Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kawaida sisi wanaume kusifia misambwanda babu.....Wewe ni ME au KE? Unatupa utata zigo la masogange ulitaka kulifanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida sisi wanaume kusifia misambwanda babu.....Wewe ni ME au KE? Unatupa utata zigo la masogange ulitaka kulifanya nini?
Record ya dunia ni kuwa wapumbavu au mbumbumbu ni wengi kuliko werevu.KUNA dalili magufuli alikubalika sana,Hadi sasa naona wabishi wa jf wanamtiririshia makumbkumbu ya kumsikitikia.
Alikua mtu akapigwa sana na Warumi na wakamsulibisha Msalabana akafa KIFO cha aibu kwa mabadirishano ya Jambazi na Mbakaji nyang'anyi aitwae Barabayesu sio mtu ni mungu muumba
Yaani mtu ateseke sababu ya wewe kumkumbuka Jiwe! Wengine ni kumbukumbu nzuri sana katika maisha yao. Mimi nashauri kila mwaka kuwe na kumbukizi ya matendo yake ili watu wasije msahau na mwisho wa siku ikaja tokea akaja kiongozi kama yule tenaSasa mbona nyie Chadema mnateseka sana raia tukimkumbuka JPM?
Tangu lini umeanza kua Mwanaume? Au ushabadiri jinsia?Kawaida sisi wanaume kusifia misambwanda babu.....
Ni Mwanamke Ila anataka kutuambia yeye ni Mwanaume, sasa sielewi Zigo la Masogange yeye Mwanamke alitaka kulifanya nini?Kuna watu wana mambo ya ajabu sana jf huku
yesu sio mtu ni mungu muumba
Mama yangu, then huyu mwambaTumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.
Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Relax kwenye imani za watu. Watu washalishwa neno na sababu wakapewa na wakazielewa.Thibitisha kuwa Yesu ni Mungu. Yaani Yesu awe Mungu alafu asulubiwe na kiumbe alicho kiumba mpaka afe kisha afufuke.! Kwahiyo Mungu alikufa kisha baada ya siku tatu akafufuka? Hizo akili zenu huwa zimeshikwa na nani mpaka mnakuwa hamjielewi kiasi hichi, inasikitisha sana!
Relax kwenye imani za watu. Watu washalishwa neno na sababu wakapewa na wakazielewa.
Siyo kwenye imani ya tangu miaka na miaka. Serikali ilizuia ukeketaji lkn wanabuni njia mpya ukeketaji kwa kisingizio kuwa anaumwa ugonjwa fulani mtoto anasuguliwa kidude hd kinakwisha. Ni ngumu saana kumtoa mtu kule anakoamini hasa kama anaona kuna zuri kuliko baya.Kujifunza hakuna mwisho
Kwani jinsia yangu ni ipi bro🙄 ulishawahi kuiona??Tangu lini umeanza kua Mwanaume? Au ushabadiri jinsia?
HUMU hua unajitambulisha km Mwanamke, au mpaka niku-quote comment zako za previous years?Kwani jinsia yangu ni ipi bro🙄 ulishawahi kuiona??
Kama nilijitambulisha ni mwanamke ukaamini maandishi, kwanini leo nikikuambia ni mwanaume usiamini maandishi?HUMU hua unajitambulisha km Mwanamke, au mpaka niku-quote comment zako za previous years?
Kwa sababu najua wewe sio Robot la Elon Musk huna Jinsia 2,Kama nilijitambulisha ni mwanamke ukaamini maandishi, kwanini leo nikikuambia ni mwanaume usiamini maandishi?
Umepiga mulemule😀😀Ukiona mtu kasikitika kifo cha Jiwe lazima atakuwa na sifa mbili kuu.
Mosi,masikini hana ajira au kama ajira mshahara wa kuunga unga.
Kama ni mfanyabiashara atakuwa wale walioruhusiwa kupanga bidhaa barabarani.
Pili,Ukiona ana msifu au kasikitika msiba wake atakuwa mjinga hajui dunia inavyokwenda.
Mtu yoyote anayeshabikia udikiteta wa Jiwe si binadamu wa kawaida ni mpumbavu.
Nchi ya watu million 60 unashabikia one man show Tanzania si Rwanda.
Msiba wa Jiwe uliliponya taifa,binafsi sikusikitika kwakuwa nilijua upendeleo wa Chato ungefikia kikomo.
Nilisikitika msiba wa
Nelson Mandela.
Julius Nyerere
Keneth Kaunda
Muamar Ghadaf
Kuvunjika kwa USSR.
Unateseka ukiwa wapi😃Ukiona mtu kasikitika kifo cha Jiwe lazima atakuwa na sifa mbili kuu.
Mosi,masikini hana ajira au kama ajira mshahara wa kuunga unga.
Kama ni mfanyabiashara atakuwa wale walioruhusiwa kupanga bidhaa barabarani.
Pili,Ukiona ana msifu au kasikitika msiba wake atakuwa mjinga hajui dunia inavyokwenda.
Mtu yoyote anayeshabikia udikiteta wa Jiwe si binadamu wa kawaida ni mpumbavu.
Nchi ya watu million 60 unashabikia one man show Tanzania si Rwanda.
Msiba wa Jiwe uliliponya taifa,binafsi sikusikitika kwakuwa nilijua upendeleo wa Chato ungefikia kikomo.
Nilisikitika msiba wa
Nelson Mandela.
Julius Nyerere
Keneth Kaunda
Muamar Ghadaf
Kuvunjika kwa USSR.