Nikifufukammekwisha
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 260
- 6
mama Mkapa kwani yeye mapema mwezi August, mbele ya dada mkubwa wa mke wa marehemu, alisema kuwa amepata habari mitaani kuwa gavana yuko kwenye life support katika hospitali ya Marekani. Tungetaka kujua hizo habari alizipata wapi---just a few weeks before Daudi took ill.
Another easiest way of getting the truth ni kwenda kwenye ofisi za counties ambazo zinahisiwa kwamba "Marehemu" alifarikia.
Rockville iko Montgomery county. Boston iko Suffolk County. Kama kuna watu wanaishi karibu na maeneo hayo pia anaweza tembelea county offices na kuulizia hizi taarifa za kifo. I think this is the easiest way ya ku-confirm hii issue.
Niliamua kuanzisha thread ya Countdown ya EPA kwasababu inavyoelekea..Ballali ni bora angekuwa mzima kuliko ilivyo hivi sasa ambapo inasemekana amekufa.
Mimi nafikiri uzima wa Ballali utakuwa ni bora kuliko kifo chake kama tutaendeleza mapambano vile inavyotakiwa!
Mkuu hili limefanyika tayari, imesemwa hapa kuwa kifo kimetokea DC na ndio maana nilikwenda CME office ya DC. Kuna wengine pia wanafuatilia hizo zingine zote....
Give me a better offer. It was not Balali's older sister. Read the posting again, dude!Dude, are we to accept at face value this kind of "he said, she said" hearsay stuff from second-hand (...third-hand, fourth-hand..sources.) as reliable and correct only because people like ANNA MKAPA AND DAUDI BALLALI'S OLDER SISTER ALLEGEDLY SAID SO? Is this the best you can possibly offer by way of true and trusted information?
Sasa naona kwa nini nimuunge mkono mwafrika wa kike.
Kuna habari ambazo sijazidhibitisha zimeanza kuzagaa huku Ughaibuni kwamba Balali yu mzima na alitoroshwa Tanzania na sasa yuko mahala (sio USA)yuko salama na analindwa.
Mama yake Balali kapewa ulinzi huko Tanzania na hata familia yake ipo well treated na everything is under contro- for now.
Kwa hio hapa inamaanisha kwamba kuzidi kushikia bango habari hii ni kuzidi kutia watu "pressure".
Kama kuna habari hizo tafuta njia ya kuzithibitisha. Ughaibuni ni rahisi zaidi kupata sources kuliko Bongo. Hilo la mama yake kupewa ulinzi waulize BOT.
Walikuwa wapi wakati alipoingiliwa na majambazi na kupigwa kizee cha watu?
Wakuu,
Contradiction nyingine ni kwamba kulingana na jasusi, RO alionana na Ballali na kushangaa
kuona alikuwa mzima na alimshauri akipona asirudi TZ.
Wakati huo huo eti Makachero saba walitumwa kumtafuta Ballali USA, ikabidi mpaka Dr. wetu atumie jina bandia hospitali.
Kama boss wa Makachero (RO) alikuwa anajua aliko Ballali na alishaonana naye, kweli kulikuwa na sababu zipi za kuwatuma Makachero wengine saba kumtafuta?
Moja ya hizi habari mbili kwa vyovyote sio sahii.
Kwa maana hiyo Mwafrika wa kike na wenzangu hapa jf kuna haja ya kusisitiza serikali kuuleta mwili wa balaliu bongo na hao ndugu zake waliokuwa naye USA hasa mkewe kuutoa huo wosia hadharani ili wote tuusome kama kweli alisema azikwe marekani au bongo?aidha utata mwingine unajitokeza kutokana na kuwa na wosia mbili,wakati ndugu zake huko Iringa wanadai alisema azikwe na baba yake,mkewe alidai alisema azikwe marekani.Wakati ndugu zake huko Iringa kijiji cha luganga ikiwemo wale dada zake wawili walomtembelea huko US na kukuta amekufa wakitaka maiti irudishwe tanzania,mke wake na baadhi ya walokuwa huko waliendelea kushikilia msimamo wa kuwa balali alikataa kuzikwa Tanzania.Sasa hapa lipi ni lipi?na zaidi ya hapo serikali ikawa kigugumizi wa kutujibu mawali yetu mengi watanzania. Kutokana na mantiki hizo hapo juu ni rahisi sana kukubaliana na mwafrika wa kike kuhusu mambo aibuayo sasa,japo umakini wa hali ya juu unatakiwa kwenye approach.Wewe acha tu mwenzangu...
