Sikumbuki lolote ingawa najua kifo chake kilivunja rekodi ya matukio yaliyotazamwa zaidi ulimwenguni. Na hata hivyo huo mwaka sidhani kama kulikuwa na Tv home zaidi ya radio 😁Mazishi yake yalikuwa live ktk tv sikumbuki ni station gani ile ila yalikuwa live.
Mi ni mwanaume rijaliKwa sababu najua wewe sio Robot la Elon Musk huna Jinsia 2,
Unajiita Angelina Jolie? Au umeshaleft kitambo?Mi ni mwanaume rijali
. Magu
Mimi naweza kusema hakuna.... Magu
Kauzu Zaidi ya dagaa hioooo nouma sana!😊Mimi naweza kusema hakuna...
Hata sisi hatukuwa na TV ndugu yangu sema ilikuwa kama tulio fulani hivi kubwa so kulikuwa na watu wengi sana ktk mabaa yenye tv na sisi ndo tukaonea hapo.Sikumbuki lolote ingawa najua kifo chake kilivunja rekodi ya matukio yaliyotazamwa zaidi ulimwenguni. Na hata hivyo huo mwaka sidhani kama kulikuwa na Tv home zaidi ya radio 😁
Kwa Whitney, labda matukio yaliombatana kabla na baada ya kifi chake ndiyo yanaweza kusikitisha zaidi.Baba, Mama,Ndugu wakuzaliwa. tofauti na hapo ni Ngwair na Whitney.
Yaan kambale amekuwa unasikitikaMagufuli
Umenikumbusha Generali Mbita na Mimi nilimuona hapo hapo Nkrumah ndo ikawa mwisho wake.Dr. Myles Monroe, yule wa Bahamas alikuja Nkrumah Hall nilikuwepo kumsikiliza.
Akaenda Nairobi. Siku anarudi kwao ndege ili CRUSH.
Nilisikitika sana. Speech yake nkrumahh alisema " Im ready to die i have exhausted all my potential"
Mbaya au nzuri kwake alikufa pamoja na mkewe.
Mmh NIMEINGIAJE HAPA?Angelina Jolie si unamjua lakini? Au wewe ni cocastic Waterbender ?
Nikiyasoma hayo majina namkumbuka marehemu Samadu Hassan alivyokuwa anayatamka vizuri.Benazir Bhuto & Morgan Tsvangerai.
Mvua ya upindeMmh NIMEINGIAJE HAPA?
EBU NYOOSHA MAELEZOMvua ya upinde
Ulikuwepo wakati yesu anakufaYesu kristo
😎Point yako ni ipiYaan kambale amekuwa unasikitika
Kuna mtangazaji wa RFA anaitwa Zubeir Msabaha niliposikia Jamaa amefariki nikajua Jamaa ameacha pengo kubwa maana hakuna mtu mwingine yoyote anaeweza ku-fit kwenye kipindi chake cha Bolingo Time ni yeye pekee, Jamaa nilikua napenda alivyokua anatafasiri miziki ya Congo mingi nilikua nasikiliza na sielewi wanaimba nini maana sijui Kilingala wa kiCongo wala kiKasaiNikiyasoma hayo majina namkumbuka marehemu Samadu Hassan alivyokuwa anayatamka vizuri.
Rangi 7EBU NYOOSHA MAELEZO