joined the prison service, also had "lots of credit cards", indicating that he was more free- spending than she would have liked.


"We were struggling to make payments and there were late payment fees and bank charges that absolutely crippled us," said Mrs Darwin, who was working then part-time in a doctor's surgery and also had a part-time admin job in the health service.

Scroll down for more ...


Caught red-handed: The photograph taken in Panama last year which proved the couple had been lying

"At that time we had about 12 houses scattered around County Durham, they were rental investments but people were slow in paying us and when we moved to Seaton Carew in December 2000 it just became too much trying to look after all the properties and both of us trying to keep full-time jobs going as well.

"I had another part-time job. We tried desperately to keep our head above water but it got increasingly difficult."


Darwin believed the only way out of the mess was for him to "die" and for his wife to cash in on the life insurance.

"John said there was only one way out of the situation, and that was to fake his death. I pleaded with him not to do it, I said it was a wrong thing to do. I honestly didn't know what he'd planned or for when."


Darwin decided on a tragedy at sea scenario. On March 21 2002, he took his red canoe out on to the sea in front of the family home and disappeared.


The sea that day was described as "like a millpond", which prompted bafflement that he could have got into difficulties. The empty canoe was found weeks later.


Although she had known his thoughts, his wife claims she genuinely believed he had died. "I suppose I didn't want to believe that he might have actually done it," she says. "I genuinely thought he had had an accident."



RETURN OF THE PRODIGAL HUSBAND

Under arrest: Police are still questioning Mr Darwin over his missing five years


Just under a year later, in February 2003, there was a knock on her door. It was Darwin. "He was an absolute mess, he was so dishevelled. I didn't even recognise him at first. It was such a shock.


"He had a beard, he was dirty, he was so thin, he looked like he'd been living rough. He smelt dreadful. When I asked him where he'd been he said it didn't matter, he was home now. He said he'd done it basically so that we didn't lose everything, which is rather ironic now.

"He had a bath, I fed him and he put some clean clothes on. I hadn't been able to part with his clothes.


"I had really thought he was dead, especially when they found the canoe and because of the state it was in.

"Now there he was, standing in front of me. Although I was pleased he was still alive, I think deep down a part of me was always angry. To think of what he put us all through. He had basically come back expecting me to forgive him."

Darwin, it turned out, was hoping that by now the insurance policy would have paid out and he and Anne would live happily ever after, albeit in a low-key, invisible kind of way.

But she says he was upset. "He broke down and cried and said he was sorry for all the upset he'd caused.

"I wanted at that point to report everything he'd done but he threatened to say I'd been involved from the beginning. So I was trapped."


Over the next few days, there were arguments and recriminations, but the upshot was that Mrs Darwin agreed to keep her mouth shut and became complicit in the scam.

Most unfathomably of all, she agreed not to tell her two sons that their father had returned from the dead. Why? She says she did it out of love for her husband.

"My biggest mistake has been trying to protect him. It was so hard not to tell the boys. But John was adamant I mustn't tell them."

Why did he not want them to know? "Well, I suppose he didn't want them to turn him in.

"He told me just to go along with the story and not to tell anyone he was back. It was just so hard not to tell the boys but he was adamant I mustn't tell them."




INQUEST AND INSURANCE

Deceit: The Darwins' sons Anthony and Mark apparently remained oblivious that their father was alive

For the first three months after he turned up, Darwin used to "come and go" before moving back in for good.

"I always knew if he had been because I would find food missing, and if I had left any money around, he would take that too.

"John had his own key which he used to get in and out. I do not know where else he was living at that time, he never told me. I don't know if he had any transport of his own. As far as I know he didn't as he would always arrive on foot.

"Often when he was with me it was very difficult.

"Yes, we had arguments, but despite everything I still loved him.

"He lived at the house with me for three years. We lived as man and wife.

"There were a few hairy moments and I lived in fear of being found out. Most of the time I used to be frightened to even open the door.

Right away Darwin told his wife he was eager for an inquest into his demise to take place so that she could claim the life insurance. Two months later, in April 2003, a hearing was held at Hartlepool County Court.

"After John's disappearance, I had been pushing for an inquest - long before he turned up again - because I couldn't cope with it any longer and I needed to be able to get on with my life. "

Egged on by Darwin, she managed to have him declared presumed dead after persuading the coroner to make an application to the Home Office to do so without waiting the usual seven years.

"John said if we got the money from the insurance payouts and cleared our debt, we could find a way back then we could start over again. Initially I said I couldn't go through with it.

"He didn't take out life insurance policies with a view to then disappearing. We had to take out life insurance when we moved house in 2000.

"When they did finally pay out, because there was no body, the life insurance people would only pay half of it, £25,000.

