kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Daaah kamm yannilikuwa nyumban nachezacheza tu coz nilikuwa na miaka 3
Kona baaa na mtoto rubbyUlikuwa wapi?,mimi nilikuwa darasa la pili shule moja maarufu jijini Mwanza, mwalim akapiga kengele akasema tunarudi nyumbani sababu Nyerere kafariki,nilikuwa hata sijui Nyerere ni nani, mimi nilikuwa namjua Ben Mkapa pekee,kurudi nyumbani jioni yake tunakuta Komba tayari ameshafanya yake (Jamaa alikuwa fasta sana) japo Tv tulikuwa tunaangalia kwa jirani.
Nyerere pumzika kwa amani
Nilikuwa Fourth year UDSM, FoE, Electrical...Ulikuwa wapi?,mimi nilikuwa darasa la pili shule moja maarufu jijini Mwanza, mwalim akapiga kengele akasema tunarudi nyumbani sababu Nyerere kafariki,nilikuwa hata sijui Nyerere ni nani, mimi nilikuwa namjua Ben Mkapa pekee,kurudi nyumbani jioni yake tunakuta Komba tayari ameshafanya yake (Jamaa alikuwa fasta sana) japo Tv tulikuwa tunaangalia kwa jirani.
Nyerere pumzika kwa amani
Miaka minne nyumbani kijijin sielewi chochoteMuda wa kusema ukweli umefika sasa, nina miaka zaidi ya 30 lakini leo hii bado unaniita mtoto hv unafikiri matendo ya kitoto ndio yatakwisha? Tuheshimiane jamani hata katiba inanitambua, mpaka wimbo wa taifa pia unanitambua, nisipotajwa kwenye viongozi wote basi nipo kwenye wake na waume. Mtoto ni yule ambae ni below 18 na mtu mzima ni over18
Sijasahau, mada ni kuhusu kifo cha J.K.Nyerere.
hahha hhaa mbona we hujaeleza ulikuwa wapi kielimu?Kumbe watoto wadogo wengi humu la pili, la tatu???
πππ wengi wakubwa ila wezeee wengi ambao hawajasema walikuwa wapiKumbe huku % kubwa ni watoto ?,ushauri wangu ni huu,suala la umri lizingatiwe ili uweze kuwa member wa jf,pls wahusika walifanyie Kali
twacheni utani kumbe watoto yao ni fb?Yaani na mm nimeshangaa kumbe ndio maana JF hii sio ile kabisa
kweli kiongoziMuda wa kusema ukweli umefika sasa, nina miaka zaidi ya 30 lakini leo hii bado unaniita mtoto hv unafikiri matendo ya kitoto ndio yatakwisha? Tuheshimiane jamani hata katiba inanitambua, mpaka wimbo wa taifa pia unanitambua, nisipotajwa kwenye viongozi wote basi nipo kwenye wake na waume. Mtoto ni yule ambae ni below 18 na mtu mzima ni over18
Sijasahau, mada ni kuhusu kifo cha J.K.Nyerere.
Mada zao wengi ni za ngono!Kumbe watoto wadogo wengi humu la pili, la tatu???