Doc zipi tena,plea bargain ni mabilioni ya shilingi tuambie ziliingia akaunti ipi.kwa Magufuli kila kitu ilikuwa ni amri tu na wala sio procedure.Hearsay,
Bil 35 zipotee tu kimasihara bila doc zozote.
Mnalala mnaamka na kumshutumu hayati sababu hawezi kujibu.
Ila Mkewe na Wanae wanawasoma hapa
Ukiona incumbent president amekufa kitatanishi ujue ni insider job.hohehahe ndugu yangu sio rahisi kumuua incumbent president,tena suspect awe a mere citizen ,hata kama ni rais mstaafu,unafahamu Rais ni amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama,kuuliwa na raia ni kashfa na uzembe sana kwa victim
Ninachoamini Magufuli alikuwa mgonjwa siku nyingi na siku yake ilifika
Aloo ila jamaa alilia sanaaaaCha ajabu unakuta msiba wa mzazi wake macho makavu
Naomba swala hili uliwaze kwa umakini wake.Hali ilivyo kwa sasa uwanja wananchi wanautumia kuanika mazao na shughuli nyingine za kijamii hakuna ndege inatua chato kwakifupi hela za watanzania zimepotea.
'Conspiracy theory'.Ukiona incumbent president amekufa kitatanishi ujue ni insider job.
Wameuwawa wengi hata katika mataifa makubwa.
John Fitzgersld Kennedy hadi leo watu wanajua aluwawa na CIA.
True lakini kwa Africa nakumbuka Larent Kabila alivyouliwa na yule dogo,Ukiona incumbent president amekufa kitatanishi ujue ni insider job.
Wameuwawa wengi hata katika mataifa makubwa.
John Fitzgersld Kennedy hadi leo watu wanajua aluwawa na CIA.
Hiyo ilikuwa kazi ya Mr 'Slim'; haikuwa 'an insider job'.True lakini kwa Africa nakumbuka Larent Kabila alivyouliwa na yule dogo,
My point is ukiuliwa na insider ujue ni uzembe wa hali ya juu au wamekuondoa for national interest
Kama anao u'smart' wowote unaompa wewe, lazima sasa hivi atakuwa anajuwa kwamba amefikia ukingoni.Mr Slim yuko smart sana other wise na yeye angeshatokomezwa kitambo
Ni Runway sio Running awayKuhusu jengo ule uwanja hauna jengo la maana ni kajumba tu ka kawaida sana,to my suprise wakakaita mfugale tower wakati sio ghorofa
Uwanja kuwa international wanaangalia urefu wa running way kama unakidhi ndege kubwa na pia kuwa na facilities za kupokea ndege toka nje ya nchi moja kwa moja,Chato hata Bidden ndege yake inatua,
Hapana, si u'smart' alionao, bali alisaidiwa sana na matukio yaliyotangulia nchini mwake.Angekuwa boya angekuwa Hayati kipindi kirefu
Kumbuka ana maadui na wapinzani wengi ila amewafyeka woteHapana, si u'smart' alionao, bali alisaidiwa sana na matukio yaliyotangulia nchini mwake.
Kama ni u'smart', basi ni kujua jinsi ya kuyatumia matukio hayo kumpa huruma juu yake.
Na aliyakamua kwelikweli kwa kampeni kabambe. Sasa dunia yote inaelewa jinsi alivyo mkorofi.
Hayo aliyafanya wakati angali na huruma za dunia, sasa hivi hawezi chochote tena. In fact yupo 'vulnerable sana.Kumbuka ana maadui na wapinzani wengi ila amewafyeka wote
Huyu alipata maono ya "kifuatacho ITV.....NI JELAAAA ...ndio kilichomlizaKuna mwengine kilio msibani.utazani baba yake wa kumzaaView attachment 2526318
Hearsay,
Bil 35 zipotee tu kimasihara bila doc zozote.
Mnalala mnaamka na kumshutumu hayati sababu hawezi kujibu.
Ila Mkewe na Wanae wanawasoma hapa
Kile kidingi kilikuwa kipigaji sanaMayanga ilikua kampuni ya jiwe