Kifo cha mtu gani maarufu kishawahi kukusikitisha?

Kifo cha mtu gani maarufu kishawahi kukusikitisha?

KUNA dalili magufuli alikubalika sana,Hadi sasa naona wabishi wa jf wanamtiririshia makumbkumbu ya kumsikitikia.
Record ya dunia ni kuwa wapumbavu au mbumbumbu ni wengi kuliko werevu.
 
osama bin laden
 

Attachments

  • Screenshot_20240608-121515_1.jpg
    Screenshot_20240608-121515_1.jpg
    173.6 KB · Views: 4
Sasa mbona nyie Chadema mnateseka sana raia tukimkumbuka JPM?
Yaani mtu ateseke sababu ya wewe kumkumbuka Jiwe! Wengine ni kumbukumbu nzuri sana katika maisha yao. Mimi nashauri kila mwaka kuwe na kumbukizi ya matendo yake ili watu wasije msahau na mwisho wa siku ikaja tokea akaja kiongozi kama yule tena
 
Thibitisha kuwa Yesu ni Mungu. Yaani Yesu awe Mungu alafu asulubiwe na kiumbe alicho kiumba mpaka afe kisha afufuke.! Kwahiyo Mungu alikufa kisha baada ya siku tatu akafufuka? Hizo akili zenu huwa zimeshikwa na nani mpaka mnakuwa hamjielewi kiasi hichi, inasikitisha sana!
yesu sio mtu ni mungu muumba
 
Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.

Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Mama yangu, then huyu mwamba
images (15).jpeg
 
Thibitisha kuwa Yesu ni Mungu. Yaani Yesu awe Mungu alafu asulubiwe na kiumbe alicho kiumba mpaka afe kisha afufuke.! Kwahiyo Mungu alikufa kisha baada ya siku tatu akafufuka? Hizo akili zenu huwa zimeshikwa na nani mpaka mnakuwa hamjielewi kiasi hichi, inasikitisha sana!
Relax kwenye imani za watu. Watu washalishwa neno na sababu wakapewa na wakazielewa.
 
Dr. Myles Monroe, yule wa Bahamas alikuja Nkrumah Hall nilikuwepo kumsikiliza.

Akaenda Nairobi. Siku anarudi kwao ndege ili CRUSH.

Nilisikitika sana. Speech yake nkrumahh alisema " Im ready to die i have exhausted all my potential"

Mbaya au nzuri kwake alikufa pamoja na mkewe.
 
Kujifunza hakuna mwisho
Siyo kwenye imani ya tangu miaka na miaka. Serikali ilizuia ukeketaji lkn wanabuni njia mpya ukeketaji kwa kisingizio kuwa anaumwa ugonjwa fulani mtoto anasuguliwa kidude hd kinakwisha. Ni ngumu saana kumtoa mtu kule anakoamini hasa kama anaona kuna zuri kuliko baya.
 
Ukiona mtu kasikitika kifo cha Jiwe lazima atakuwa na sifa mbili kuu.

Mosi,masikini hana ajira au kama ajira mshahara wa kuunga unga.
Kama ni mfanyabiashara atakuwa wale walioruhusiwa kupanga bidhaa barabarani.

Pili,Ukiona ana msifu au kasikitika msiba wake atakuwa mjinga hajui dunia inavyokwenda.
Mtu yoyote anayeshabikia udikiteta wa Jiwe si binadamu wa kawaida ni mpumbavu.
Nchi ya watu million 60 unashabikia one man show Tanzania si Rwanda.

Msiba wa Jiwe uliliponya taifa,binafsi sikusikitika kwakuwa nilijua upendeleo wa Chato ungefikia kikomo.

Nilisikitika msiba wa
Nelson Mandela.
Julius Nyerere
Keneth Kaunda
Muamar Ghadaf
Kuvunjika kwa USSR.
Umepiga mulemule😀😀
 
Ukiona mtu kasikitika kifo cha Jiwe lazima atakuwa na sifa mbili kuu.

Mosi,masikini hana ajira au kama ajira mshahara wa kuunga unga.
Kama ni mfanyabiashara atakuwa wale walioruhusiwa kupanga bidhaa barabarani.

Pili,Ukiona ana msifu au kasikitika msiba wake atakuwa mjinga hajui dunia inavyokwenda.
Mtu yoyote anayeshabikia udikiteta wa Jiwe si binadamu wa kawaida ni mpumbavu.
Nchi ya watu million 60 unashabikia one man show Tanzania si Rwanda.

Msiba wa Jiwe uliliponya taifa,binafsi sikusikitika kwakuwa nilijua upendeleo wa Chato ungefikia kikomo.

Nilisikitika msiba wa
Nelson Mandela.
Julius Nyerere
Keneth Kaunda
Muamar Ghadaf
Kuvunjika kwa USSR.
Unateseka ukiwa wapi😃
images (4).jpeg
 
Back
Top Bottom