Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
Wakinga nao hizo skendo za manyoka wanazo sanaJamaa ana sura ngumu kama matajiri wakinga wa makete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakinga nao hizo skendo za manyoka wanazo sanaJamaa ana sura ngumu kama matajiri wakinga wa makete
Binamu,unalowa kwa mbele au nyuma maana unanichanganya!Mbona ginimbi handsome tu Jaman , halafu ana sura ya kiume, au mlitaka awe na sura kama nuhu mziwanda au richmitindo, mi wanaume kama hawa ndo wananilowesha chupi sio weupe watoto wa mama[emoji23][emoji23]
Wakinga nao hizo skendo za manyoka wanazo sana
Manyoka nyoka na misukule.Wakinga nao hizo skendo za manyoka wanazo sana
View attachment 1625042
Utaweza kukaa nalo binamu? Msidhan pesa zinapatikana kirahis[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha sema tukupe connection..Mchana wanaturusha roho insta , usiku wanakutana na mauza uza, mara walale na maiti, mara majoka ya vichwa saba
Kuna watu wamepitia msoto sana hapa duniani, hivyo wanakua wana roho ngumu chochote kile wanafanya ilimradi apate pesa , cha muhimu uhai kila mtu apambane na hali yake , Tatizo wengine hatuna tu connection [emoji23][emoji23]
HahahahahaaaJamaa ana sura ngumu kama matajiri wakinga wa makete
Sorry ktk list ya Billionaires yupo namba ngapi kwa Hapa Africa.
We nikitaka kukupa Mil 10 ambayo nimeiba mahala flani utaikataaa!!????hahahaHe deserves kwa kwel, hakuna cha haramu wala nini
Mhh.. wasio rasmi..?Matajiri wa aina yake sidhan kama wanawekwa kwenye list ya mabillionare Coz vipato Vinakua havieleweki au haviendan na pesa anazomiliki so wanabak tu kuwa mabillionea wasio rasmi
Hahahaaa.Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..
Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..
Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027