Mwanzoni niliamini kwa sababu sikuamini kabisa kama kuna familia Tanzania inaweza kusema kuwa mwanafamilia mwenzao amekufa wakati si kweli au ni vinginevyo. Chanzo cha hii habari ni mtu wa ndani kabisa kwenye familia ya Ballali. Niliendelea kutumia neno imani kwenye maneno yangu kwa vile nilikuwa sina uthibitisho katika hili.
Baada ya uchunguzi wa karibu wiki nzima, kwa asilimia 95 ninapinga habari za kifo cha Ballali. Sina imani tena na habari za kifo cha Ballali.
Yataendelea.......
Sasa naona kwa nini nimuunge mkono mwafrika wa kike.
Kuna habari ambazo sijazidhibitisha zimeanza kuzagaa huku Ughaibuni kwamba Balali yu mzima na alitoroshwa Tanzania na sasa yuko mahala (sio USA)yuko salama na analindwa.
Mama yake Balali kapewa ulinzi huko Tanzania na hata familia yake ipo well treated na everything is under contro- for now.
Kwa hio hapa inamaanisha kwamba kuzidi kushikia bango habari hii ni kuzidi kutia watu "pressure".
Kama kuna habari hizo tafuta njia ya kuzithibitisha. Ughaibuni ni rahisi zaidi kupata sources kuliko Bongo. Hilo la mama yake kupewa ulinzi waulize BOT.
Walikuwa wapi wakati alipoingiliwa na majambazi na kupigwa kizee cha watu?
Ok nnafuta usemi wa "Kuna habari ambazo sijazidhibitisha" na naweka semi wa kwamba, kuna uvumi kwamba Balali yu mzima na alitoroshwa Tanzania na sasa yuko mahala (sio USA)yuko salama na analindwa.
Kwa hio hili nnalifuatilia.
Pili, sijaelewa tofauti ya kutengua uteuzi na kufukuza kazi mtu kama mheshimiwa raisi alivofanya kwa kutengua uteuzi wa Balali kuwa gavana wa BOT.
Tatu je ni kwanini kama Balali si mtumishi tena wa BOT, mama yake apewe ulinzi na BOT kwa kuzingatia kwamba hata magavana waliopita hawakuwahi kufanyiwa hivyo.
Kwa hio basi kama uteuzi wake uko "pending" kwa kutegemea na kukamilika kwa uchunguzi wa ile task force ya raisi, kuna dalili kwamba Balali yupo.
Hata hivyo nimewasiliana na rafiki yangu mmoja ambae ni paparazi mzuri na hufanya kazi katika majarida mbaluimbali kama OK, Hello na mengine, huwa anasafiri katika maeneo ambayo tunahizi Balali anaweza kuwepo kama Monaco, Jersey, Malta, Gibraltar, Geneva, na visiwa vya Caribbean kama Balbardos, Bahamas au St Tropez.
Yeye hupiga picha ambazo ni adimu kuzipata na huuza kawa magazeti haya kwa hio tusubiri tu.
View attachment 1636
Tukishindwa ntamtuma huyu jamaa yangu ni hodari kwelikweli wa ku-snick sehemu yoyote ile hasa kwenye bustani.
...are you trying to convince all visitors here (JF) that Ballali has died AMID all doubts? Do you want to tell us that faking death to Ballali's saga is NON-SENSE! I thought you're patriot to let others view their opnions, but now I start sensing that they trying using you knowing JF's member believe in whatever come from your keyboard!!
The point is, since you started a thread proves Ballali's death someone has started this STICKY thread negate your theory. Here, JF members are trying to raise their concerns as to why Ballali's death has faked and not NON-SENSE. PLEASE tells whomever send you to negate that "PEOPLE have awaken and no one will take them BACK"! If you don't know yet, go and ask Pinda!
