Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sa mbona huna hela brohahaha kumbe wengi wadogo humu. nlikua kazini mitaa ya ohio Dar. kazini ilikua ni mwaka wa pili. chuo nlishamaliza na CPA juu.
Nilikua ndanda sekondari. Form 1Nilikua darasa la 3 sm ndanda mtwara,walimu walikua na redio ofisini,
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mwalimu mkuu wa shule yako ulikua humjui lohNilikuwa std VI, unaambiwa saa sita na wimbo wa taifa kwenye rtd, kufika shule tukaambiwa turudi nyumbani Mwalimu Nyerere amefariki[emoji13] [emoji13] Mwanzo nilifikiri Nyerere ndio mwalimu mkuu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mwena, Mkalapa....dah I miss Ndanda.Nilikua darasa la 3 sm ndanda mtwara,walimu walikua na redio ofisini,
Mi hata sikumbuki nilikua wapi ,niliona watu wamejaa kwenye tv nilivyoona watu wengi kwenye tv wanalia na kuzimia nami vimachozi vikanitoka nikawa nashangaa kweli baadae nikaenda zangu kucheza makopo sikua na muda mie
Madeko.. maandazi..Mwena, Mkalapa....dah I miss Ndanda.
Mpowora,ndolo,njenga,likan'dobeMadeko.. maandazi..