Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

heading;



...wallaaaaaahi billaaaaah,....nimeisoma hiyo article mara tatu sijaona wapi padri kasema hakuuona mwili wa balali!

Mkuu,

Inaelekea hujui kusoma between the lines. Mimi niliisoma hii habari na moja kwa moja nilijua padre hakuona maiti.

Mambo mengine sio lazima mpaka iandikwe, the way mtu anavyoelezea jambo, inatosha kujua nini kiliendelea.

Ni kawaida ya binadamu ku volunteer info anapoongelea ukweli au anapokuwa ana uhakika na jambo. Pale anapokuwa na wasiwasi huuma maneno au huwa haongei zaidi ya swali aliloulizwa.

Asante kwa Kinepi_nepi kwa kuacha kila kitu wazi ili kila mtu aelewe.
 
inabidi watuondolee balaa hili wengine tuliamua kunyamaza hili yaishe lakini ukweli hakuna kifo hapa.

Nitaendelea kuamini hili mpaka hapo udhibitisho wa kifo utakapotolewa. Hatutaki maneno hapa bila udhibitisho. wote wanaoongea ni maneno maneno tu hakuna hata udhibitisho wa aina yoyote. Tunajua tumeisha ibiwa basi.
 
Wait !!! Inamaana kila uliposoma wewe ni kuwa Padire ameuona mwili wa Balali ?

...Ewee Mwiba, I can explain it to you but i cannot understand it for you. 1st post imekuwa edited.

samahani maelezo ya mahojiano na Padri yamechelewa kidogo.
Bali Padri kwa kinywa chake amekiri hakuona mwili wa Balali.
Simu ya kanisa ni : 202 785 0982.
 
Mkuu Kinepi,

Wewe unafaa kuwa mwandishi habari za uchunguzi.

Umeniacha hio na hio kazi ulioifanya, ingawa umesahahu kumuuliza huyo "padre" kama alipokuwa anamwagia maji ya uzima hilo sanduku kama lilikuwa wazi au lilifungwa.
 
katika misa ya kikristo huwa kuna muda wa kutoa heshima za mwisho, sijui kama padri pia alipitiwa au familia ilimpa sheria nyingine? Hii inazidi kunipa wasiwasi pia kuhusu hiki kifo.
 
Naomba kuuliza, hivi mapadre wote wanavyosalisha misa za mazishi wanapaswa kuona mwili, je wanalazimika kisheria za kanisa? Au tu kwa sababu imekuwa Balali?
 
Kama ni kweli alizikwa kikatoliki kama inavyodaiwa, kuna hatua ambapo padri huwa anamfunua uso maiti na kumnyunyizia "maji ya baraka". Sijui kama padri huyo alikwepa hatua hiyo? Inapaswa aulizwe, wenye nafasi huko tusaidieni hiyo kazi. Hii kitu kama inaisha vile lakini inaibuka upya mara kwa mara!
 
Naomba kuuliza, hivi mapadre wote wanavyosalisha misa za mazishi wanapaswa kuona mwili, je wanalazimika kisheria za kanisa? Au tu kwa sababu imekuwa Balali?

masharti ya kuomba dua ya mwisho, ni lazima uone mwili au inasaliwa kutokana na imani ?? huyu padre pengine ni MAFIA TU ! sasa maiti ya nini ? kama hakuona kwa nini aliisalia ? najua alisali kutokana na imani, sasa anasema hakuuona mwili iweje aliisalia "maiti" if it was a bad idea bila ya kuiona ? hamna lolote hapa !
 
Kama ni kweli alizikwa kikatoliki kama inavyodaiwa, kuna hatua ambapo padri huwa anamfunua uso maiti na kumnyunyizia "maji ya baraka". Sijui kama padri huyo alikwepa hatua hiyo? Inapaswa aulizwe, wenye nafasi huko tusaidieni hiyo kazi. Hii kitu kama inaisha vile lakini inaibuka upya mara kwa mara!

mhm ! naanza kuogopa !
 
Hata kama hajafa inasaidia nini?? Pesa zimeibiwa na wezi wako TZ cha maana pesa irudishwe haraka.
 
Nimesoma hii saga kwa muda mrefu na najua maswali ni mengi.
Let me open another avenue for all of you to pursue...

... protection of witnesses (and of judges, lawyers and juries) against intimidation is a fundamental to an effective legal system. Individuals will not engage with that system if they believe that they - or those around them, such as family members - will be injured or even killed.

Murder of informants (and those suspected of being informants) has a long history, captured in the aphorism that "dead men tell no tales". It is evident in commercial crime, such as that involving drug trafficking, and in other offences such as terrorism or ethnic cleansing in Africa, the Middle East, South America and the Balkans.

