Mkuu Mtanzania,
Na wenine heshima mbele, mimi kama Mkristo safi hii ishu nimeinawa mikono, ninaomba tena kusema ninchojua na kilichonifanya ninamini na bado ninaamini kwa 100% kuwa Balali amefariki, lakini pia ninaheshimu sana mawazo ya wale wanaoamini kuwa yupo:-
Nina uhakika kuwa alifariki Jumapili nyumbani kwake, alishughulikiwa in one way or another katika hospitali ya George Washington University Hospital lakini sio kwa jina la Balali, na hili jina la Siriani mimi ndiye nilikuwa wa kwanza kulitoa, na mpaka jina la kanisa la huyu padri mimi ndiye nilikuwa wa kwanza kuyatoa, sasa ninashukuru kuwa kuna waliofuatilia kama nilivyoomba kule nyuma,
Ninaamini kuwa Balozi Sefue aliuona mwili, ndio akamuarifu rais na Membe, wakuu mimi as a Christian huu ni ushaidi tosha mbele ya Mungu wangu kuhusu kwa nini ninaamini kuwa amefariki, na ninaomba ninawe mikono hapa, lakini kwa yoyote anayetaka msaada zaidi nitampa kama nilivyowapa magazeti, katika kufanya uchunguzi zaidi, ila mimi dini yangu na Mungu wangu inanikataza kuendelea zaidi ya hapa nilipofikia na uchunguzi,
Lakini ninazisoma lines in the betweeen kwa makini sana, na ninawatakia heri wanaoendelea lakini akama kawa sina tatizo kutoa msaada kwa walio serious, pia nitoe respect kwa Majira na wengineo kwa msimamo imara wa kutoyumbishwa, that is waht we need kwa taifa letu.
Ahsante Wakuu!