mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Jamaa ana sura ngumu kama matajiri wakinga wa makete
Mkuu, Joannah halafu mbaya zaidi ni kwamba wanaolalamika wengi ni wanaume.Mimi nahisi macho yangu yapo tofauti na wenzangu,naona watu wakilalamika marehem ana sura ngumu Mie namuona freshhhhhh kabisa sura ya kiume tu
🙌🏾🙌🏾 you have nailed it!!
RIP Ginimbi. Huyu Kijana alikuwa mtafutaji na Mpiganaji dhidi ya Umaskini. Alihustle huku na kule na akajaliwa kupata vya haja ya Moyo wake. Akavifurahia na kutuonesha Mafanikio yake. Akavitumia Kwa Raha zake na Wenzie wa Standard yake. Alijua kuvaa akapendeza Nguo na Viatu Kwa Style yake. Jumba la Kifahari. Mmiliki wa Company na Mengineyo ndani ya only 36 years. Alizaliwa 1984 school drop out.
Utajiri siyo Uchawi wala Majoka bcoz Wachawi nao Wangekuwa Matajiri. Zimbabwe na South Africa kuna Madini ya Almasi ukiwa smart na connection waweza kujihusisha na Business yake ya Halali au panya route ukajipatia Midola ya kutosha. Wenzetu wanatumia fursa na wamefanikiwa not Uchawi. Kafa Kifo cha Hadi yake kama Wengine. Alikuwa anaendesha Gari amelewa na alitoka kustarehe huko Club. Ni kama alivyokufa James Dandu
Halafu unakuja kuzaa binti anafanana nae sasa,,binti haolekiNapendag sana wanaume dizain ya vunja bei na ginimbi, yan najisikia kweli nipo na Mwanaume [emoji23][emoji23]
Machangu wa Dar (kina Mobetto, Wema, Tunda, Diva Bawse Lady na wengineo wadangaji) hawajamuona huyu jamaa na kuomba urafiki kabla ya kifo chake?Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..
Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..
Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Ukiwa na utajiri fake mwisho wake ni mbaya sana. Subiri tu ushuhudie vijana wa kibongo fleva hapa Bongo uone vifo vyao. Si unakumbuka kuna wengine walikuwa wanaletwa wakiwa maiti toka huko South? Hawa jamaa wana mengi mazito nyuma ya utajiri wao.Hivi kwanini hawa ma young Billionaire/Millionaire wengi wanakufa wakiwa bado vijana sana...?
kwa hiyo wataka kusema masikini siye huwa hatufariki tukiwa vijana?Ukiwa na utajiri fake mwisho wake ni mbaya sana. Subiri tu ushuhudie vijana wa kibongo fleva hapa Bongo uone vifo vyao. Si unakumbuka kuna wengine walikuwa wanaletwa wakiwa maiti toka huko South? Hawa jamaa wana mengi mazito nyuma ya utajiri wao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa ana sura ngumu kama matajiri wakinga wa makete
Mimi nahisi macho yangu yapo tofauti na wenzangu,naona watu wakilalamika marehem ana sura ngumu Mie namuona freshhhhhh kabisa sura ya kiume tu
Sasa warumi kama unapenda pesa na unasema tetesi ni kwamba jamaa alikua na joka si uende ukalichukue nawewe uwe billionaire???
Vinginevyo namie naungana na mwamba Nyani Ngabu kwamba hizi ni changamsha genge tu.
Kama joka lilikua lina sababisha ukwasi wote huo inamaana biashara za kusambaza gas ilikua ni hadaa na hiyo pesa inachanganywa na zinazoletwa na joka au hizo ni miamala tofauti?
Hivi una akili wewe? Pole kwa kujichanganya.kwa hiyo wataka kusema masikini siye huwa hatufariki tukiwa vijana?
Kumbe kifo kinaangalia umri (ujana) na fedha eeh?
Mkuu, mbona umejaa imani potofu za kiduanzi hivyo.?
Nakuuliza, Hivi mtu akiwa tajiri ndo hastahili kufa akiwa bado kijana??
Acha wivu wa kiduanzi, tafuta hela!!
Nikachukue wapi Sasa mbona unaongea kama tahira, wangekua wanapatikana kirahis wote humu Im sure tungeenda, Tatizo connection
Kuna utajiri mwingine huwez kuufikia bila kuhusisha nguvu za Giza , Kijana mwenyew ukimuangalia tu usoni unajua huyu sio binadam wa kawaida
Kila mtu anapita of course ila pia bata usiache ikakupita hivi hiviDunia tunapita, play humble [emoji849]
Mbona unataka kuamsha midudeMbona ginimbi handsome tu Jaman , halafu ana sura ya kiume, au mlitaka awe na sura kama nuhu mziwanda au richmitindo, mi wanaume kama hawa ndo wananilowesha chupi sio weupe watoto wa mama[emoji23][emoji23]
Warumi hii picha umeitoa wapiView attachment 1625042
Utaweza kukaa nalo binamu? Msidhan pesa zinapatikana kirahis[emoji23][emoji23][emoji23]