Law enforcement agencies have responded by providing witnesses with short term physical protection (eg accommodation in so-called safe houses, provision of guards and screening of communications to prevent intimidation). The cost can be considerable: the Victorian government for example reported that 24/7 security for two witnesses in the 1983 'Operation Aries' cost some $4.5 million.


For major crime they have also resorted to witness protection schemes that involve -
  • waiving penalties (or simply agreeing not to prosecute) informants of significant value
  • providing those informants and their families or other witnesses with a new identity.
That new identity typically involves provision of official identity documents in a new name ('rebirthing' that features officially-sanctioned resume fraud) and relocation to another city, state or even nation to impede efforts at retribution. It may involve a stipend that allows the witness (and family member) to maintain a standard of living, assistance with accommodation and job searching.

The extensiveness of that assistance depends on the perceived value of the witness and the efficiency (or merely budget) of the particular agency.

Witnesses have thus commented that on occasion some people are left high and dry, whether through ineptitude or because the informant was no longer of value to the law enforcement agency. Observers frequently note that people are more likely to gain 'deep' protection' if they have been associated with major offences: a minor gunman will gain less protection than a senior figure in organised crime or a terrorist group who promises to denounce his confederates and who manages the disclosure in a way that maintains his value.

Rebirthing has proved to be controversial on the basis that some offenders do not change their nature merely by being given a new name, address and fictitious personal history. One complaint in the US and Canada, for example, is that criminals have been provided with fake identities in return for provision of information (some of which has proved to be fictitious or of dubious value) and have then engaged in various offences - including rape and murder - using the cover provided by that new identity. Elsewhere there has been criticism that governments have rebirthed criminals and exported those individuals to other countries, which are unaware of their past and unable to determine whether the offender is a risk.

Risdon Slate notes the 1997 comment by the US Marshals Service that the recidivism rate for protected witnesses with prior criminal histories who "were later arrested and charged with crimes is less than 23 percent", ie roughly a quarter of people in the particular scheme went on to break the law.

In Canada recent controversy has involved witness Richard Young, alleged to have provided false information to the RCMP (which would invalidate the protection under the national Witness Protection Program Act) and later convicted of murder. Federal politicians found out about the case through media reports; because Young is a protected witness no details can be published or released.

Although witness protection schemes came to prominence after the mid-1960s, a precedent is provided by initiatives such as the US government's Operation Paperclip, which famously rebirthed or merely sheltered Nazi scientists and intelligence operatives (some of whom were guilty of war crimes) during the 1940s through 1960s.

...

Now you know my name, now you know the game...
 
Mkuu FMES,

Basi tueleze huyo balozi Sefue aliona maiti wapi?

Mimi nilikuwa najua kwa asilimia 100 kwamba kwenye misa hakukuwa na kuona maiti. Sijui ndugu yangu FMES alipata wapi hiyo ya kusema balozi aliona maiti?

Pia FMES data zako zinasema Ballali alikufa jumapili tarehe 18, padre anasema 16.

Data za Jasusi zinasema alikufa ghafla, padre anasema aliumwa kwa muda mrefu.

Hapo tukubali tu tumefungwa goli la kisigino na kwasababu serikali nayo haimtafuti basi huko aliko ataendelea kufaidi pesa za wizi.

Ila wengine tutaendelea kuirudisha hii habari mpaka kieleweke.

Ombeni Sefue anaweza kudai kwamba hakumbuki kama aliuona mwili wa marehemu au la. Kama mtakumbuka alipoulizwa jina la hospitali ambayo Ballali alikuwa kalazwa wakati akihudhuria kikao cha mabalozi Z'bar, akadai haikumbuki jina. Angekuwa ana nia ya kweli ya kutoa jina hilo angechukua namba ya huyo aliyekuwa anamhoji kisha akapiga simu ubalozini ili apewe jina hilo la hospitali na baadaye kuwasiliana na huyo mwandishi, lakini sakata la Ballali ni SIRI KALI!!!!!
 
Mkuu Mtanzania,

Na wengine heshima mbele, mimi kama Mkristo safi hii ishu nimeinawa mikono, ninaomba tena kusema ninchojua na kilichonifanya ninamini na bado ninaamini kwa 100% kuwa Balali amefariki, lakini pia ninaheshimu sana mawazo ya wale wanaoamini kuwa yupo:-

Nina uhakika kuwa alifariki Jumapili nyumbani kwake, alishughulikiwa in one way or another katika hospitali ya George Washington University Hospital lakini sio kwa jina la Balali, na hili jina la Siriani mimi ndiye nilikuwa wa kwanza kulitoa, na mpaka jina la kanisa la huyu padri mimi ndiye nilikuwa wa kwanza kuyatoa, sasa ninashukuru kuwa kuna waliofuatilia kama nilivyoomba kule nyuma,

Ninaamini kuwa Balozi Sefue aliuona mwili, ndio akamuarifu rais na Membe, wakuu mimi as a Christian huu ni ushaidi tosha mbele ya Mungu wangu kuhusu kwa nini ninaamini kuwa amefariki, na ninaomba ninawe mikono hapa, lakini kwa yoyote anayetaka msaada zaidi nitampa kama nilivyowapa magazeti, katika kufanya uchunguzi zaidi, ila mimi dini yangu na Mungu wangu inanikataza kuendelea zaidi ya hapa nilipofikia na uchunguzi,

Lakini ninazisoma lines in the betweeen kwa makini sana, na ninawatakia heri wanaoendelea lakini akama kawa sina tatizo kutoa msaada kwa walio serious, pia nitoe respect kwa Majira na wengineo kwa msimamo imara wa kutoyumbishwa, that is waht we need kwa taifa letu.

