Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Sikumbuki lolote ingawa najua kifo chake kilivunja rekodi ya matukio yaliyotazamwa zaidi ulimwenguni. Na hata hivyo huo mwaka sidhani kama kulikuwa na Tv home zaidi ya radio 😁Mazishi yake yalikuwa live ktk tv sikumbuki ni station gani ile ila yalikuwa live.