Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

Nilikuwa kwenye meli siku hiyo Mv Mapinduzi, nikitoka Mtwara kuelekea dsm, obviously sikuelewa kinachoendelea kwa kuwa nilikuwa bado mdogo na uwezo wa kuchambua mambo ulikuwa wa kiwango cha chini sana, ila nilishuhudia watu wakisema Tanzania haitakuwa salama mara baada ya kuondoka kwake!
 
young kid.....nikua nasari(vidudu)...... ckumbuki chochote zaidi ya nyimbo mfululizo radio tanzania dar es salaam.... kuulizwa naambiwa nyerere kafa, nyerere ni nani ? hapo sasa sielewi hata.... old memory thou
 
Doh naona aibu kusema...mi nimeskia ukubwani tuu, tena shuleni.
 
Nilikuwa nyumbani kwetu nacheza michezo ya kitoto
 
Dah! 1999 niko Form One, Makongo High School.
 
Kona baaa na mtoto rubby
 
Nilikuwa Fourth year UDSM, FoE, Electrical...
 
Miaka minne nyumbani kijijin sielewi chochote
 
Kumbe huku % kubwa ni watoto ?,ushauri wangu ni huu,suala la umri lizingatiwe ili uweze kuwa member wa jf,pls wahusika walifanyie Kali
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ wengi wakubwa ila wezeee wengi ambao hawajasema walikuwa wapi
 
kweli kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…