Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania


Mkulu FMES,

Hata mimi nimepata ujumbe wako na nimekuelewa. Kitu kimoja labda nikiweke wazi hapa ni kuwa, sidhani kama kuna haja ya wewe kuresign kutoka JF au kwenye siasa kama ikijulikana kuwa Ballali yuko hai.

Kinachotafutwa hapa ni ukweli na nothing but the whole truth. Kama haya mambo yangekuwa straight kama inavyotegemewa kwenye issue kama hizi hapa US, mimi na baadhi ya watu tusingekuwa na haya maswali lukuki.

Ijulikane kuwa mimi niliamini habari hizi na kuzitetea kwa nguvu kwa zaidi ya wiki hapa kabla sijaamua otherwise. Hapa ni swala la kuwekana sawa maana kuna watu wengi nyumbani kwenye media na kwingineko wangependa kufanya uchunguzi huu lakini hawawezi kutokana na sababu mbalimbali.

Kama Ballali amekufa that's fine, kama hajafa that's also fine kwa sababu si tu amepotea ili asipatikane, bali pia inaongeza kazi ambayo sidhani kama inatakiwa ya kumtafuta. Mimi nitahangaika na hao waliobaki. Kwa sasa bado nitazikataa hizi habari za kifo cha Ballali kwa asilimia 95 mpaka nikithibitishiwa otherwise.

Ugomvi wangu sasa unahamia kwa Mramba na Mgonja ambao walidhani kuwa kifo cha Ballali kimemaliza na kufunika uovu wote walioifanyia Tanzania.

Asante na heshima mbele.
 
Tunaomba MJJ ufunge mjadala unaibua hisia tofauti kwa members wa JF kila mtu ashike imani yake.
 
Tunaomba MJJ ufunge mjadala unaibua hisia tofauti kwa members wa JF kila mtu ashike imani yake.

Taratibu mkuu!

Ingawa pia najua kuwa sio kazi ya Mkjj kufunga mijadala hapa, lakini nakuuliza tu kaswali kadogo - Kwa nini mjadala ufungwe?
 
Tunaomba MJJ ufunge mjadala unaibua hisia tofauti kwa members wa JF kila mtu ashike imani yake.

Usiwe na wasiwasi mijadala ya JF hufa kifo cha kawaida.. lakini mingine inatabia ya kufufuka fufuka... halafu mwanzilishi wa hii ni mwafrika... mng'ang'anie yeye..
 
Umenichekesha... maana tunaweza kujikuta tunaanzisha mjadala mwingine kabisa kuhusu kama kweli mjadala umekufa au la..

Duh!! hii imenichekesha sana....
Kwenye hili mimi sina la kuchangia tena kwa hiyo nitaendelea na kufanya kile nikiwezacho nacho ni to have more fun than any human being should be allowed to have.......(btw, Rush has given me the permission to do so...Lol)
 

sawa bwana.. na mimi amenipa ya jinsi ninavyowajua CCM "like every square inch of my glorious..... "
 
Yaelekea wanaongea uongo mpaka wanajisahau....Mkulo si alidai balali hajulikani aliko??? Nadhani huu ndio mwaka wa shetani kama alivyoimba Amani Temba (Mh.Temba).
 
Yaelekea wanaongea uongo mpaka wanajisahau....Mkulo si alidai balali hajulikani aliko??? Nadhani huu ndio mwaka wa shetani kama alivyoimba Amani Temba (Mh.Temba).

Inakuwaje mtu anapoamini uwongo wake?
 
mbowe alikubali kwamba ballali kafariki na tena akachukua uamuzi wa kuongea kwa niaba ya chama chake, na kusema kwamba wao kama chadema wanaamini, iweje wafuasi wa mbowe wasiamini anachoamini master wao ??
 
Ni haki yangu kuukataa uwongo kama ilivyo wajibu wangu kuukubali ukweli, itakuwa ni makosa makubwa kuukataa ukweli eti kwa vile siupendi- gamba la nyoka
 
Kada Mpinzani
Hii inaonyesha Chadema si chama cha ndiyo bwana. Sorry, nilikuwa nimepumzika huu mjadala lakini I could'nt resist this.
 
mbowe alikubali kwamba ballali kafariki na tena akachukua uamuzi wa kuongea kwa niaba ya chama chake, na kusema kwamba wao kama chadema wanaamini, iweje wafuasi wa mbowe wasiamini anachoamini master wao ??


Sorry Gamba la Nyoka,
I meant Kada Mpinzani. See, I should have stayed away.
 
Kada Mpinzani
Hii inaonyesha Chadema si chama cha ndiyo bwana. Sorry, nilikuwa nimepumzika huu mjadala lakini I could'nt resist this.

ballali-mbowe connection(undugu wao) > mbowe-chadema connection katika hili suala la kufa kwa ballali ! wafuasi wake hawana uhusiano wa kiundugu na ballali even though mbowe did have that undugu with him(ballali)!!
 
Hizi habari nilisema hapa kuwa ni mbinu ya wapinzani kuichafua ccm. Kila kitu wao wanalaumu ccm. pesa za EPA hazikuchukuliwa na ccm kama chama ila wanachama wachache tu wenye tamaa. Ballali amekufa na mwacheni yeye na familia yake sasa wapumzike kwa amani.

Wengine tuendelee na ujenzi wa nchi.
 

mzee, hii kampeni yao haijaanza jana wala leo, na wataiendeleza milele, mbaya ni kwamba watu washastuka and its never too late wimbi kugeuka na kuwaandama wao !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…