Katoto ka jana tu.Nilikua shuleni darasa la5, kengele ikapigwa ya dharura tukajulishwa msiba wa taifa tukarudishwa home
Njiani tunakutana na nyimbo za maombolezo basi tukaanza na sisi kulia hasa tulivosikia vita itakuja.,.
Ntake razi we mwanamkeKatoto ka jana tu.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Ntake razi we mwanamke
Kumbe we mdogo wanguHuyu Mwl sikuwa namfahamu kabla! Kwa huo mwaka bado hata shule sijaanza!!
Hahahhh Mkuu hata Mimi nilikuwa tayari muajiriwa barabara ya bagamoyo karibu na city centerhahaha kumbe wengi wadogo humu. nlikua kazini mitaa ya ohio Dar. kazini ilikua ni mwaka wa pili. chuo nlishamaliza na CPA juu.
Hata wewe mdogo wangu..... kwaiyo kila mtu ana mdogo wakeπππ
safi sana mkuu. that means tumeishi na mengi tumeona.Hahahhh Mkuu hata Mimi nilikuwa tayari muajiriwa barabara ya bagamoyo karibu na city center
Tena sana naweza nikawa mtoto wako wa kwanza 19yrs!
Uwe unansalimia mwananguTena sana naweza nikawa mtoto wako wa kwanza 19yrs!
ananionaje mkuu nifafanulie! maana hata kuaga London aliendesha Pastor Irungu!!! umewahi kumsikia?Mungu anakuona..!
Mwananyamala ulikua unaishi au kusomaNilikua std 6 Niko mwananyamala Mara nkaona Komba anaombolezaa eti Nyerere kafa...
Nakumbuka nilienda hadi taifa kuuona mwli wake!
kumbe mdogo hivi mbona haufananii na mambo yakoHuyu Mwl sikuwa namfahamu kabla! Kwa huo mwaka bado hata shule sijaanza!!