Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wandugu Balali amefariki......na tuamini hivyo!
Ahaaaaa umenifurahisha Mtanzania.
Jamaa amefariki kweli. Amini amini nakwambia. Mimi naamini kuwa Balali hakuwa na tatizo hata kwenye utendaji kazi wake. Tatizo ni VIONGOZI WETU waliokuwa wanaamuru hela zichotwe!. Hebu fikiria, kwanini serikali ilikuwa haimtaki arudi?, ukishalijibu hilo utapata mwanga. Na jibu ni kuwa alikuwa hatari kwa usalama wa taifa. Angeweza kumwaga "Kuku wengi kwenye mtama"(sic).
Mungu amlaze mahali pema peponi. Aaamin
Ahaaaaa umenifurahisha Mtanzania.
Mimi naamini kuwa Balali hakuwa na tatizo hata kwenye utendaji kazi wake. Tatizo ni VIONGOZI WETU waliokuwa wanaamuru hela zichotwe!.
Kitila,
Tuangalie real situation hapa. Chukua mfano wa genge la majambazi. Wamekuajiri huku hujui ni majambazi wakakupa uweka hazina na kuwatunzia fedha zao. Mkuu wa genge akakwambia tunataka kiasi kadhaa kwa ajili ya usalama.
Ukapewa barua kabisaa kuwa mlipe huyu kwa vile ni espionage sio vizuri zikaonekana zinaenda wapi. ukabisha, mkuu akakupigia simu. Utafanyaje?
Ukisema uache kazi upotee..kumbuka ni genge la majambazi yatakutafuta na kukukolimba. Vilevile hapo unafikiria AJIRA PIA.
Mwishoni ukaona aahhaa kwa vile ni mkuu mwenyewe kasema hamna neno atanilinda tu.
Baadaye mambo yakaharibika, ukatolewa mbuzi wa kafara. Wewe ungefanyaje ktk situation kama hiyo?
Kama wewe ni mtaalamu na unakubali kufanya jambo ambalo mwanasiasa anakwamba na ukijua kabisa kwamba halijakaa sawa, hapo wa kumlaumu sio mwanasiasa tena, ni huyu mtaalamu. Kama kweli Balali aliamuriwa kuchota pesa na huku akijua kuwa ni haramu lakini akaendelea kukubali, tunatakiwa tumlaani milele bila kujali kama yupo dunia hii au la.
Kitila,
Bahati mbaya mimi ni mfanyabiashara wa hardware hapa Mbagala. karibu sana ndugu yangu ununue Cement na mabati.
Kitila,
Tuangalie real situation hapa. Chukua mfano wa genge la majambazi. Wamekuajiri huku hujui ni majambazi wakakupa uweka hazina na kuwatunzia fedha zao. Mkuu wa genge akakwambia tunataka kiasi kadhaa kwa ajili ya usalama.
Ukapewa barua kabisaa kuwa mlipe huyu kwa vile ni espionage sio vizuri zikaonekana zinaenda wapi. ukabisha, mkuu akakupigia simu. Utafanyaje?
Ukisema uache kazi upotee..kumbuka ni genge la majambazi yatakutafuta na kukukolimba. Vilevile hapo unafikiria AJIRA PIA.
Mwishoni ukaona aahhaa kwa vile ni mkuu mwenyewe kasema hamna neno atanilinda tu.
Baadaye mambo yakaharibika, ukatolewa mbuzi wa kafara. Wewe ungefanyaje ktk situation kama hiyo?
Hivi ulimwona alipokuwa hai? Ulijua alikuwa katika hali gani?FMES,
Kinachonishangaza mimi ni resort ya Balali, kwanini aliona bora kuacha vedio tapes na tape records kuliko kuuleza umma LIVE? Sidhani kama aliitendea haki
Tz.
Hivi ulimwona alipokuwa hai? Ulijua alikuwa katika hali gani?
Kwa hiyo ame shoot hiyo video akiwa kitandani sio? Labda mwenzangu umeshaiona, tueleze.
Assuming alishoot hiyo movie akiwa mahututi, hivi unataka kusema kwamba Balali hakujuwa kilichokuwa kinamjia hadi alipokuwa taabani?
I'd rather play drums under water than continue this debate.
I'd rather play drums under water than continue this debate.