"We also had a mortgage of £130,000 and that was paid off. Not having a mortgage made the burden more tolerable."

Mrs Darwin was working, and now she had a widow's pension.


TUCKED AWAY IN HIS LITTLE BEDSITIt was official - John Darwin was no longer of this world.


But on the day he was declared dead he was, his wife says, tucked away in his little bedsit within the family home.

"On the day of the inquest, John stayed at home but I didn't actually see him that day because Mark and Anthony were staying with me in the main house. He used one of the bedsits."



The Darwins owned two large adjacent houses; one the seven-bedroom family home and the other divided into 15 bedsits. The passage between the master bedroom and Darwin's bedsit was a 5ft high, 18in wide coffin-shaped hole hiden by a wardrobe with a false back and locked with a coat peg.

It was crudely boarded up with breezeblocks before the next-door house was sold.

It would have been perfectly possible for Darwin's sons to have unlocked the door and seen their father.

Once her husband had moved back in, they settled into a routine. Mr Darwin spent most of the time indoors, reading books, surfing the internet, watching daytime television and doing odd jobs about the house.


"He was used to being outdoors and he was going stir crazy trapped inside all the time. When he went out he would disguise himself sometimes by taking a walking stick and walking with a limp.

"When it was cold, he would put on a woolly hat and pull his collar upwards.

"But during the summer months he could barely get out.

"Seaton Carew was very busy at that time of the year and there were always lots of people about.

"I often had family or friends staying with me, which meant I was always walking on eggshells in case someone should catch a glimpse of John."

Do you really expect people to buy into this kind of crap? Its a big shame how a grown man could come up with such careless, purely speculative mumbo jumbo (and giggle like a small child while at it) on the basis of some obscure copy-and-paste story when we are dealing with such a serious issue as this!
 
Mimi naamini amekufa ila bado najiuliza kwanini kila klitu ni siri

  • Kuondoka Tanzania ilikuwa siri.
  • Ugonjwa bado siri mpaka leo.
  • Hospital aliyolazwa bado ni siri mpaka leo.
  • Habari za kifo siri mpaka JF wawatangazie wananchi.
  • Mazishi ni siri hakuna mtu wa kuona mwili

Hii inatisha au inawezeka hakufa ni ujanja wa serikali, kweli JK ni ze comedy kama anaweza kuengineer hiki kitu mpaka hapa, tutajitahidi aingie kwenye kitabu cha Guiness
 
Hili Ni Tetemeko la Ardhi ya Serikali...

dada za kina Balali??? walipue bomu ambalo mwenyewe alipokuwa hai alishindwa kulilipua? Hakuna bomu lolote hapa, tumeliwa kekundu na keusi basi..japo vita dhidi ya ufisadi ndiyo kwanza imeanza
 
Do you really expect people to buy into this kind of crap? Its a big shame how a grown man could come up with such careless, purely speculative mumbo jumbo (and giggle like a small child while at it) on the basis of some obscure copy-and-paste story when we are dealing with such a serious issue as this!

Nyama hatari,

Crap? That is your opinion, why can't you challenge these craps with your facts?

This thread is about conspiracy, if you don't believe in conspiracies then either you are in a wrong thread or you have to put your facts together and prove us wrong.

Calling other people children doesn't make you a grown-up.

You can learn a lot about the future by looking at the past, at least that is what intellectuals believe. What you call obscure material may hold a key to future inventions.
 
mh! inatisha sana!!!!
hivi kama yuko haoi aitaibuka siku moja? kama anataka kujificha states mpaka lini? lakini kwa mshangao zaidi, balali mzaliwa wa mafinga, tunasikia mpaka mama yake yupo hai, akazikwe marekani? ninavyojua mimi na nivavyoamini kuna mchezo fulani!!!!

sijui!
 
mh! inatisha sana!!!!
hivi kama yuko hai aitaibuka siku moja? kama anataka kujificha states mpaka lini? lakini kwa mshangao zaidi, balali mzaliwa wa mafinga, tunasikia mpaka mama yake yupo hai, akazikwe marekani? ninavyojua mimi na nivavyoamini kuna mchezo fulani!!!!

sijui!
 
Kuna kila dalili kuwa Balali hajafa! Mmm!........ sirikali tunayo. Wacha tusishangae sana kwani walikwisha sema kuwa hawana haja nae na hata wakimtaka wana mkono mrefu,watampata. INACHANGANYA!!!
 
MImi naamini Balali alitaka kusema ila alizuiwa ndo maana serikali haikutaka hata siku moja tujue alilazwa Hospitali gani watu wasije wakamfuata na kumuoji, ili linaleta maswali mengi sana bila majibu kama kweli amekufa au ni mpango wa kutaka kumaliza swala la EPA kimya kimya.