Mkuu wewe ni good kwa ajili ya this kubadili majina na maneno yako ni yale yale na spirit yako ni ile ile, hapa tunajadili ishu iliyokuwa raised na Mwafrika wa Kike, ametoa hoja nimetoa hoja, sasa nilitegemea na wewe utatoa hoja kuhusiana na hoja ya MWK, lakini kama kawaida yako hoja yako ni jina langu na credibility yangu, na kujaribu kila unaloweza ili kuharibu jina langu, lakini tizama unavyopwaya kama shati la kaniki kwa sababu huna hoja,
Sasa unataka na mimi niwe kama wewe bendera tu kufuata upepo bila hoja? Manlia kukataa kuburuzwa lakini kumbe ndio hasa ni ana madhumuni yenu kutaka kuniburuza, wewe huwezi kuniburuza mimi hata siku moja, mimi nimefanya uchunguzi wangu binafsi na ninatoa hoja, wewe hoja yako iko wapi mpuuuzi wewe?
Kunazia Ijumaa unahangaika kila mahali wewe huwezi nifanya anything, mimi ni raia wa bongo na ni haki yangu kuchangia taifa langu, wasiokuwa raia shauri yao, sisi hili ni taifa letu mkuu, waliokutuma wambie nipo hapa tena imara sana, na kwamba sasa habari zangu ziko hata kwenye magazeti ya taifa sio hapa tu, ni kwa sababu zinakubalika kwa ukweli, sasa hivi taifa zima la bongo linategemea info za Balali kutoka kwa watu watatu tu kama hujui, ni mimi Mkulu FMES, Mzee Wangu MMJ, na Mwafrika Wa Kike zingine zote hawazigusi tena maana hazina uhakika, sasa nilitegemea kuwa utakuwa proud kuwa na mimi hapa, badala yake unajaribu kunipiga vita kila kona, hutaviweza mkuu mimi ni mtu mzima nimeanza huu mchezo siku nyingi sana nimesema mara nyingi sana kuwa huwa ninakombolewa na ukweli siku zote ambao no matter huwa unathibitishwa kuwa maneno yangu ni kweli,
Nimetumia hoja kujibu hoja ya Mwafrika Wa Kike, wewe hoja yako iko wapi mkuu? Kama una shida na mimi vipi tukikutana tu tuyamalize badala ya kusumbua watu hapa? Si unajua pa kunipata mkuu na unajua simu yangu au kama huna nitakupa tu mkuu tukutane maana sasa unaanza kuiharibu JF na kilio chako kisichoisha, na vipi ile avenue ya wake zetu bado unaitaka? Waambie waliokutuma kuwa hapa ni jiwe watisheni hao hao sio mimi, sina wasi wasi kabisa ninaendelea kumwaga hoja hapa na magazetini on dataz,
WAsalimie Mkuu, ila hoja hujibiwa kwa hoja sio viroja kama vyako, MWK ametoa hoja nimejibu hoja, sukijibu viroja, vipi na wewe mkuu ukitoa hoja badala ya viroja? Kumbuka kuwa huwa sikimbii mtu hapa au popote pale!.
Contradiction nyingine ni kwamba kulingana na jasusi, RO alionana na Ballali na kushangaa
kuona alikuwa mzima na alimshauri akipona asirudi TZ.
Wakati huo huo eti Makachero saba walitumwa kumtafuta Ballali USA, ikabidi mpaka Dr. wetu atumie jina bandia hospitali.
Kama boss wa Makachero (RO) alikuwa anajua aliko Ballali na alishaonana naye, kweli kulikuwa na sababu zipi za kuwatuma Makachero wengine saba kumtafuta?
Moja ya hizi habari mbili kwa vyovyote sio sahii.
mimi nimefanya uchunguzi wangu binafsi na ninatoa hoja, wewe hoja yako iko wapi mpuuuzi wewe?
sasa hivi taifa zima la bongo linategemea info za Balali kutoka kwa watu watatu tu kama hujui, ni mimi Mkulu FMES, Mzee Wangu MMJ, na Mwafrika Wa Kike zingine zote hawazigusi tena
?????????????????????