Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 363
Amechomwa moto au amezikwa kawaida? Kuna mtu yeyote hapa anayejua mahali kaburi lilipo? Hivi kuna uwezekano gani wa kuibana serekali itoe proof kuhusu hili suala? Au ndio tumeshapigwa bao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amechomwa moto au amezikwa kawaida? Kuna mtu yeyote hapa anayejua mahali kaburi lilipo? Hivi kuna uwezekano gani wa kuibana serekali itoe proof kuhusu hili suala? Au ndio tumeshapigwa bao?
Mazishi yalikuwa ya faragha na picha za mgando na Video hazikuruhusiwa na hata picha via phone's hawa wa gazeti wao waliipata wapi ?
Nisaidieni kwa hili. Mimi ninachofahamu usiri mara nyingi kwenye misiba au sababu ya kifo ni pale ambapo aliyefariki alikuwa mgonjwa wa UKIMWI.
Nimewaza na kuwazua kama alikuwa mgonjwa kipindi chote hiki na hakuna aliyefahamu anaumwa kitu gani je yawezeana alikuwa anaumwa UKIMWI. Pili ikiwa amefia nyumbani basi pia yawezekana ni hilohilo ugonjwa umemuua kama kweli amefariki.
Mimi sioni sababu ya ndugu zake kubaki wana-save face. What face is there to save ikiwa tayari mtu wao alishaburuzwa kwenye matope unless wanataka ku-save face ya mkewe.............si unatujua sisi waafrika tulivyo. And the funny thing there is no secret under the skies, watakaotoka msibani watanong'ona mpaka basi. Naam, tutayasikia tu.
siku nne kabla hawajatutangazia apotea duniani-au kufa Balozi wa TZ USA bwana Sefue alikwenda nyumbani kwa Balali na walikuwa na maongezi naye.
Sasa sirikali kusema haijui alipo; Mkulo kuja DC na kusema alimtafuta Balali hakumwona lakini balozi aweza kwenda kwake ushahidi ninao wa yeye kukiri alikwenda kwa Balali na kuongea naye, giza lazidi kuwa nene.
Plastic surgery yamfanya Balali kutumia fedha zetu, kuficha siri na kuficha wezi wenzake.
Sefue alialikwa kwenye 'mazishi' ya Ballali je alihudhuria? Anaweza kuhojiwa na waandishi wa habari akatoa kauli kwamba hakumbuki kama alihudhuria mazishi ya Ballali au la!!!! au akadai alikuwa nje ya US hivyo hakupata nafasi hiyo.
Bi Mkubwa hiyo web site uliyoiweka hapa basi nikaingiza jina la fisadi Mkapa na kupata jina la kitongoji ambapo ana nyumba yake.
Name: Benjamin W Mkapa
Age: 69
City/state: Bethesda, MD
Relative:Anna J Mkapa
Mgonjwa mahututi afie nyumbani halafu mpaka hii leo jina la hospitali ambayo alikuwa anatibiwa bado ni siri kali pamoja na kuwa BoT walikuwa wanamlipia bills zake za hospitali!!! Kwanini jina la hospitali ambako Ballali alikuwa anatibiwa bado ni siri pamoja na kuwa kishafariki?
Bi Mkubwa hiyo web site uliyoiweka hapa basi nikaingiza jina la fisadi Mkapa na kupata jina la kitongoji ambapo ana nyumba yake.
Name: Benjamin W Mkapa
Age: 69
City/state: Bethesda, MD
Relative:Anna J Mkapa