Leo ndo mazishi ya hubby wako utusaidie kutuletea video na pics za ukweli tuone hizogunia za pesa na mavazi meupe.Midude gan tena binam na wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Leo ndo mazishi ya hubby wako utusaidie kutuletea video na pics za ukweli tuone hizogunia za pesa na mavazi meupe.
Naskia alisema hakuna mnyanturu kwenda mazishini kwake na vinguo vya maua
Bado hatujajua mnatakaga nini, pesa, sura ngumu(ugly) , sura nzuri(handsome), pande la mtu lenye miraba sita, weusi/weupe, mrefu/mbilikimo... Ni nini mnataka kiwavutie hebu dadavua hapa, na binamu darling warumi uje ufafanue hapaKwakweli watu ni vipofu mbona huyu kama mzuri amekaa kiume zaidi? Achilia wamsemayo ila hii no ni matata.sisi wanawake ndo tunaelewa zaidi.hapa siongelei utajiri naongelea mwonekano wake sura body ni supper.
Mm nilikuwa napinga wanaosema ana sura ngumu. Mengine sijui.Bado hatujajua mnatakaga nini, pesa, sura ngumu(ugly) , sura nzuri(handsome), pande la mtu lenye miraba sita, weusi/weupe, mrefu/mbilikimo... Ni nini mnataka kiwavutie hebu dadavua hapa, na binamu darling warumi uje ufafanue hapa
Okey, Ni kijana safi wa watu, may his soul rest in paradise [emoji120]Mm nilikuwa napinga wanaosema ana sura ngumu. Mengine sijui.
Kwakweli watu ni vipofu mbona huyu kama mzuri amekaa kiume zaidi? Achilia wamsemayo ila hii no ni matata.sisi wanawake ndo tunaelewa zaidi.hapa siongelei utajiri naongelea mwonekano wake sura body ni supper.
Alikuwa anatumiwa na kina Kinje na RugeSasa Ngwea alikuwa Billionaire?
Hamjulikanagi mnataka niniMbona ginimbi handsome tu Jaman , halafu ana sura ya kiume, au mlitaka awe na sura kama nuhu mziwanda au richmitindo, mi wanaume kama hawa ndo wananilowesha chupi sio weupe watoto wa mama[emoji23][emoji23]
😢 I can't breath kwa kweliKumbuka bado kodi insurance kwa iyo kila gari gharama yake 1 M Us$
Kumbe wewe ni wa kike?Mbona ginimbi handsome tu Jaman , halafu ana sura ya kiume, au mlitaka awe na sura kama nuhu mziwanda au richmitindo, mi wanaume kama hawa ndo wananilowesha chupi sio weupe watoto wa mama[emoji23][emoji23]
Kila mtu anaweza kuwa tajiri,
Kuwa mbunifu na fanya kazi kwa akili sana utatoboa. Hapa Africa ukifanikiwa sana lazima watu wahusishe utajiri wako na ushirikina. Hii ni mbaya maana vijana wengi wanaitumia kama excuse.
Hivi kwanini hawa ma young Billionaire/Millionaire wengi wanakufa wakiwa bado vijana sana...?
Ulimbukeni gani?acha ulimbukeni
Baby come breath on top of me while i see you screaming.😢 I can't breath kwa kweli
KwendraaaBaby come breath on top of me while i see you screaming.
I promise you you will get an everlasting comfort
Binamu yangu warumi hana mume, mume wake ntarajiwa ni mimi nduguye..
By the way mbona aliweka masharti ya hivyo kwenye mazishi yake? Na kama mtu akikiuka inakuaje mtu ameshakufa
Haaaaa Haaaaa 😂 joka linatema pesa,Ulimbukeni gani?
Hakuna joka wala majoka yatemayo pesa.
Ni stori tu hizo.
Tatizo mnawapa dudulu mapema, ibane mwambie hadi ndoa ndo utampa tamu yako😁😁Wanaume wenyewe matapeli bora niolewe na binamu yangu mie nimpe utamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeona mazishi leo wala hakukua na hyo White’s kama alivyosema marehemu , watu wanalia balaa
Kwani ww utaondoka navyoAnafuga Joka
Aache Ujanjaujanja Ginimbi
Umeona Sasa Kaacha Yote!!!.Alazwe Anapostahiri