Ahsante Wakuu!
 
Mkuu Mtanzania,

Na wenine heshima mbele, mimi kama Mkristo safi hii ishu nimeinawa mikono, ninaomba tena kusema ninchojua na kilichonifanya ninamini na bado ninaamini kwa 100% kuwa Balali amefariki, lakini pia ninaheshimu sana mawazo ya wale wanaoamini kuwa yupo:-

Nina uhakika kuwa alifariki Jumapili nyumbani kwake, alishughulikiwa in one way or another katika hospitali ya George Washington University Hospital lakini sio kwa jina la Balali, na hili jina la Siriani mimi ndiye nilikuwa wa kwanza kulitoa, na mpaka jina la kanisa la huyu padri mimi ndiye nilikuwa wa kwanza kuyatoa, sasa ninashukuru kuwa kuna waliofuatilia kama nilivyoomba kule nyuma,

Ninaamini kuwa Balozi Sefue aliuona mwili, ndio akamuarifu rais na Membe, wakuu mimi as a Christian huu ni ushaidi tosha mbele ya Mungu wangu kuhusu kwa nini ninaamini kuwa amefariki, na ninaomba ninawe mikono hapa, lakini kwa yoyote anayetaka msaada zaidi nitampa kama nilivyowapa magazeti, katika kufanya uchunguzi zaidi, ila mimi dini yangu na Mungu wangu inanikataza kuendelea zaidi ya hapa nilipofikia na uchunguzi,

Lakini ninazisoma lines in the betweeen kwa makini sana, na ninawatakia heri wanaoendelea lakini akama kawa sina tatizo kutoa msaada kwa walio serious, pia nitoe respect kwa Majira na wengineo kwa msimamo imara wa kutoyumbishwa, that is waht we need kwa taifa letu.

Ahsante Wakuu!

Heshima Mkuu,

Shukrani mkuu kwa ufuatiliaji wa hii issue. Kinachoshangaza kama kweli Sefue aliuona mwili wa marehemu na akathibitisha ni mwili wa Ballali kwa nini asizungumze hadharani na kuwafahamisha Watanzania kwamba yeye aliouna mwili wa marehemu na anahakikisha kwamba ni mwili wa Ballali? Au hajasikia sakata lililokuwepo kuhusiana na utata wa kifo cha Ballali? Watanzania wana haki ya kufahamishwa chochote kile kuhusiana na utata uliokuwepo, lakini wanapoendelea kukaa kimya ndipo wanazua maswali mengi miongoni mwa Watanzania.
 
Mkuu serikalini kuna protocol sio kwamba unaongea tu, hii ni very sensitive ishu ambayo mwenye haki ya kuongea na public kwa sasa ni waziri wa nje Membe au rais tu, kwa hiyo ndio maana Sefue hajasema na hawezi sema kitu kwa public!
 
Mkuu serikalini kuna protocol sio kwamba unaongea tu, hii ni very sensitive ishu ambayo mwenye haki ya kuongea na public kwa sasa ni waziri wa nje Membe au rais tu, kwa hiyo ndio maana Sefue hajasema na hawezi sema kitu kwa public!

Anayestahili kuongea basi atwambie hivyo Mkuu!!na pia awe na ushahidi wa kutosha, siyo kauli tu 'kifo cha Ballali ni kazi ya Mungu'. Nani atakayewaamini hawa jamaa ambao walidai Slaa alikuwa ni mzushi tu alipotoa tuhuma za ufisadi ndani ya BoT? Nani atakayewaamini hawa jamaa waliodai kumfungulia mashtaka Dk Slaa kwa kuwachafulia reputations zao na hadi leo hii hakuna hata mmoja aliyefanya hivyo? Tunachotaka Watanzania ni statement ambayo ina evidence ambavyo kama watu wakiamua kuifuatilia basi wanaweza kuhakikisha kweli Ballali kafa. Unajua ukishapoteza imani mbele ya jamii kama sirikali ya JK ilivyopoteza imani hiyo basi chochote unachoongea hasa kikiwa na utata kama kifo cha Ballali basi watu wanakiangalia mara mbili mbili
 
Back
Top Bottom