Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Mbona ginimbi handsome tu Jaman , halafu ana sura ya kiume, au mlitaka awe na sura kama nuhu mziwanda au richmitindo, mi wanaume kama hawa ndo wananilowesha chupi sio weupe watoto wa mama[emoji23][emoji23]
Binamu,unalowa kwa mbele au nyuma maana unanichanganya!
 
Wakinga nao hizo skendo za manyoka wanazo sana

Mchana wanaturusha roho insta , usiku wanakutana na mauza uza, mara walale na maiti, mara majoka ya vichwa saba

Kuna watu wamepitia msoto sana hapa duniani, hivyo wanakua wana roho ngumu chochote kile wanafanya ilimradi apate pesa , cha muhimu uhai kila mtu apambane na hali yake , Tatizo wengine hatuna tu connection [emoji23][emoji23]
 
Mchana wanaturusha roho insta , usiku wanakutana na mauza uza, mara walale na maiti, mara majoka ya vichwa saba

Kuna watu wamepitia msoto sana hapa duniani, hivyo wanakua wana roho ngumu chochote kile wanafanya ilimradi apate pesa , cha muhimu uhai kila mtu apambane na hali yake , Tatizo wengine hatuna tu connection [emoji23][emoji23]
Hahaha sema tukupe connection..

Kuna mzee hapo mufindi sema nikuwekee namba hapa hapa sitaki uje DM.

Halafu utuletee mrejesho.
 
Matajiri wa aina yake sidhan kama wanawekwa kwenye list ya mabillionare Coz vipato Vinakua havieleweki au haviendan na pesa anazomiliki so wanabak tu kuwa mabillionea wasio rasmi
Mhh.. wasio rasmi..?
Havieleweki how? Mbn ktk IG (Bio) kaandika kuhusu Biashara zake (Kwa ufupi) na kuonesha kuwa hatumii FOREX wala Bitcoins (Cryptocurrency) etc..
 
Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..

Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..

Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Hahahaaa.

Ni kweli alikuwa bilionea au neno ‘bilionea’ limekuwa ni metaphor tu ya mtu anayeonekana ana pesa?

Halafu, hilo joka lilikuwa linazitoa wapi hizo pesa?

Hilo joka na lenyewe ni li bilionea?

Hizi stori za majoka na pesa nimeshazisikia sana.

Hazina ukweli wowote. Ila zinachekesha sana.
 
Back
Top Bottom