Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Kama Mbowe alisema haijamchukulia hatua?
Membe kasema eti serikali haihusiki je?hilo linatosha kuwa jibu juu ya kifo cha Balali?
Serikali hii ina wakati mgumu sana hadi sasa na tunasubiria Bunge la bajeti ......kuhakikisha kuwa hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe, na ripoti ya EPA itawekwa hadharani waziwazi..
MK,
Unadhani kuna mtu wa kumchukulia Mbowe hatua kwa chochote kile.... kuna usanii huko na uoga uliokithiri. Mimi nawachallenge ccm wamchukulie hatua Mbowe kwa kile alichosema ili mengine yote ya sirini yaje nje na yajulikane.