Naamini hawa wanaweza kuwa na document zenye maelezo ya kina lakini wasipate nafasi ya kutoa maelezo hayo ukizingatia kuwa balali mwenyewe alishindwa kuyatoa kwa waandishi wa habari.
 
kama nilie vile,jamani mi roho inaniuma kweli,ok sina haja ya hivyo vijisent coz vilivyoibwa sijaviona na wala visingeibwa nisingeviona,ila kinachoniuma mbona serikali imefika pabaya?kwanini jamani?
hivi inakuaje mbeba mabox wa kawaida akifia nje zinachangishwa hela anarudishwa kwao,inakuaje yeye?hana ndugu bongo?marekani kwao?kuna kunandege itakodishwa ya kuwabeba wajomba na mashangazi na majirani kwenda kwenye msiba wake.
mbona changa la macho,ditopile kafa tumeona msiba wake,mbona wa huyu hamna msiba?
ok,kama hawezi kurudishwa tanzania itolewe basi adress ya sehemu ulioko msiba ili watanzania walio huko wakahudhurie kuwakilisha watanzania wengine.
serikali hamuoni aibu?
 
Ballali had millions of dollars which make it very easy for him to him to start a new life. new passport, new identity...possible,
 
let me give you a consiracy theorem

balali amekula pesa pamoja na ccm chama, chama kinajua balali kichwa kwa hiyo hata kukifanywa uchunguzi itakuwa hakuna loose ends. bahati mbaya, loop holes zikapatikana na balali akawatishia kutoa siri.

chama kikampa sumu, kwa bahati zake zipo hajafa, akataarisha kitabu kizima cha documents kinachoonyesha pesa zote zimeenda wapi akawakabidhi FBI.

chama kijua hilo, wakapiga deal na balali kuwa waseme kafa, wampatie identity nyengine na bahashishi juu ya dola milioni kadhaa akaanze maisha nchi nyengine in return kwa kitabu cha documents.

msiba wake umetangazwa mda mrefu baada ya kifo hicho cha kutengeneza ili azikwe upesi kabla wananchi hawajadai mwili.

atazikwa katika strictly private mazishi, with just mkewe na wanawe na mwendesha sala, na mwili wake utachomwa moto na majibu yatatupwa baharini.

wakati mazishi yanaendelea, balali anakula mrija kwenye offshore beach na short pense na googles, na file linakabidhiwa kwa makachero watano wa chama na chama kinapumua uzuri.


kabla ya kudaiwa ushahidi, hizi ni conspiracy theorem tu kama heading inavyosema. ......
 
sio serikali walimzuilia asionekane, yeye mwenyewe hana jamaa kwani angewaambia wavujishe amelazwa wapi kama alikuwa na nia kweli ya kuongea na watu kuhusu hilo.

hakuna dada hata mmoja atakae lipua bomu.
 
Kama kungekuwa na ukweli hapo..Basi wangemsafisha ndugu yao akiwa hai kwasababu watanzania tuliwapa muda huo!
Sasa keshakufa na itakuwa yale mambo ya he say she say!

Mabomu yatalipuliwa na wale wenye kuujua ukweli na kamwe si wenye kusafishana!
 
It is too late friends to think that anybody can now say anything on behalf of the late Balali. Hata video tape yaweza isisadikiwe kwa vile alipokuwa hai hakuweza kujisafisha mwenyewe na sijui kwa nini alishindwa kufanya hivyo wakati teknolojia ingeweza kumsaidia kufanya hivyo bila kurudi Tanzania in person?

Angeturushia video inayotaja memo za kuchota vijisenti vyetu pale BoT kupitia luninga ya Aljazeera, si angetusaidia katika fichua fichua mafisadi na angekufa na baraka zetu wote hapa huku akiacha wakubwa wanateseka na moto wa kuandamwa na habari chafu dhidi yao!

Yet, Japokuwa kafariki, damu yake inawalilia hao waliomfikisha hapo alipo! Si bure! Huwezi ukatawala, ukaiba kwa mgongo wa mwenzio kisha umuue nawe ubaki na heri duniani! Nature isnt that unfair!
 
Taarifa za kifo hapa marekani ni public info!
Na si familia inayotoa habari hizo kama wanavyodai kina Kishoka!
Habari hizo hutolewa na coroner kwenda kwenye magazet and so forth!
Na hao wenye hiyo funeral home nao wasiwasi sana kwasababu hata wao walitakiwa wawe na database yao ili tuweze kusearch watu waliokufa kama vile funeral home nyingine zinavyofanya!
Habari hizi tayari zingeshakuwa public hadi sasa!
Kwanini zinazuiliwa isivyo kawaida?
Hiyo funeral home nayo tutaichunguza tu!
progress.gif
 
Back
Top Bottom