Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa ndio nimestaafu na miaka 60 toka utumishi wa umma
To meDah! 1999 niko Form One, Makongo High School.
Dar Technical college, Civil and BuildingDar Technical College, kwa sasa DIT. Mechanical
Chaaa.....Dar Technical college, Civil and Building
[emoji15]Darasa la pili
Nzera ps
Lazima niwe mkweli nilikuwa darasa la sita shule ya msingi Mbuyuni hapo njia ya kuelekea posta, tulirudishw home kisa nyerere kafa, nilipofika nyumbani nilimkuta mwenye nyumba analia mithili ya mtu aliyebakwa
Hahaahahahahha....Lazima niwe mkweli nilikuwa darasa la sita shule ya msingi Mbuyuni hapo njia ya kuelekea posta, tulirudishw home kisa nyerere kafa, nilipofika nyumbani nilimkuta mwenye nyumba analia mithili ya mtu aliyebakwa